Marekani naye ameibuka na tamko dhidi ya Tanzania

Marekani naye ameibuka na tamko dhidi ya Tanzania

Status
Not open for further replies.
Kama la kwanza ni mtazamo kwanini ushoga usiwe mtazamo nao?

Teh teh teh tihiii
mdiyo nimesema hivyo, wenye MTAZAMO wa kuwa washoga ni mzuri, lazima wataona NCHI inaenda kusiko. lkn kwa sisi tunaopinga ushoga waziwazi tunaona nchi yetu inaenda sawa bin sawia.

ona hapo wake wa marais wa NATO walivyojipanga. na yule mwenye tai hayupo kimakosa bali ni mke wa rais wa Luxemburg.
kweli dunia imejichokea.

IMG-20181110-WA0010.jpg
 
Kinachoskitisha bado hatuoni kama hii nchi inapoelekea sio kuzuri.

Ninakubaliana nawe. Ila ni lazima tujue kuwa hawa wazungu hawajali mambo ya mtanzania kamwe, na hicho ndicho kinaniudhi. Yaani kuna mambo mengi sana ya kipuzi ambayo serikali ya CCM imefanya lakini hawa wazungu hawajajali na wametoa tu tamko moja moja. Lakini ilipofika kuwa mashoga wameguzwa, wamejifanya kutoa tamko kila mahali. Hawa watu hujali tu mashoga na si watanzania. Ikiwa Pombe atatoa amri kuwa mashoga walindwe, kisha baadaye awatese watanzania maradufu, watamsifu sana. Ni lazima wapinzani wa Magufuli wajue wako peke yao katika kupigania taifa bora. Nawatakia mema.
 
Viranja wa Dunia. Bila America tungekuwa na World war 5 sahii. USA ndio inasmamia haki na uhuru wa kibinadamu kote duniani. Mkianza kujifanya kama manyani they take care of you, uwe wewe ni mchina,Muafrika ama We ni Mzungu kutoka Europe ama America wote tuko china Uongozi wa US kama World leader through the UN.
Kwani marekani ni nani?!!
 
Viranja wa Dunia. Bila America tungekuwa na World war 5 sahii. USA ndio inasmamia haki na uhuru wa kibinadamu kote duniani. Mkianza kujifanya kama manyani they take care of you, uwe wewe ni mchina,Muafrika ama We ni Mzungu kutoka Europe ama America wote tuko china Uongozi wa US kama World leader through the UN.

Kati nyani na binaadamu anayeliwa mkundv nani ni mstaarabu duniani hapa!!!!

Trump mwenyewe anajua usenge haufai,ndio maana hakubaliani nao.
 
Ninakubaliana nawe. Ila ni lazima tujue kuwa hawa wazungu hawajali mambo ya mtanzania kamwe, na hicho ndicho kinaniudhi. Yaani kuna mambo mengi sana ya kipuzi ambayo serikali ya CCM imefanya lakini hawa wazungu hawajajali na wametoa tu tamko moja moja. