Mheshimiwa Dkt. Jakaya Kikwete, Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global Partnership for Education) - GPE) ameshiriki katika Mkutano wa Mageuzi katika Elimu uliondaliwa na Umoja wa Mataifa, tarehe 19 Septemba, 2022 Jijini New York, Marekani.
Katika picha; Mheshimiwa Rais Mstaafu na Mwenyekiti wa Bodi ya Global Partnership for Education) na:
1. Mhe. Dkt. Phillip Mpango, Makamu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2. Mhe. António Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
3. Mhe. Anne Beathe Tvinnereim, Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Norway
Huyu Mheshimiwa amekidhi kabisa vigezo vya kuwekwa kwenye chungu kimoja na Vasco Da Gama, Ibn Batuta, Christopher Columbus, Bathromew Diaz, Marcopolo, na wengineo wengi.
Shida ya Watanzania uwezo wetu wa kutumia fursa kama hizo kujiendeleza ndiyo shida inapoanzia.
Naona hapo Kuna suala la matumizi ya teknolojia kwenye Elimu,sasa mimi nasubiri kuiona hiyo teknolojia kwenye Elimu yetu.