Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mheshimiwa Dkt. Jakaya Kikwete, Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global Partnership for Education) - GPE) ameshiriki katika Mkutano wa Mageuzi katika Elimu uliondaliwa na Umoja wa Mataifa, tarehe 19 Septemba, 2022 Jijini New York, Marekani.
Katika picha; Mheshimiwa Rais Mstaafu na Mwenyekiti wa Bodi ya Global Partnership for Education) na:
1. Mhe. Dkt. Phillip Mpango, Makamu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2. Mhe. António Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
3. Mhe. Anne Beathe Tvinnereim, Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Norway
Katika picha; Mheshimiwa Rais Mstaafu na Mwenyekiti wa Bodi ya Global Partnership for Education) na:
1. Mhe. Dkt. Phillip Mpango, Makamu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2. Mhe. António Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
3. Mhe. Anne Beathe Tvinnereim, Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Norway