Marekani na Nchi Nyingine Za Ulaya Zafunga Balozi Zake Kyiv Ukraine kwa Sababu za Kiusalama

Marekani na Nchi Nyingine Za Ulaya Zafunga Balozi Zake Kyiv Ukraine kwa Sababu za Kiusalama

Marekani, Uhispania, Italia, na Ugiriki zimetangaza kufunga kwa muda balozi zao mjini Kyiv siku ya Jumatano, baada ya kuripoti " uwepo hatari kubwa ya mashambulizi ya anga nchini Ukraine."

Ubalozi ya Uhispania iliwajulisha raia wake walioko Ukraine kupitia barua pepe kuhusu kufungwa kwa ofisi hizo, ikiwasihi watafute hifadhi ili kujilinda dhidi ya mashambulizi yanayoweza kutokea, kwa mujibu wa gazeti la kila siku la Uhispania Ultima Hora.

Ubalozi wa Ugiriki ilitoa tamko ikiwasihi raia wake kuepuka safari na kubaki kwenye maeneo salama, ikieleza kuwa hatua ya kufungwa kwa ofisi hizo imetokana na "sababu za kiusalama."


Vilevile, Ubalozi wa Italia ilieleza kuwa kufunga ubalozi wake ni hatua ya tahadhari kufuatia onyo kutoka Balozi ya Marekani. Iliwasihi raia wa Italia walioko Ukraine kutafuta hifadhi karibu mara moja iwapo shambulio la anga litatokea.

Ikumbukwe kuwa, Ubalozi wa Marekani mjini Kyiv ulitangaza kufungwa kwa ofisi zake, ikieleza kuwa kuna taarifa za kiintelijensia zinaoonesha uwepo wa shambulio kubwa la anga linalotarajiwa kufanyika Novemba 20.

=================

Following the lead of the United States, Spain, Italy, and Greece have announced the temporary suspension of services at their embassies in Kyiv on Wednesday, citing an "increased risk of airstrikes throughout Ukraine."

Spain's embassy informed its nationals in Ukraine via email about the closure, urging them to seek shelter to protect themselves from potential attacks, according to the Spanish daily Ultima Hora.

The Greek Embassy issued a statement advising its citizens to avoid travel and remain in safe spaces, attributing the closure to "security reasons."

Similarly, the Italian Embassy called the suspension a precautionary measure in response to warnings from the US Embassy.

It advised Italian nationals in Ukraine to immediately seek the nearest shelter in case of an airstrike. The US Embassy in Kyiv had earlier announced its closure, citing credible intelligence about a potential large-scale air attack on November 20.
US ameshafungua mbona? Waliufunga kwa siku moja tu.
 
Naona nia yao kubwa ni kutupa nuclear bomb
Wameishafanya majaribio sana ardhini, majini, na hata underground sehemu nyingi na sasa naona wanataka kuona watauwa wangapi

Niliangalia documentary moja inaitwa Britain's Nuclear bomb Scandal kwa kweli inatisha na kufikirisha sana kwa jinsi 🇬🇧 miaka ya 50 na 60 walivyowaathiri wanajeshi wao kwa kuwafanya Laboratory Rats huko Australia
Sasa kama mpaka leo mamia kwa mamia ya wajeda waliopelekwa kuwa majaribio mpaka leo generation ya Tatu watoto wanazaliwa wakiwa na matatizo au vifo itakuwa Ukraine na Russia?

Ila na sisi athari tutazipata tu pakiwaka
 
Yaan US hana tofauti na mtu anaekwenda kuwinda kwa kutumia MBWA. Kipindi sisi tunakua wale wenye umri mkubwa walikuwa wanapenda sana kwenda kuwinda kwa kutumia Mbwa, sasa kuna siku mbwa aliingia kwenye kichaka.

Kumbe kwenye kile kichaka kulikuwa na kiboko ambae alichelewa kurudi kwenye bwawa, sasa yule mbwa alikwenda kumchokonoa, baada ya kumshindwa alichokifanya yule mbwa ni kukimbia nakuwafuata binadamu walipo.

Ilikuwa hatari sana, maana alichokoza harafu akawaachia watu hekaheka
 
Mkuu, Vita ni inevitable as long as you bring Satan into the picture.
But pointing finger to the USA & the West as causes for all the killing going on now more or else across the globe is a faulty thinking.
Yeah! Ni fikra potofu kwani;
Je; USA & the West wapo pia huko Sudani, Congo DRC, Somalia, Nigeria kaskazini Haiti, Msumbiji n.k.?
Je; USA & the West ndo visababishi wa mauaji ya mtindo wa kuteka watu na kuwapoteza hapa Tz?
 
Naona nia yao kubwa ni kutupa nuclear bomb
Wameishafanya majaribio sana ardhini, majini, na hata underground sehemu nyingi na sasa naona wanataka kuona watauwa wangapi

Niliangalia documentary moja inaitwa Britain's Nuclear bomb Scandal kwa kweli inatisha na kufikirisha sana kwa jinsi 🇬🇧 miaka ya 50 na 60 walivyowaathiri wanajeshi wao kwa kuwafanya Laboratory Rats huko Australia
Sasa kama mpaka leo mamia kwa mamia ya wajeda waliopelekwa kuwa majaribio mpaka leo generation ya Tatu watoto wanazaliwa wakiwa na matatizo au vifo itakuwa Ukraine na Russia?

Ila na sisi athari tutazipata tu pakiwaka
Tuzingatie hili 👉" Ila na sisi athari tutazipata tu pakiwaka " 👊
 
Marekani, Uhispania, Italia, na Ugiriki zimetangaza kufunga kwa muda balozi zao mjini Kyiv siku ya Jumatano, baada ya kuripoti " uwepo hatari kubwa ya mashambulizi ya anga nchini Ukraine."

Ubalozi ya Uhispania iliwajulisha raia wake walioko Ukraine kupitia barua pepe kuhusu kufungwa kwa ofisi hizo, ikiwasihi watafute hifadhi ili kujilinda dhidi ya mashambulizi yanayoweza kutokea, kwa mujibu wa gazeti la kila siku la Uhispania Ultima Hora.

Ubalozi wa Ugiriki ilitoa tamko ikiwasihi raia wake kuepuka safari na kubaki kwenye maeneo salama, ikieleza kuwa hatua ya kufungwa kwa ofisi hizo imetokana na "sababu za kiusalama."


Vilevile, Ubalozi wa Italia ilieleza kuwa kufunga ubalozi wake ni hatua ya tahadhari kufuatia onyo kutoka Balozi ya Marekani. Iliwasihi raia wa Italia walioko Ukraine kutafuta hifadhi karibu mara moja iwapo shambulio la anga litatokea.

Ikumbukwe kuwa, Ubalozi wa Marekani mjini Kyiv ulitangaza kufungwa kwa ofisi zake, ikieleza kuwa kuna taarifa za kiintelijensia zinaoonesha uwepo wa shambulio kubwa la anga linalotarajiwa kufanyika Novemba 20.

=================

Following the lead of the United States, Spain, Italy, and Greece have announced the temporary suspension of services at their embassies in Kyiv on Wednesday, citing an "increased risk of airstrikes throughout Ukraine."

Spain's embassy informed its nationals in Ukraine via email about the closure, urging them to seek shelter to protect themselves from potential attacks, according to the Spanish daily Ultima Hora.

The Greek Embassy issued a statement advising its citizens to avoid travel and remain in safe spaces, attributing the closure to "security reasons."

Similarly, the Italian Embassy called the suspension a precautionary measure in response to warnings from the US Embassy.

It advised Italian nationals in Ukraine to immediately seek the nearest shelter in case of an airstrike. The US Embassy in Kyiv had earlier announced its closure, citing credible intelligence about a potential large-scale air attack on November 20.
Wanaingizwa mkenge theni wanakimbiwa

Au kufunga barozi kuna maana nyingine tofauti na kuachwa solemba?
 
Wanaingizwa mkenge theni wanakimbiwa

Au kufunga barozi kuna maana nyingine tofauti na kuachwa solemba?
Kufunga balozi ni sawa na ile amri ya evacuation order inayotolewa na Israel huko Lebanon. Manake "pisheni hapo ili mtifuano utamalaki msije kulialia eti anaua hata raia wasio na hatia."
 
Kufunga balozi ni sawa na ile amri ya evacuation order inayotolewa na Israel huko Lebanon. Manake "pisheni hapo ili mtifuano utamalaki msije kulialia eti anaua hata raia wasio na hatia."
Kwaiyo rasmi Ukraine 🇺🇦 unaenda kua uwanja wa vita
 
Back
Top Bottom