Marekani kuinyamazisha Urusi?

Marekani kuinyamazisha Urusi?

Marekani chini ya utawala was democrat ni SAWA na bongo land chini ya chichiem, aka chukua chako mapema, hivyo hawana maajabu, zaidi ya kuchezewa sharubu, Hulu wakisalia kitafuta msaada kwa kutapatapa na hata bila kijua was guse Nini na earache nini zaidi ya kutazama manufaa ya karibu bila jasho.
Hapo hata bush angeufyata tena kwa bush ndiyo kabisaa maana [emoji631]ni wepesi kuingia vitani wakijua wao wapo salama na vita watashinda na wakishindwa wanaondoka pasipo ardhi yao kuguswa, kinyume na hivyo marekani siyo rahisi kuingia vitani
 
Biden ametoa speech ambayo inaonyesha Trump alikuwa anamdekeza sana Putin.

Belarus jirani wa Ukraine na Urusi ndiye rafiki mkubwa Putin na Biden kasema Urusi isipotoa majeshi yake huko atalituma jeshi.

la Marekani ndani ya Belarus

Tunaweza kuona ni namna gani Marekani wanaendelea kuzichanga karata zao vizuri dhidi ya kumdhoofisha Urusi.

Belarus chini ya Rais ambaye watu wa haki wanamuita Dictator Alexander Lukashenko aliyekaa madarakani toka 1994 alisema

"Ikiwa ina maana kuweka askari wa Kirusi hapa, tutawaweka kwa muda mrefu iwezekanavyo. Ninasisitiza kwa mara nyingine tena: hili ni eneo letu na uamuzi huu ni wetu.”

Umoja wa Mataifa unasema Urusi kuingiza jeshi lake Donbas, Ukraine kuwalinda raia wanaowasapoti Urusi ni kosa

Marekani wanataka kuliingiza jeshi lake Belarus likaliondoe Jeshi la Urusi
▪️Atakaye umia ni Belarus
▪️Vita itapiganwa kwenye aridhi ya adui wa Marekani.
▪️Marekani hana cha kupoteza.
▪️Ndio mwanzo wa Marekani kuishambulia Moscow.

Pia tukumbuke Donbas, Ukraine ndio inayochochea vita vya huu mgogoro na bado mpaka sasa Majeshi ya Serikali yanapigana na Vikundi vinavyopewa sapoti na Urusi.

USHAWISHI WA MAREKANI UNAMFANYA URUSI AONEKANE MTOTO M-BAYA

Tunashuudia
Japan aliyewahi kuwa adui mkubwa wa Marekani anasema anasimama upande aliosimama Marekani.

Ujerumani iliyokuwa inataka huu mgogoro umalizike ki-diplomasia ili kulinda maslahi ya nchi yake juu

Ya bomba la Gesi la Nord Stream 2 inayotoka Urusi. Leo hii analiongezea vikwazo Urusi isiwauzie gesi.

Qatar inawaambia Ujerumani mnataka nini? Mafuta? au nini sisi tuwape.

Marekani na Ulaya umeziwekea vikwazo Taasisi za kifedha za Urusi hakuna miamala ya kuamisha pesa

Kutoka Urusi kwenye nyingine za Ulaya hii ni hatari sana kwenye uchumi wa Urussi.

Marekani imewazuia baadhi ya biashara za matajiri wa kubwa wa Urusi hii ni mbaya mno ugomvi wa kijeshi kuamishiwa kwa watu ambao hawana hatia.

Putin anazidi kufundishwa uoga.

Marekani ina Teknolojia kubwa mno kwenye Majeshi yake ana uwezo wa kuifanya hii dunia kitu chochote anachotaka.

Urusi ni nchi ambayo haitabiriki.

Sio kwamba Marekani inaipenda sana Ukraine, lengo kubwa la Marekani kwa miaka mingi ni kuishambulia Moscow na kuisambaratisha.

Mpaka leo hii Moscow ipo kwasababu ya uwepo wa Putin.

Trump alikuwa anaizungumza Urusi huku akiwa na hofu ya silaha za Nyuklia za Urusi.

