Marekani kuanza kusitisha uzalishaji wa magari yanayotumia petrol kuanzia2035

Ndio maana tunaelimishana mkuu
 
kabisa kabisa bila kuchapana kwanza akuna kutoboa.
Uaminifu wa wazungu ulikuja baada ya kuuana sana wao kwa wao.Mfano mtu kakuibia,kakudhulumu,kakutendea kosa nk ukimkamata ni kumalizana unamuua so ikaleta nidhamu ktk Jamii ya watu kuogopa kufanyiana ubaya kwa hofu ya kuuliwa
 
Waambieni USAID na UKAID wawaletee msaada
PUT IN kamatia hapo hapo MKUU maana SMO yetu yenda vyema mpaka sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaweza, sii unaona hata pertrol station zao hazina wafanyakazi wa kujazia watu mafuta...

Una swipe card unajiwekea mwenyewe...
 
Jamaa anajiona hakuna mtu kama yeye hapa ulimwenguni.
 
US wametoka mbali wamepitia hatua nyingi mbaya za jasho na damu mpaka leo hii wapo hapo walipo.
China akili nyingi sana, anamkimbiza kimyakimya tu,
Us kashtuka anaanza kumtisha na kuwekea vikwazo baadhi ya makampuni yake
 
... vipi Putin; plan zake za kuachana na gasoline zikoje? Au akili zake kwa sasa ni kuvamia na kuteka nchi nyingine kama enzi za ujima?
Anatumia mbinu alizotumia us kufika hapo alipo.
 
Raha yake ni kuona dunia ina njaa ,bei ya gesi na mafuta imepaa....kwa kifupi anapenda kuona watu wakihangaika
Msilolijua dunia ilihangaika na inaendelea kuhangaika sababu ya us, waulize nchi za mashariki ya kati hapo wanavyohaika sababu yake, putin nchi moja tu kelele nyingiiiii,
Mnajua habari ya mpendwa wenu ile makenikia mmarekani ndio alikua akitupiga pesa? Au mnajisahaulisha
 
Natakiwa nishushe sana kiwango cha uelewa wangu ili kumwelimisha mjinga kama wewe na anielewe.....
 
Angekuwa Magufuli angesema Mabeberu vita vya kiuchumi wanalihujumu bomba letu la mafuta toka Uganga...na Musiba angetowa neno kwenye hili.
 
Natakiwa nishushe sana kiwango cha uelewa wangu ili kumwelimisha mjinga kama wewe na anielewe.....
Usifikiri ni wewe tu unaelewa mambo wengine hatuelewi, analolifanya us sio jambo la kificho, jiulize nchi kama iran, iraq, libya, syria, afghanstan na wengine walimkosea nini us? Kwani asipojiingiza kwenye hayo matatizo yao kuna shida gani, mbona congo, sudan, rwanda ilee na nyingi africa hawaleti jeshi au kutenga bajeti kwa ajili yao kama kweli wapo kiusalama?

Kama hayo nayo nahitaji kueleweshwa basi mjinga ni wewe unaejua ukweli lkn unataka kugeuza uwe uongo.
 
Madikteta huwa wanawazia makalioni...angalia hata yule kiduku kazi ubabe wa kipumbavu badala ya kujenga nchi yenye uchumi imara
Sisi yetu ya kidemokrasia mkuu imeendelea kuliko Pyongyang asee, tuko mbali sana.
 
Raha yake ni kuona dunia ina njaa ,bei ya gesi na mafuta imepaa....kwa kifupi anapenda kuona watu wakihangaika
Hivi aliyeweka vikwazo ni nani, kweli kuna watu akili zenu hua mnaweka kwenye makalio mmezikalia.
 
Magari ya umeme ndiko tunakoelekea. Kwa mfano Europe yote nako kila nchi imejiwekea malengo kuwa ifikapo mwaka fulani ni magri ya umeme tu yataruhusiwa. Hata huko USA ni suala la muda tu. Na sisi huku wanunua ''viporo'' itabidi tuunge tela kwa sababu ´hatuna uwezo wa kutengeneza ya kwetu bali tunasubiri ''viporo'' kutoka huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…