Marekani kuipa Ukraine Patriot air defense system ambayo Zelensyky amekuwa akiililia kila Siku: Ila siyo mwarobaini dhidi ya kipigo cha Urusi!

Marekani kuipa Ukraine Patriot air defense system ambayo Zelensyky amekuwa akiililia kila Siku: Ila siyo mwarobaini dhidi ya kipigo cha Urusi!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Hatimaye Marekani imeamua kuipa Ukraine ulinzi wa anga "Patriot Missile Defense System". Kwa wasiojua wanaweza kudhani kuwa hizi ni silaha za ajabu sana na ulinzi wake dhidi ya mashambulizi ya anga ni wa uhakika! Niwakumbushe tu kuwa ulinzi huu wa anga kwa kutumia Patriot Missile defense system inao pia nchi ya Saudi Arabia. Lakini visima vya mafuta vya saudi arabia vimekuwa vikishambuliwa sana na waasi wa Yemen kwa kutumia drones na missiles wakati visima vyao vinalindwa na hizo Patriot missile defense system si mara moja si mara mbili bali zaidi!! Hii imeifanya Saudi Arabia kupunguza kuitumainia Marekani na kuanza maelewano zaidi na Urusi na China!!

Patriot missile defense system pia wanayo Israel, lakini Israel haiiamini system hiyo baada ya kuona makombora ya Wapalestina yamekuwa yakipenya sana. Israel inatumia zaidi mfuomo wqke wa ulinzi wa anga ujulikanao kama "Iron Dome". Zelensyky alianza kuitaka Iron Dome ya Israel wakamtolea nje!!

Kwa hiyo Ukraine itapewa huo mfumo wa Patriot ulio wa ghali sana na vipigo vitaendelea!! Watabaki kusema "tumefanikiwa kudodosha drones nyingi za urusi LAKINI CHACHE ZILIZOPENYA ZIMELETA UHARIBIFU MKUBWA kama ambavyo husema sasa karibuni kwenye kila shambulio!!

Ila kwa wapambe kama MK 254, habari ya Patriot kuingia Ukraine kwao ni sherehe, japo kipigo sana sana kitaongezeka!! Si unajua tena ukipigana na mtu mwenye fimbo unatumia nguvu kidogo lakini akichukua panga na wewe unatumia nguvu zaidi na mwisho wa siku kipigo kinakuwa kikubwa zaidi!!
 
Makombora ya Patriot yalikuwa kwa ajili ya kutungua Ballistic Missiles za Iran ambazo zitashambulia nchini Saudi Arabia. Kombora moja la Patriot gharama yake Ni $4m sawa na Tsh 9B. Kwahiyo hauwezi kutumia kombora la Tsh 9B kutungua Drone ambayo hata Uharibifu wake Ni Chini ya $100k. Subiri yatue Ukraine uone ndege za Urusi zinazorusha Makombora kutokea Beralus zitakavyo shushwa Chini.

Note
Marekani inapeleka Mfumo mmoja tu wa Patriot nchini Ukraine lakini Urusi inalalamika balaa. Vipi Kama Ukraine angelipewa Mifumo 10 ya Patriot?
 
Makombora ya Patriot yalikuwa kwa ajili ya kutungua Ballistic Missiles za Iran ambazo zitashambulia nchini Saudi Arabia. Kombora moja la Patriot gharama yake Ni $4m sawa na Tsh 9B. Kwahiyo hauwezi kutumia kombora la Tsh 9B kutungua Drone ambayo hata Uharibifu wake Ni Chini ya $100k. Subiri yatue Ukraine uone ndege za Urusi zinazorusha Makombora kutokea Beralus zitakavyo shushwa Chini.

Note
Marekani inapeleka Mfumo mmoja tu wa Patriot nchini Ukraine lakini Urusi inalalamika balaa. Vipi Kama Ukraine angelipewa Mifumo 10 ya Patriot?
hakuna kitu hapo! Nakumbuka wakati Marekani inapeleka NASAM air defense huko Ukraine kulikuwa na makelele mengi sana ya kuzisifia!! Lakini leo hakuna mtu anayezizungumzia maana haziwezi kufua dafu kabisa mbele ya drones na missiles za urusi! Hizo Patriots zimeshindwa kuilinda Israel dhidi ya missiles za Wapalestina hadi wakaunda mfumo wao wa Iron Dome! Wajinga ndio waliwao! Ukraine ujue haipewi bure bali ni mkopo wa muda mrefu wenye riba!
 
