Marekani: Mtoto wa miaka 14 avamia shule, aua kikatili wanafunzi wenzake na walimu

Marekani: Mtoto wa miaka 14 avamia shule, aua kikatili wanafunzi wenzake na walimu

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Huko kwenye jimbo la Georgia nchini Marekani, mtoto wa miaka 14, Colin Gray alivamia shule aliyokuwa anasoma ya kuitwa Apalachee High School.

Mtoto huyo ambaye insadakika kuwa alichukua bunduki ya baba yake alifanya unyama huo shuleni hapo na aliweza kuua walimu wawili na wanafunzi wawili.

photo_5969614786499035975_x.jpg

Kufikia sasa, Colin Gray amekamatwa na anashtakiwa kwa makosa manne na anatajiwa kushtakiwa kama mtu mzima kulingana na sheria za Georgia.

Baba yake pia amekamatwa muda mfupi uliopita na atashtakiwa kwa uzembe uliosababisha mwanae kuweza kutumia silaha yake na kufanya unyama huo.

Kwa mwaka 2024 pekee, kufikia sasa kuna watu takriban 527 wameuawa kutokana na mass shootings huko nchini Marekani

Soma pia: Urusi: Mtu mwenye silaha avamia shule, aua watu 6 na kujeruhi 20

Source: CNN
 
Haya matukio yapo kimkakati zaidi na yanakuwa staged.

Kumbuka serikali ya Marekani ina kampeni ya gun control, sasa ili wafanikishe ni lazima watengeneze matukio kama haya ili kuzidisha hofu kwa wananchi na kupelekea kupitisha sheria ya Gun Control....

PROBLEM - REACTION - SOLUTION
 
Huko kwenye jimbo la Georgia nchini Marekani, mtoto wa miaka 14, Colin Gray alivamia shule aliyokuwa anasoma ya kuitwa Apalachee High School.

Mtoto huyo ambaye insadakika kuwa alichukua bunduki ya baba yake alifanya unyama huo shuleni hapo na aliweza kuua walimu wawili na wanafunzi wawili.


Kufikia sasa, Colin Gray amekamatwa na anashtakiwa kwa makosa manne na anatajiwa kushtakiwa kama mtu mzima kulingana na sheria za Georgia.

Baba yake pia amekamatwa muda mfupi uliopita na atashtakiwa kwa uzembe uliosababisha mwanae kuweza kutumia silaha yake na kufanya unyama huo.

Kwa mwaka 2024 pekee, kufikia sasa kuna watu takriban 527 wameuawa kutokana na mass shootings huko nchini Marekani

Soma pia: Urusi: Mtu mwenye silaha avamia shule, aua watu 6 na kujeruhi 20

Source: CNN
Sio muislam huyooo wachunguze vizuri
 
Sema kua na siraha karibu ni temptations sana.

Imagine unarudi geto unakuta demu wako/Mke wako ana nyanduliwa na mtu mwingine, na kiunoni uko na kapistol 🤣 will you think twice? Au utafikiria ukiwa mikononi mwa police?

Afadhari watanganyika, tumewekewa sheria ngumu sana za kumiliki siraha.
 
Haya matukio yapo kimkakati zaidi na yanakuwa staged.

Kumbuka serikali ya Marekani ina kampeni ya gun control, sasa ili wafanikishe ni lazima watengeneze matukio kama haya ili kuzidisha hofu kwa wananchi na kupelekea kupitisha sheria ya Gun Control....

PROBLEM - REACTION - SOLUTION
Hapa umeeleza vizuri Sana mkuu
 
Haya matukio yapo kimkakati zaidi na yanakuwa staged.

Kumbuka serikali ya Marekani ina kampeni ya gun control, sasa ili wafanikishe ni lazima watengeneze matukio kama haya ili kuzidisha hofu kwa wananchi na kupelekea kupitisha sheria ya Gun Control....

PROBLEM - REACTION - SOLUTION
Akili zako unazijua mwenyewe
 
Tatizo la Marekani ni NRA, hao wakidhobitiwa tu na sheria ikapitishwa basi haya mauaji yatakwisha

Niliona Letitia James wa New York alikuwa anajaribu kufanya crackdown ya NRA kuanzia especially its leader Wayne La Pierre. Sijui aliishia wapi
 
Huko kwenye jimbo la Georgia nchini Marekani, mtoto wa miaka 14, Colin Gray alivamia shule aliyokuwa anasoma ya kuitwa Apalachee High School.

Mtoto huyo ambaye insadakika kuwa alichukua bunduki ya baba yake alifanya unyama huo shuleni hapo na aliweza kuua walimu wawili na wanafunzi wawili.


Kufikia sasa, Colin Gray amekamatwa na anashtakiwa kwa makosa manne na anatajiwa kushtakiwa kama mtu mzima kulingana na sheria za Georgia.

Baba yake pia amekamatwa muda mfupi uliopita na atashtakiwa kwa uzembe uliosababisha mwanae kuweza kutumia silaha yake na kufanya unyama huo.

Kwa mwaka 2024 pekee, kufikia sasa kuna watu takriban 527 wameuawa kutokana na mass shootings huko nchini Marekani

Soma pia: Urusi: Mtu mwenye silaha avamia shule, aua watu 6 na kujeruhi 20

Source: CNN
Nikisikia matukio kama haya huko Marekani ninapenda sana, hasa wakiuawa weupe kama hivi.

Na uzuri kwa sheria yao, hakuna adhabu zaidi ya kwenda jela miezi kadhaa. Full democracy
 
Back
Top Bottom