Biden anaizungumza Urusi bila kuziwekea maanani silaha za Nyuklia anazozoimiliki Urusi zinazoweza kuifuta dunia yote ndani ya muda mfupi.

NATO wanafikiria kuingia Ukraine Marekani inafikiria kuingia Moscow na Urusi inafikiria kuingia Marekani.

Kwa hivi vikwazo alivyowekewa Urusi ni hatari sana kwa uchumi wao na ni ngumu kuvulimia. Vuta picha biashara zinazofanyika kati ya Urusi na China leo hii zisifanyike!!

Rais wa Urusi Putin amesema yupo tayari kwenye mazungumzo ya kidiplomasia na nchi za Ulaya juu ya mzozo wa Ukraine lakini kuhusu suala la usalama wa raia wake hilo halihitaji mjadala.

Kwasasa Urusi ni sawa na yupo mwenyewe ile nchi imezungukwa na kambi nyingi za jeshi la USA.

Lakini ana makombora hatari ya Hypersonic ambayo hakuna mtambo yoyote yenye uwezo wa kuyazuia hayo makombora kama tulivyokuwa tunashuudia Iron Dome za Israel zilivyokiwa zinazuia makombora ya Palestina.

Urusi anaweza rusha kombora likazunguka dunia nzima bila kuonekana. Source: Putin

Hiyo Teknolojia Marekani anayo iliyo advanced zaidi ya Urusi, wakifikia level hiyo atakaye anza ndiye atakayeshinda japo hakuta kuwa na mshindi.

Marekani na Urusi wana mbinu zinazofanana katika vita kudeal na Viongozi.

Katika mazungumzo mengi ya Marekani wanamlenga moja kwa moja Putin kama mkosaji wanayemuhitaji na Urusi kule Ukraine kwa mujibu wa Majasusi wa Marekani ni wamepanga majina

Ya Viongozi wa Ukraine wanaotaka kuwaua, kuwateka na pia kwenda kuwatesa. Tuendelee kusubiri Urusi atajibu nini juu ya hivi vikwazo.

Pia huku Tanzania kuna habari zinasambaa kwa kasi sana kuwa
Umeandika kishabiki Sana mkuu.
 
We Unaongelea Marekani ya Mwaka 90's na Russia ya Gorbachev.Putin anakwambia kapindua Meza na Mambo ya Sanction alikuwa anayajua kwa hiyo kajipanga.
Ulizia hali ya maisha sasa kule russia ata mwezi bado, mpigie simu gobachev
 
Hii ni kahawa [emoji1787]
Nimecheka sana uliposema ni kahawa.., lakini ndio uhalisia Marekani anatumia sayansi sana kwenye hili jambo anatumia vita ya Ukraine kumdhoofisha russia na amekusudia kweli kweli ni vile Western na ulaya wakitafuta sababu tu na sasa Putin hakutaamuli Russia lazima iporomoke, Putini ni mtu wa kuongea na kujisifu lakini uhalisia wa Russia na uchumi wao saiv majibu yameshaanza kupatikana anguko lao kwa kasi ya ajabu sana ata miezi 4 bado,

Russia ili asimame kwa miguu yake tena inabidi tu kupata washirika wenzake ambao hawo washirika hawatakuwa wakiitegemea America na Ulaya jambo ambalo kwa dunia hii ni ngumu sana, Marekani aliwekeza miaka mingi ata mimi na wewe tulikuwa hatujazaliwa., ndivyo ilivyo hata ukikataa
 
Biden ametoa speech ambayo inaonyesha Trump alikuwa anamdekeza sana Putin.

Belarus jirani wa Ukraine na Urusi ndiye rafiki mkubwa Putin na Biden kasema Urusi isipotoa majeshi yake huko atalituma jeshi.

la Marekani ndani ya Belarus

Tunaweza kuona ni namna gani Marekani wanaendelea kuzichanga karata zao vizuri dhidi ya kumdhoofisha Urusi.

Belarus chini ya Rais ambaye watu wa haki wanamuita Dictator Alexander Lukashenko aliyekaa madarakani toka 1994 alisema

"Ikiwa ina maana kuweka askari wa Kirusi hapa, tutawaweka kwa muda mrefu iwezekanavyo. Ninasisitiza kwa mara nyingine tena: hili ni eneo letu na uamuzi huu ni wetu.”

