Marekani na Nchi Nyingine Za Ulaya Zafunga Balozi Zake Kyiv Ukraine kwa Sababu za Kiusalama

Marekani na Nchi Nyingine Za Ulaya Zafunga Balozi Zake Kyiv Ukraine kwa Sababu za Kiusalama

Mathanzua

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2017
Posts
17,251
Reaction score
22,929
Marekani, Uhispania, Italia, na Ugiriki zimetangaza kufunga kwa muda balozi zao mjini Kyiv siku ya Jumatano, baada ya kuripoti " uwepo hatari kubwa ya mashambulizi ya anga nchini Ukraine."

Ubalozi ya Uhispania iliwajulisha raia wake walioko Ukraine kupitia barua pepe kuhusu kufungwa kwa ofisi hizo, ikiwasihi watafute hifadhi ili kujilinda dhidi ya mashambulizi yanayoweza kutokea, kwa mujibu wa gazeti la kila siku la Uhispania Ultima Hora.

Ubalozi wa Ugiriki ilitoa tamko ikiwasihi raia wake kuepuka safari na kubaki kwenye maeneo salama, ikieleza kuwa hatua ya kufungwa kwa ofisi hizo imetokana na "sababu za kiusalama."

Embassy.png

Vilevile, Ubalozi wa Italia ilieleza kuwa kufunga ubalozi wake ni hatua ya tahadhari kufuatia onyo kutoka Balozi ya Marekani. Iliwasihi raia wa Italia walioko Ukraine kutafuta hifadhi karibu mara moja iwapo shambulio la anga litatokea.

Ikumbukwe kuwa, Ubalozi wa Marekani mjini Kyiv ulitangaza kufungwa kwa ofisi zake, ikieleza kuwa kuna taarifa za kiintelijensia zinaoonesha uwepo wa shambulio kubwa la anga linalotarajiwa kufanyika Novemba 20.

=================

Following the lead of the United States, Spain, Italy, and Greece have announced the temporary suspension of services at their embassies in Kyiv on Wednesday, citing an "increased risk of airstrikes throughout Ukraine."

Spain's embassy informed its nationals in Ukraine via email about the closure, urging them to seek shelter to protect themselves from potential attacks, according to the Spanish daily Ultima Hora.

The Greek Embassy issued a statement advising its citizens to avoid travel and remain in safe spaces, attributing the closure to "security reasons."

Similarly, the Italian Embassy called the suspension a precautionary measure in response to warnings from the US Embassy.

It advised Italian nationals in Ukraine to immediately seek the nearest shelter in case of an airstrike. The US Embassy in Kyiv had earlier announced its closure, citing credible intelligence about a potential large-scale air attack on November 20.
 
Unajua brother,I have been watching this drama unfold since 2014.The US and Western Governments are like kids begging for a fight,but for adult minds, this is very unusual and absurd.

Luckily enough Putin knows what is happening behind the curtain,and that is, Satan is using them as pawns to start WWIII in which Satan's agenda for mass genocide as is happening in Ukraine,Gaza and Lebanon and the West Bank will be unleashed on the World.Kumbuka kwamba hao hao wanaomchombeza Putin,ndio hao hao walioanzisha the Gaza,West Bank,Lebanon,Ukraine and many other genocides.Hata kuanguka kwa gorofa la Kariakoo ni agenda ya Shetani:murder using human agents.Some of us know that waliokufa hawajafa,ni kiini macho tu,Shetani amechukua watu wa kufanya kazi zake!

I believe Putin has had enough,as a human being he has limits,and with the massive preparations Russia is making,I believe dooms day is looming over our heads.Time is surely not on our side at all,ya Kariakoo,Gaza,West Bank na Labanon yanaikumba Dunia muda si mrefu.
 
Unajua brother,I have been watching this drama unfolding since 2010.The US and Western Governments are like kids begging for a fight,but for adults, this is very unusual.

Luckily enough Putin knows what is happening behind the curtain,and that is, Satan is using them as pawns to start WWIII in which Satan's agenda for mass genocide as is happening in Ukraine,Gaza and Lebanon,the West Bank will be unleashed on the World.Kumbuka kwamba hao hao wanaomchonmbeza Putin,ndio hao hao walioanzisha the Gaza,West Bank,Lebanon,Ukraineand many other genocides.Hata kuanguka kwa gorofa la Kariakoo ni agenda ya Shetani:murder using human agents.Some of us know that waliokufa hawajafa,ni kiini macho tu,Shetani amechukua watu wa kufanya kazi zake!

I believe Putin has had enough,as a human being he has limits,and with the massive preparations Russia is making,I believe dooms day is looming over our heads.Time is surely not on our side at all,ya Kariakoo,Gaza,West Bank na Labanon yanaikumba Dunia muda si mrefu.
Mkuu, Vita ni inevitable as long as you bring Satan into the picture.
But pointing finger to the USA & the West as causes for all the killing going on now more or else across the globe is a faulty thinking.
 
Mkuu, Vita ni inevitable as long as you bring Satan into the picture.
But pointing finger to the USA & the West as causes for all the killing going on now more or else across the globe is a faulty thinking.
Brother if you knew the World and how it is run, you wouldn't dare utter these words,you don't.
 
Unajua brother,I have been watching this drama unfolding since 2010.The US and Western Governments are like kids begging for a fight,but for adults, this is very unusual.

Luckily enough Putin knows what is happening behind the curtain,and that is, Satan is using them as pawns to start WWIII in which Satan's agenda for mass genocide as is happening in Ukraine,Gaza and Lebanon and the West Bank will be unleashed on the World.Kumbuka kwamba hao hao wanaomchombeza Putin,ndio hao hao walioanzisha the Gaza,West Bank,Lebanon,Ukraine and many other genocides.Hata kuanguka kwa gorofa la Kariakoo ni agenda ya Shetani:murder using human agents.Some of us know that waliokufa hawajafa,ni kiini macho tu,Shetani amechukua watu wa kufanya kazi zake!

I believe Putin has had enough,as a human being he has limits,and with the massive preparations Russia is making,I believe dooms day is looming over our heads.Time is surely not on our side at all,ya Kariakoo,Gaza,West Bank na Labanon yanaikumba Dunia muda si mrefu.
Kwa nini mnapenda kuandika kiswanglish,nyambavu
 
Marekani, Uhispania, Italia, na Ugiriki zimetangaza kufunga kwa muda balozi zao mjini Kyiv siku ya Jumatano, baada ya kuripoti " uwepo hatari kubwa ya mashambulizi ya anga nchini Ukraine."

Ubalozi ya Uhispania iliwajulisha raia wake walioko Ukraine kupitia barua pepe kuhusu kufungwa kwa ofisi hizo, ikiwasihi watafute hifadhi ili kujilinda dhidi ya mashambulizi yanayoweza kutokea, kwa mujibu wa gazeti la kila siku la Uhispania Ultima Hora.

Ubalozi wa Ugiriki ilitoa tamko ikiwasihi raia wake kuepuka safari na kubaki kwenye maeneo salama, ikieleza kuwa hatua ya kufungwa kwa ofisi hizo imetokana na "sababu za kiusalama."


Vilevile, Ubalozi wa Italia ilieleza kuwa kufunga ubalozi wake ni hatua ya tahadhari kufuatia onyo kutoka Balozi ya Marekani. Iliwasihi raia wa Italia walioko Ukraine kutafuta hifadhi karibu mara moja iwapo shambulio la anga litatokea.

Ikumbukwe kuwa, Ubalozi wa Marekani mjini Kyiv ulitangaza kufungwa kwa ofisi zake, ikieleza kuwa kuna taarifa za kiintelijensia zinaoonesha uwepo wa shambulio kubwa la anga linalotarajiwa kufanyika Novemba 20.

=================

Following the lead of the United States, Spain, Italy, and Greece have announced the temporary suspension of services at their embassies in Kyiv on Wednesday, citing an "increased risk of airstrikes throughout Ukraine."

Spain's embassy informed its nationals in Ukraine via email about the closure, urging them to seek shelter to protect themselves from potential attacks, according to the Spanish daily Ultima Hora.

The Greek Embassy issued a statement advising its citizens to avoid travel and remain in safe spaces, attributing the closure to "security reasons."

Similarly, the Italian Embassy called the suspension a precautionary measure in response to warnings from the US Embassy.

It advised Italian nationals in Ukraine to immediately seek the nearest shelter in case of an airstrike. The US Embassy in Kyiv had earlier announced its closure, citing credible intelligence about a potential large-scale air attack on November 20.
🇷🇺🇺🇦 Six Russian missile carriers deployed to Black Sea.

Russia has stationed 6 missile carriers in the Black Sea, reportedly Armed with Kalibr cruise missiles - Ukrinform.

Meanwhile, US, Greece, Spain and Italy have officially closed their embassies in Ukraine.
 

Attachments

  • IMG_20241121_144002.jpg
    IMG_20241121_144002.jpg
    52.2 KB · Views: 3
Marekani, Uhispania, Italia, na Ugiriki zimetangaza kufunga kwa muda balozi zao mjini Kyiv siku ya Jumatano, baada ya kuripoti " uwepo hatari kubwa ya mashambulizi ya anga nchini Ukraine."

Ubalozi ya Uhispania iliwajulisha raia wake walioko Ukraine kupitia barua pepe kuhusu kufungwa kwa ofisi hizo, ikiwasihi watafute hifadhi ili kujilinda dhidi ya mashambulizi yanayoweza kutokea, kwa mujibu wa gazeti la kila siku la Uhispania Ultima Hora.

Ubalozi wa Ugiriki ilitoa tamko ikiwasihi raia wake kuepuka safari na kubaki kwenye maeneo salama, ikieleza kuwa hatua ya kufungwa kwa ofisi hizo imetokana na "sababu za kiusalama."


Vilevile, Ubalozi wa Italia ilieleza kuwa kufunga ubalozi wake ni hatua ya tahadhari kufuatia onyo kutoka Balozi ya Marekani. Iliwasihi raia wa Italia walioko Ukraine kutafuta hifadhi karibu mara moja iwapo shambulio la anga litatokea.

Ikumbukwe kuwa, Ubalozi wa Marekani mjini Kyiv ulitangaza kufungwa kwa ofisi zake, ikieleza kuwa kuna taarifa za kiintelijensia zinaoonesha uwepo wa shambulio kubwa la anga linalotarajiwa kufanyika Novemba 20.

=================

Following the lead of the United States, Spain, Italy, and Greece have announced the temporary suspension of services at their embassies in Kyiv on Wednesday, citing an "increased risk of airstrikes throughout Ukraine."

Spain's embassy informed its nationals in Ukraine via email about the closure, urging them to seek shelter to protect themselves from potential attacks, according to the Spanish daily Ultima Hora.

The Greek Embassy issued a statement advising its citizens to avoid travel and remain in safe spaces, attributing the closure to "security reasons."

Similarly, the Italian Embassy called the suspension a precautionary measure in response to warnings from the US Embassy.

It advised Italian nationals in Ukraine to immediately seek the nearest shelter in case of an airstrike. The US Embassy in Kyiv had earlier announced its closure, citing credible intelligence about a potential large-scale air attack on November 20.
Wamelianzisha sasa wasikimbie.
 
Back
Top Bottom