Marekani na Korea Kusini warusha kombora kuijibu Korea Kaskazini, Korea Kaskazini yawatumia nyongeza ya makombora 2 ya balistiki

Marekani na Korea Kusini warusha kombora kuijibu Korea Kaskazini, Korea Kaskazini yawatumia nyongeza ya makombora 2 ya balistiki

Ila hawa NK wasingekuwa wanabaniwa na marekani na kutengwa na dunia jamaa wangekuwa wapo vizuri Sana kiuchumi Kwa Sababu jamaa wanaakili Sana nafikiri hata elimu yao ni Bora Sana Kwa mfano Jamaa wanaweza kutengeneza silaha za nuclear,silaha za Masafa ya mbali yaani kisanyansi wapo mbali sana.nakumbuka Tanzania tulipigwa biti kushirikiana na hawa wangetusaidia Sana kisanyansi.nasikia pia wametusaidia kutupa maarifa Kwa sababu nasikia JWTZ kuna Aina za silaha wanatengeneza wenyewe.
 
Back
Top Bottom