Umoja wa Mataifa unasema Urusi kuingiza jeshi lake Donbas, Ukraine kuwalinda raia wanaowasapoti Urusi ni kosa

Marekani wanataka kuliingiza jeshi lake Belarus likaliondoe Jeshi la Urusi
[emoji3502]Atakaye umia ni Belarus
[emoji3502]Vita itapiganwa kwenye aridhi ya adui wa Marekani.
[emoji3502]Marekani hana cha kupoteza.
[emoji3502]Ndio mwanzo wa Marekani kuishambulia Moscow.

Pia tukumbuke Donbas, Ukraine ndio inayochochea vita vya huu mgogoro na bado mpaka sasa Majeshi ya Serikali yanapigana na Vikundi vinavyopewa sapoti na Urusi.

USHAWISHI WA MAREKANI UNAMFANYA URUSI AONEKANE MTOTO M-BAYA

Tunashuudia
Japan aliyewahi kuwa adui mkubwa wa Marekani anasema anasimama upande aliosimama Marekani.

Ujerumani iliyokuwa inataka huu mgogoro umalizike ki-diplomasia ili kulinda maslahi ya nchi yake juu

Ya bomba la Gesi la Nord Stream 2 inayotoka Urusi. Leo hii analiongezea vikwazo Urusi isiwauzie gesi.

Qatar inawaambia Ujerumani mnataka nini? Mafuta? au nini sisi tuwape.

Marekani na Ulaya umeziwekea vikwazo Taasisi za kifedha za Urusi hakuna miamala ya kuamisha pesa

Kutoka Urusi kwenye nyingine za Ulaya hii ni hatari sana kwenye uchumi wa Urussi.

Marekani imewazuia baadhi ya biashara za matajiri wa kubwa wa Urusi hii ni mbaya mno ugomvi wa kijeshi kuamishiwa kwa watu ambao hawana hatia.

Putin anazidi kufundishwa uoga.

Marekani ina Teknolojia kubwa mno kwenye Majeshi yake ana uwezo wa kuifanya hii dunia kitu chochote anachotaka.

Urusi ni nchi ambayo haitabiriki.

Sio kwamba Marekani inaipenda sana Ukraine, lengo kubwa la Marekani kwa miaka mingi ni kuishambulia Moscow na kuisambaratisha.

Mpaka leo hii Moscow ipo kwasababu ya uwepo wa Putin.

Trump alikuwa anaizungumza Urusi huku akiwa na hofu ya silaha za Nyuklia za Urusi.

Biden anaizungumza Urusi bila kuziwekea maanani silaha za Nyuklia anazozoimiliki Urusi zinazoweza kuifuta dunia yote ndani ya muda mfupi.

NATO wanafikiria kuingia Ukraine Marekani inafikiria kuingia Moscow na Urusi inafikiria kuingia Marekani.

Kwa hivi vikwazo alivyowekewa Urusi ni hatari sana kwa uchumi wao na ni ngumu kuvulimia. Vuta picha biashara zinazofanyika kati ya Urusi na China leo hii zisifanyike!!

Rais wa Urusi Putin amesema yupo tayari kwenye mazungumzo ya kidiplomasia na nchi za Ulaya juu ya mzozo wa Ukraine lakini kuhusu suala la usalama wa raia wake hilo halihitaji mjadala.

Kwasasa Urusi ni sawa na yupo mwenyewe ile nchi imezungukwa na kambi nyingi za jeshi la USA.

Lakini ana makombora hatari ya Hypersonic ambayo hakuna mtambo yoyote yenye uwezo wa kuyazuia hayo makombora kama tulivyokuwa tunashuudia Iron Dome za Israel zilivyokiwa zinazuia makombora ya Palestina.

Urusi anaweza rusha kombora likazunguka dunia nzima bila kuonekana. Source: Putin

Hiyo Teknolojia Marekani anayo iliyo advanced zaidi ya Urusi, wakifikia level hiyo atakaye anza ndiye atakayeshinda japo hakuta kuwa na mshindi.

