Marekani kuondoa kampuni zote za kichina kwenye masoko yake ya hisa kwa kukiuka masharti ya CAG wa Marekani

Marekani kuondoa kampuni zote za kichina kwenye masoko yake ya hisa kwa kukiuka masharti ya CAG wa Marekani

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Kwa kile kinachoitwa muendelezo wa Marekani kuiwekea mbinyo China, sasa Marekani inatarajia kuziondoa kampuni zote za kichina kwenye masoko ya hisa ya Marekani kwa kutofuata kanuni za ukaguzi wa Marekani.

Kanuni za ukaguzi wa Marekani zinataka kila kampuni inayouza hisa zake Marekani ikaguliwe na CAG wake ilikuepuka udanganyifu. Miaka na miaka China imekua ikikataa kampuni zake kukaguliwa na CAG wa marekani kwa kigezo cha usalama wa Taifa

Mwaka 2013 China ikafanikiwa kuwashawishi maafisa wa utawala wa Obama wakawekeana mikataba kua CAG wa Marekani akiomba taarifa za Ukaguzi wa kampuni za China atapewa lakini toka hapo hajawahi kupewa taarifa yoyote. Mkataba huo uliomba kampuni za China kuuza hisa zake Marekani bila kukguliwa na CAG wa Marekani, kwamba zitakua zinakaguliwa na wakaguzi wa kichina na iwapo CAG wa marekani atataka taarifa atapewa.

Sasa wamarekani wengi wanasema China imekua ikipewa upendeleo usio wa kawaida kwenye masoko ya Marekani huku ikivunja sheria na kuhatarisha maslahi ya wawekezaji wa Kimarekani.

Trump anatarajia kufutahiyo MOU ya mwaka 2013 na kuzifuta kampuni zote za kichina ambazo hazikaguliwi na Marekani.

Kampuni kama Alibaba, Baidu na nyingine kubwa za Kichina zinatarajia kuondolewa kwenye masoko makubwa ya hisa kama Newyork Stock Exchange, Nasdq na mengine.

Exclusive: Trump administration to soon end audit deal underpinning Chinese listings in U.S. - official
 
China ameshazoea janjajanja. This time lazima aombe poo
Trump hua anasema isingekua udhaifu wa viongozi waliopita ama waliomtangulia China isingekuwepo.

Mfano kama hili eti mnasaini makubaliano kampuni isikaguliwe na mkaguzi, hii akili au matope.

Mikataba dhaifu kama hii cnn hawawezi kuiongelea kwa sababu Obama hakugusa maslahi ya wamiliki wa hivyo vyombo vya habari.
 
Mkuu apo wote wapo sawa marekani amesha kalia kuti kavu Ana jaribu kujiokoa!
Ni ngum sana!
Hamna cha kuti kavu hapa mkuu, china anajipa moyo tuu manake naona ngumi zinaingia taratiibu yeye hajib hata moja, ilianza tarriff kule, bidhaa nyinyi zilikua zimaingia marekan kwa uahuru kidogo sana wakat mingi za marekan china ilikua inatoza mpaka 25% jamaa aka fix, china kalia wee kasema analipiza waap, sasa ndoto za 5G na Huwaei naona kama ndio zinazimika kabisa china kasema atarudisha ngumi waap, sasa mwanaume kaingilia stock exchange, china hana la kufanya, sasa ukitaka jua hali itakuaje wacha achaguliwe kilindi cha pili hio miaka 4 ya lala salama china wajiandae sawa sawa, dunia ya leo hamna vita vipengele tuu
 
Kwenye ugomvi wa Usa na China kuna kitu hua sikielewi na hua hakiongelewi zaidi hua naona ushabiki tu wa wanazi wa mataifa haya hapa jukwaani. Hii mivutano hua ina athari gani kwa Tanzania. Yaani let say Usa anamuwekea vikwazo China, watz tunaofurahia hua tunafaidika na kipi hapa ila pia China akijibu vikwazo au akianza kumuwekea vikwazo Us watz tunaofurahia hua inafaida gani kwetu? Naomba kujua faida na hasara direct/indirect za hii mivutano ya kiuchumi kati ya Us na China.
Asanteni
 
Hamna cha kuti kavu hapa mkuu, china anajipa moyo tuu manake naona ngumi zinaingia taratiibu yeye hajib hata moja, ilianza tarriff kule, bidhaa nyinyi zilikua zimaingia marekan kwa uahuru kidogo sana wakat mingi za marekan china ilikua inatoza mpaka 25% jamaa aka fix, china kalia wee kasema analipiza waap, sasa ndoto za 5G na Huwaei naona kama ndio zinazimika kabisa china kasema atarudisha ngumi waap, sasa mwanaume kaingilia stock exchange, china hana la kufanya, sasa ukitaka jua hali itakuaje wacha achaguliwe kilindi cha pili hio miaka 4 ya lala salama china wajiandae sawa sawa, dunia ya leo hamna vita vipengele tuu
Trump anamchapa mchina kisawasawa! Hii vita ni mbaya kwa China kuliko wangechapana vita vya nyuklia.
 
