Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

watu hewa wamezuiwa kwenda marekani? Siamini Taifa kubwa hivi linashindwa kutoa taarifa kamili. Naipenda Marekani na siamini taarifa hii! It is too low!
 
 
Lkn katiba inasema Mnataikiwa muheshimu UHURU WA MTU WA KUJIELEZA,JE KWA KUFANYA HIVYO HUONI WAMEENDA KINYUME NA KATIBA.

KWANI HAKUNA ALIYE JUU YA KATIBA.
Ndio maana Trump hajafungwa jela kwa tuhuma za uchochezi.Angekuwa yupo Tz angeitwa centro.

Trump alikuwa anawachochea wafuasi wake wafanye fujo.Aliwachochea wafuasi waje wakanye mavi katika jengo la bunge.Ndio maana kafungiwa.
Wamebugi awa lini na lini magu akaenda nje ya nchi
JE Bashite?
 
Ndio maana Trump hajafungwa jela kwa tuhuma za uchochezi.Angekuwa yupo Tz angeitwa centro.

Trump alikuwa anawachochea wafuasi wake wafanye fujo.Aliwachochea wafuasi waje wakanye mavi katika jengo la bunge.Ndio maana kafungiwa.

JE Bashite?
Ulichokiandika una uhakika nacho? Trump kesi yake ipo senate na lazima safari atapatikana na hatia. Halafu Attorney General wa DC anamchunguza kuhusu kesi nyingi na hiyo ya uchochezi sasa ihvi muda usiozidi saa moja na nusu atakua raia wa kawaida subiri utitiri wa kesi
 
Mimi nasema hivi pale Marekani hakuna aliye juu ya sheria.Ata ukiwa Rais ukivunja sheria unashughulikiwa.


Kuna nchi zingine unakuta Rais anavunja sheria na anakiuka katiba na hakuna chochote kinafanyika sababu kuna watu wapo juu ya sheria
 
Pompeo kagusa pasipo gusika.
=====
 
Haina noma Pompeo nae kapigwa stop asikanyage China
 
Waulize Iranians, Zimbabweans, North Korea etc nini maana ya vikwazo vya waAmerica . Wala usiombe wakaenda deep

Odhis *
Sasa hizo nchi ulizozitaja hapo ni zimekewa vikwazo vya kiuchumi nchi kama nchi(yaani serikali kuu) na siyo viongozi mmoja mmoja.

Taarifa ya leo inasema inawawekea vikwazo vya kusafiri(kuwanyima visa ya kuingia marekani) baadhi ya maafisa wa serikali waliohujumu uchaguzi.

Kwa hiyo lazima utofautishe nchi kama nchi kuwekewa vikwazo na kiongozi mmoja mmoja kuwekewa vikwazo.

Mfano : Paul Makonda alipotangaza mashoga wote wa dar wakamatwe, marekani iliamua kumwekea vikwazo vya kusafiri yeye kama yeye na siyo serikali kuu.
 
Waulize Iranians, Zimbabweans, North Korea etc nini maana ya vikwazo vya waAmerica . Wala usiombe wakaenda deep

Odhis *
Sasa hizo nchi ulizozitaja hapo ni zimewekewa vikwazo vya kiuchumi nchi kama nchi(yaani serikali kuu) na siyo viongozi mmoja mmoja.

Taarifa ya leo inasema inawawekea vikwazo vya kusafiri(kuwanyima visa ya kuingia marekani) baadhi ya maafisa wa serikali waliohujumu uchaguzi.

Kwa hiyo lazima utofautishe nchi kama nchi kuwekewa vikwazo na kiongozi mmoja mmoja kuwekewa vikwazo.

Mfano : Paul Makonda alipotangaza mashoga wote wa dar wakamatwe, marekani iliamua kumwekea vikwazo vya kusafiri yeye kama yeye na siyo serikali kuu
 
Ujinga mzigo!! mnafananisha mifumo ya Nchi za watu wenye akili na huu ujinga wenu kila Rais akiingia madarakani ili aendelee kuiba nakusaga bongo za wajinga anaingia na maulimbiu yakipuuzi kabisa

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Punguza stress kamanda, hatuwezi kuiga toka Marekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…