Marekani na Urusi wana mbinu zinazofanana katika vita kudeal na Viongozi.

Katika mazungumzo mengi ya Marekani wanamlenga moja kwa moja Putin kama mkosaji wanayemuhitaji na Urusi kule Ukraine kwa mujibu wa Majasusi wa Marekani ni wamepanga majina

Ya Viongozi wa Ukraine wanaotaka kuwaua, kuwateka na pia kwenda kuwatesa. Tuendelee kusubiri Urusi atajibu nini juu ya hivi vikwazo.

Pia huku Tanzania kuna habari zinasambaa kwa kasi sana kuwa
Ume copy na kupest from tweeter naomba nijue KIWANGO chako Cha ELIMU na hizo chai zako Russia sio ya mchezo mchezo kasome history pepar 2,pia pitia documentary ndio uje na huuu uji WAKO wa copy and paste
 
Kuanzia wamarekani weusi wa Lituhi hadi wamarekani weupe wa Massachusetts wamalowana kutokana na kibano cha Putin huko Ukraine
 
Kwa hilo Marekani inataka kusababisha maafa Ulaya!
Harafu Marekani hajawi kupigana vita na nchi yo yote bila msaada wa washirika wake.
 
Biden ametoa speech ambayo inaonyesha Trump alikuwa anamdekeza sana Putin.

Belarus jirani wa Ukraine na Urusi ndiye rafiki mkubwa Putin na Biden kasema Urusi isipotoa majeshi yake huko atalituma jeshi.

la Marekani ndani ya Belarus

Tunaweza kuona ni namna gani Marekani wanaendelea kuzichanga karata zao vizuri dhidi ya kumdhoofisha Urusi.

Belarus chini ya Rais ambaye watu wa haki wanamuita Dictator Alexander Lukashenko aliyekaa madarakani toka 1994 alisema

"Ikiwa ina maana kuweka askari wa Kirusi hapa, tutawaweka kwa muda mrefu iwezekanavyo. Ninasisitiza kwa mara nyingine tena: hili ni eneo letu na uamuzi huu ni wetu.”

Umoja wa Mataifa unasema Urusi kuingiza jeshi lake Donbas, Ukraine kuwalinda raia wanaowasapoti Urusi ni kosa

Marekani wanataka kuliingiza jeshi lake Belarus likaliondoe Jeshi la Urusi
[emoji3502]Atakaye umia ni Belarus
[emoji3502]Vita itapiganwa kwenye aridhi ya adui wa Marekani.
[emoji3502]Marekani hana cha kupoteza.
[emoji3502]Ndio mwanzo wa Marekani kuishambulia Moscow.

Pia tukumbuke Donbas, Ukraine ndio inayochochea vita vya huu mgogoro na bado mpaka sasa Majeshi ya Serikali yanapigana na Vikundi vinavyopewa sapoti na Urusi.

USHAWISHI WA MAREKANI UNAMFANYA URUSI AONEKANE MTOTO M-BAYA

Tunashuudia
Japan aliyewahi kuwa adui mkubwa wa Marekani anasema anasimama upande aliosimama Marekani.

Ujerumani iliyokuwa inataka huu mgogoro umalizike ki-diplomasia ili kulinda maslahi ya nchi yake juu

Ya bomba la Gesi la Nord Stream 2 inayotoka Urusi. Leo hii analiongezea vikwazo Urusi isiwauzie gesi.

Qatar inawaambia Ujerumani mnataka nini? Mafuta? au nini sisi tuwape.

Marekani na Ulaya umeziwekea vikwazo Taasisi za kifedha za Urusi hakuna miamala ya kuamisha pesa

Kutoka Urusi kwenye nyingine za Ulaya hii ni hatari sana kwenye uchumi wa Urussi.

Marekani imewazuia baadhi ya biashara za matajiri wa kubwa wa Urusi hii ni mbaya mno ugomvi wa kijeshi kuamishiwa kwa watu ambao hawana hatia.

Putin anazidi kufundishwa uoga.

Marekani ina Teknolojia kubwa mno kwenye Majeshi yake ana uwezo wa kuifanya hii dunia kitu chochote anachotaka.

