MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #21
Wathubutu kurusha hata risasi moja kwenye kijiji hata kisicho na watu, mumuone Kiduku alivo mpenda shari
Mumemkimbia Mrusi baada ya kuwaaibisha, waarabu wa Bongo mnashida, huyu Kipanki wala hana issue zaidi ya watu wake kuishi kwa njaa, kwa sasa dunia haina balance of power, Mrusi tu ndiye tulikua tunamuogopa ila kwa alivyodhihirisha alivyo hovyo....