Kwa kile kinachoitwa muendelezo wa Marekani kuiwekea mbinyo China, sasa Marekani inatarajia kuziondoa kampuni zote za kichina kwenye masoko ya hisa ya Marekani kwa kutofuata kanuni za ukaguzi wa Marekani.

Kanuni za ukaguzi wa Marekani zinataka kila kampuni inayouza hisa zake Marekani ikaguliwe na CAG wake ilikuepuka udanganyifu. Miaka na miaka China imekua ikikataa kampuni zake kukaguliwa na CAG wa marekani kwa kigezo cha usalama wa Taifa

Mwaka 2013 China ikafanikiwa kuwashawishi maafisa wa utawala wa Obama wakawekeana mikataba kua CAG wa Marekani akiomba taarifa za Ukaguzi wa kampuni za China atapewa lakini toka hapo hajawahi kupewa taarifa yoyote. Mkataba huo uliomba kampuni za China kuuza hisa zake Marekani bila kukguliwa na CAG wa Marekani, kwamba zitakua zinakaguliwa na wakaguzi wa kichina na iwapo CAG wa marekani atataka taarifa atapewa.

Sasa wamarekani wengi wanasema China imekua ikipewa upendeleo usio wa kawaida kwenye masoko ya Marekani huku ikivunja sheria na kuhatarisha maslahi ya wawekezaji wa Kimarekani.

Trump anatarajia kufutahiyo MOU ya mwaka 2013 na kuzifuta kampuni zote za kichina ambazo hazikaguliwi na Marekani.

Kampuni kama Alibaba, Baidu na nyingine kubwa za Kichina zinatarajia kuondolewa kwenye masoko makubwa ya hisa kama Newyork Stock Exchange, Nasdq na mengine.

Exclusive: Trump administration to soon end audit deal underpinning Chinese listings in U.S. - official
Kukaguliwa na CAG au na Kampuni ya Ukaguzi inayotambuliwa na PCAOB US?
 
Kwenye ugomvi wa Usa na China kuna kitu hua sikielewi na hua hakiongelewi zaidi hua naona ushabiki tu wa wanazi wa mataifa haya hapa jukwaani. Hii mivutano hua ina athari gani kwa Tanzania. Yaani let say Usa anamuwekea vikwazo China, watz tunaofurahia hua tunafaidika na kipi hapa ila pia China akijibu vikwazo au akianza kumuwekea vikwazo Us watz tunaofurahia hua inafaida gani kwetu? Naomba kujua faida na hasara direct/indirect za hii mivutano ya kiuchumi kati ya Us na China.
Asanteni
... mchina anafadhili vitu vya ajabu ajabu barani Afrika. Tawala mbovu Afrika; tawala zisizojua kwanini zipo madaraka; tawala zilizodumu miaka na miaka; tawala za kurithishana madaraka kana kwamba ni falme zimedumu Afrika kwa mgongo au ufadhili au ulinzi wa China kwa namna moja au nyingine. Hilo ni mojawapo.
 
Trump hua anasema isingekua udhaifu wa viongozi waliopita ama waliomtangulia China isingekuwepo.

Mfano kama hili eti mnasaini makubaliano kampuni isikaguliwe na mkaguzi, hii akili au matope.

Mikataba dhaifu kama hii cnn hawawezi kuiongelea kwa sababu Obama hakugusa maslahi ya wamiliki wa hivyo vyombo vya habari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nawewe unakubali kwamba taifa kama US waingie mkataba bila ukaguzi


Muache utoto ninyi na DT wenu
 
Hamna cha kuti kavu hapa mkuu, china anajipa moyo tuu manake naona ngumi zinaingia taratiibu yeye hajib hata moja, ilianza tarriff kule, bidhaa nyinyi zilikua zimaingia marekan kwa uahuru kidogo sana wakat mingi za marekan china ilikua inatoza mpaka 25% jamaa aka fix, china kalia wee kasema analipiza waap, sasa ndoto za 5G na Huwaei naona kama ndio zinazimika kabisa china kasema atarudisha ngumi waap, sasa mwanaume kaingilia stock exchange, china hana la kufanya, sasa ukitaka jua hali itakuaje wacha achaguliwe kilindi cha pili hio miaka 4 ya lala salama china wajiandae sawa sawa, dunia ya leo hamna vita vipengele tuu
Stock exchange market ishatengenezewa mazingira yakuelekea Beijing ngojea uone .....
 
Back
Top Bottom