Urusi ni nchi ambayo haitabiriki.

Sio kwamba Marekani inaipenda sana Ukraine, lengo kubwa la Marekani kwa miaka mingi ni kuishambulia Moscow na kuisambaratisha.

Mpaka leo hii Moscow ipo kwasababu ya uwepo wa Putin.

Trump alikuwa anaizungumza Urusi huku akiwa na hofu ya silaha za Nyuklia za Urusi.

Biden anaizungumza Urusi bila kuziwekea maanani silaha za Nyuklia anazozoimiliki Urusi zinazoweza kuifuta dunia yote ndani ya muda mfupi.

NATO wanafikiria kuingia Ukraine Marekani inafikiria kuingia Moscow na Urusi inafikiria kuingia Marekani.

Kwa hivi vikwazo alivyowekewa Urusi ni hatari sana kwa uchumi wao na ni ngumu kuvulimia. Vuta picha biashara zinazofanyika kati ya Urusi na China leo hii zisifanyike!!

Rais wa Urusi Putin amesema yupo tayari kwenye mazungumzo ya kidiplomasia na nchi za Ulaya juu ya mzozo wa Ukraine lakini kuhusu suala la usalama wa raia wake hilo halihitaji mjadala.

Kwasasa Urusi ni sawa na yupo mwenyewe ile nchi imezungukwa na kambi nyingi za jeshi la USA.

Lakini ana makombora hatari ya Hypersonic ambayo hakuna mtambo yoyote yenye uwezo wa kuyazuia hayo makombora kama tulivyokuwa tunashuudia Iron Dome za Israel zilivyokiwa zinazuia makombora ya Palestina.

Urusi anaweza rusha kombora likazunguka dunia nzima bila kuonekana. Source: Putin

Hiyo Teknolojia Marekani anayo iliyo advanced zaidi ya Urusi, wakifikia level hiyo atakaye anza ndiye atakayeshinda japo hakuta kuwa na mshindi.

Marekani na Urusi wana mbinu zinazofanana katika vita kudeal na Viongozi.

Katika mazungumzo mengi ya Marekani wanamlenga moja kwa moja Putin kama mkosaji wanayemuhitaji na Urusi kule Ukraine kwa mujibu wa Majasusi wa Marekani ni wamepanga majina

Ya Viongozi wa Ukraine wanaotaka kuwaua, kuwateka na pia kwenda kuwatesa. Tuendelee kusubiri Urusi atajibu nini juu ya hivi vikwazo.

Pia huku Tanzania kuna habari zinasambaa kwa kasi sana kuwa
Pumba first grade!!..
 
Biden ametoa speech ambayo inaonyesha Trump alikuwa anamdekeza sana Putin.

Belarus jirani wa Ukraine na Urusi ndiye rafiki mkubwa Putin na Biden kasema Urusi isipotoa majeshi yake huko atalituma jeshi.

la Marekani ndani ya Belarus

Tunaweza kuona ni namna gani Marekani wanaendelea kuzichanga karata zao vizuri dhidi ya kumdhoofisha Urusi.

Belarus chini ya Rais ambaye watu wa haki wanamuita Dictator Alexander Lukashenko aliyekaa madarakani toka 1994 alisema

"Ikiwa ina maana kuweka askari wa Kirusi hapa, tutawaweka kwa muda mrefu iwezekanavyo. Ninasisitiza kwa mara nyingine tena: hili ni eneo letu na uamuzi huu ni wetu.”

Umoja wa Mataifa unasema Urusi kuingiza jeshi lake Donbas, Ukraine kuwalinda raia wanaowasapoti Urusi ni kosa

Marekani wanataka kuliingiza jeshi lake Belarus likaliondoe Jeshi la Urusi
▪️Atakaye umia ni Belarus
▪️Vita itapiganwa kwenye aridhi ya adui wa Marekani.
▪️Marekani hana cha kupoteza.
▪️Ndio mwanzo wa Marekani kuishambulia Moscow.

Pia tukumbuke Donbas, Ukraine ndio inayochochea vita vya huu mgogoro na bado mpaka sasa Majeshi ya Serikali yanapigana na Vikundi vinavyopewa sapoti na Urusi.

USHAWISHI WA MAREKANI UNAMFANYA URUSI AONEKANE MTOTO M-BAYA

Tunashuudia
Japan aliyewahi kuwa adui mkubwa wa Marekani anasema anasimama upande aliosimama Marekani.

Ujerumani iliyokuwa inataka huu mgogoro umalizike ki-diplomasia ili kulinda maslahi ya nchi yake juu

Ya bomba la Gesi la Nord Stream 2 inayotoka Urusi. Leo hii analiongezea vikwazo Urusi isiwauzie gesi.

Qatar inawaambia Ujerumani mnataka nini? Mafuta? au nini sisi tuwape.

Marekani na Ulaya umeziwekea vikwazo Taasisi za kifedha za Urusi hakuna miamala ya kuamisha pesa

Kutoka Urusi kwenye nyingine za Ulaya hii ni hatari sana kwenye uchumi wa Urussi.

Marekani imewazuia baadhi ya biashara za matajiri wa kubwa wa Urusi hii ni mbaya mno ugomvi wa kijeshi kuamishiwa kwa watu ambao hawana hatia.

Putin anazidi kufundishwa uoga.

Marekani ina Teknolojia kubwa mno kwenye Majeshi yake ana uwezo wa kuifanya hii dunia kitu chochote anachotaka.

Urusi ni nchi ambayo haitabiriki.

Sio kwamba Marekani inaipenda sana Ukraine, lengo kubwa la Marekani kwa miaka mingi ni kuishambulia Moscow na kuisambaratisha.

Mpaka leo hii Moscow ipo kwasababu ya uwepo wa Putin.

Trump alikuwa anaizungumza Urusi huku akiwa na hofu ya silaha za Nyuklia za Urusi.

Biden anaizungumza Urusi bila kuziwekea maanani silaha za Nyuklia anazozoimiliki Urusi zinazoweza kuifuta dunia yote ndani ya muda mfupi.

NATO wanafikiria kuingia Ukraine Marekani inafikiria kuingia Moscow na Urusi inafikiria kuingia Marekani.

Kwa hivi vikwazo alivyowekewa Urusi ni hatari sana kwa uchumi wao na ni ngumu kuvulimia. Vuta picha biashara zinazofanyika kati ya Urusi na China leo hii zisifanyike!!

Rais wa Urusi Putin amesema yupo tayari kwenye mazungumzo ya kidiplomasia na nchi za Ulaya juu ya mzozo wa Ukraine lakini kuhusu suala la usalama wa raia wake hilo halihitaji mjadala.

Kwasasa Urusi ni sawa na yupo mwenyewe ile nchi imezungukwa na kambi nyingi za jeshi la USA.

Lakini ana makombora hatari ya Hypersonic ambayo hakuna mtambo yoyote yenye uwezo wa kuyazuia hayo makombora kama tulivyokuwa tunashuudia Iron Dome za Israel zilivyokiwa zinazuia makombora ya Palestina.

Urusi anaweza rusha kombora likazunguka dunia nzima bila kuonekana. Source: Putin

Hiyo Teknolojia Marekani anayo iliyo advanced zaidi ya Urusi, wakifikia level hiyo atakaye anza ndiye atakayeshinda japo hakuta kuwa na mshindi.

Marekani na Urusi wana mbinu zinazofanana katika vita kudeal na Viongozi.

Katika mazungumzo mengi ya Marekani wanamlenga moja kwa moja Putin kama mkosaji wanayemuhitaji na Urusi kule Ukraine kwa mujibu wa Majasusi wa Marekani ni wamepanga majina

Ya Viongozi wa Ukraine wanaotaka kuwaua, kuwateka na pia kwenda kuwatesa. Tuendelee kusubiri Urusi atajibu nini juu ya hivi vikwazo.

Pia huku Tanzania kuna habari zinasambaa kwa kasi sana kuwa
Hata siku moja Urusi haiwezi kutishiwa nyau na Marekani!! Marekani hawezi kutia mguu wake dhidi ya urusi! sana sana itatumia mikono na damu ya waukraine kupigana na urusi!!
 
Back
Top Bottom