hakuna kitu hapo! Nakumbuka wakati Marekani inapeleka NASAM air defense huko Ukraine kulikuwa na makelele mengi sana ya kuzisifia!! Lakini leo hakuna mtu anayezizungumzia maana haziwezi kufua dafu kabisa mbele ya drones na missiles za urusi! Hizo Patriots zimeshindwa kuilinda Israel dhidi ya missiles za Wapalestina hadi wakaunda mfumo wao wa Iron Dome! Wajinga ndio waliwao! Ukraine ujue haipewi bure bali ni mkopo wa muda mrefu wenye riba!
Mkopo tena wakati mabilioni ya warusi yanashikiliwa Ulaya na Marekani, ina maana hujui hilo..!!
 
Kwahiyo US na Ukraine hawajui uimara wa hizi defence system? Haziwezi kufanyiwa modification kuendana na hali ya huko Ukraine?

Mbona sukhoi za Russia za miaka 80 na drone za zamani zimefanyiwa modification na zinapiga target zilizopo Russia na kurudi salama Ukraine?

Nakukumbusha tu kuwa, kila silaha ilotoka magharibi kwenda Ukraine imekuwa ni lulu, zinabadilisha upepo wa vita.
 
hakuna kitu hapo! Nakumbuka wakati Marekani inapeleka NASAM air defense huko Ukraine kulikuwa na makelele mengi sana ya kuzisifia!! Lakini leo hakuna mtu anayezizungumzia maana haziwezi kufua dafu kabisa mbele ya drones na missiles za urusi! Hizo Patriots zimeshindwa kuilinda Israel dhidi ya missiles za Wapalestina hadi wakaunda mfumo wao wa Iron Dome! Wajinga ndio waliwao! Ukraine ujue haipewi bure bali ni mkopo wa muda mrefu wenye riba!
Shekh ulimuelewa vyema lakini jamaa alivyokuambia?
 
Hayo mapungufu ya huo mfumo dunia nzima inayafahamu kwahiyo lazima watafanyia marekebisho
 
hakuna kitu hapo! Nakumbuka wakati Marekani inapeleka NASAM air defense huko Ukraine kulikuwa na makelele mengi sana ya kuzisifia!! Lakini leo hakuna mtu anayezizungumzia maana haziwezi kufua dafu kabisa mbele ya drones na missiles za urusi! Hizo Patriots zimeshindwa kuilinda Israel dhidi ya missiles za Wapalestina hadi wakaunda mfumo wao wa Iron Dome! Wajinga ndio waliwao! Ukraine ujue haipewi bure bali ni mkopo wa muda mrefu wenye riba!
Jamani hizi air defenses zinapotangazwa bhas muwe mnazisoma japo kuzielewa kidogo!

NASAMS ni 'point' air defense maana yake inalinda eneo dogo muhimu kama kambi ya jeshi,ikulu, ammunition depot na sio long range system kama Patriot au S400. Ukraine ili iweze kukabiliana kikamilifu na mashambulizi ya Russia inahitaji makumi ya hizo air defenses sababu ina eneo kubwa Sana hata hiyo Patriot haitatosha sababu inapelekwa moja ikiwa na launchers NNE Tu sio nane.

Eneo la Ukraine ni zaidi ya 600k km² na mpaka sasa hawana long range air defense ya maana zaidi ya zile S300 za zamani ambazo nyingi ziliharibiwa mwanzoni kabisa wakati Russia anaanza operation yake.

Halafu Patriot sio mfumo wa kutungua rockets bali ni maalum Kwa ajili ya sophisticated aircraft,Cruise missiles, ballistic missiles na kidogo UAV. Sasa unaposema Patriot imeshindwa kutungua rockets za wapelestina unachanganya mambo sababu huo mfumo haukutengenezwa kujilinda dhidi ya Rockets.

Israel ilitengeneza Iron dome baada ya Ile vita yake na Hezbollah mwaka 2006 kuisumbua Sana Israel dhidi ya rocket za Hezbollah. Rocket za Hezbollah zilikua zinamiminika kwenye miji ya Israel ndipo Israel ilipoamua kuunda Iron dome,na Kwa hilo imefanikiwa maana ufanisi wa Iron dome ni zaidi ya 90% dhidi ya Rockets.
 
Kazi mojawapo ya Russian air defence ni kudungua helicopter yao wenyewe Ka-52 kwenye friendly fire
20221221_121648.jpg
 
hakuna kitu hapo! Nakumbuka wakati Marekani inapeleka NASAM air defense huko Ukraine kulikuwa na makelele mengi sana ya kuzisifia!! Lakini leo hakuna mtu anayezizungumzia maana haziwezi kufua dafu kabisa mbele ya drones na missiles za urusi! Hizo Patriots zimeshindwa kuilinda Israel dhidi ya missiles za Wapalestina hadi wakaunda mfumo wao wa Iron Dome! Wajinga ndio waliwao! Ukraine ujue haipewi bure bali ni mkopo wa muda mrefu wenye riba!
Kuna kitu kinaitwa Intergrated Air Defense,ni muunganiko WA system tofauti ambapo kila System inakua na kazi yake.

Mfano Israel ina

Arrow - kujilinda dhidi ya Long Range missiles kama Shaheeb ballistic missile za Iran

David Sling - dhidi ya medium range missiles, Tactical Ballistic Missiles Kama Iskander,UAV,Cruise missiles,nk

Patriot - dhidi ya Cruise missiles, Ballistic Missiles, aircraft,nk

Iron Dome - dhidi ya Rocket,nk

Barak 8 - dhidi ya ndege Vita, helicopters,drones,cruise missiles,anti ship missiles, ballistic missile. Hii system ndo ilitungua kombora la Iskander wakati wa Vita ya Azerbaijan na Armenia.

Na kuna hii mpya ya juzi inaitwa LRAD (Long Range Ant-Cruise Defense System)
 
Hatimaye Marekani imeamua kuipa Ukraine ulinzi wa anga "Patriot Missile Defense System". Kwa wasiojua wanaweza kudhani kuwa hizi ni silaha za ajabu sana na ulinzi wake dhidi ya mashambulizi ya anga ni wa uhakika! Niwakumbushe tu kuwa ulinzi huu wa anga kwa kutumia Patriot Missile defense system inao pia nchi ya Saudi Arabia. Lakini visima vya mafuta vya saudi arabia vimekuwa vikishambuliwa sana na waasi wa Yemen kwa kutumia drones na missiles wakati visima vyao vinalindwa na hizo Patriot missile defense system si mara moja si mara mbili bali zaidi!! Hii imeifanya Saudi Arabia kupunguza kuitumainia Marekani na kuanza maelewano zaidi na Urusi na China!!

Patriot missile defense system pia wanayo Israel, lakini Israel haiiamini system hiyo baada ya kuona makombora ya Wapalestina yamekuwa yakipenya sana. Israel inatumia zaidi mfuomo wqke wa ulinzi wa anga ujulikanao kama "Iron Dome". Zelensyky alianza kuitaka Iron Dome ya Israel wakamtolea nje!!

Kwa hiyo Ukraine itapewa huo mfumo wa Patriot ulio wa ghali sana na vipigo vitaendelea!! Watabaki kusema "tumefanikiwa kudodosha drones nyingi za urusi LAKINI CHACHE ZILIZOPENYA ZIMELETA UHARIBIFU MKUBWA kama ambavyo husema sasa karibuni kwenye kila shambulio!!

Ila kwa wapambe kama MK 254, habari ya Patriot kuingia Ukraine kwao ni sherehe, japo kipigo sana sana kitaongezeka!! Si unajua tena ukipigana na mtu mwenye fimbo unatumia nguvu kidogo lakini akichukua panga na wewe unatumia nguvu zaidi na mwisho wa siku kipigo kinakuwa kikubwa zaidi!!
Hayo machuma yapo Saudi Arabia na kila wanalipuliwa na Wanamgambo wa Houth kwa drone

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa vita ilipo fikia sasa urusi hii vita angeachana nayo tu afanye inshu zingine. Kwa sababu wanasema hasara aliyo ipata urusi itamchukua miaka 400 kuirudisha.
Hawezi maana atawaambia nini wafuasi wake?
 
Kwahiyo US na Ukraine hawajui uimara wa hizi defence system? Haziwezi kufanyiwa modification kuendana na hali ya huko Ukraine?

Mbona sukhoi za Russia za miaka 80 na drone za zamani zimefanyiwa modification na zinapiga target zilizopo Russia na kurudi salama Ukraine?

Nakukumbusha tu kuwa, kila silaha ilotoka magharibi kwenda Ukraine imekuwa ni lulu, zinabadilisha upepo wa vita.
Tatizo ni Training huchukua muda mrefu.
 
Back
Top Bottom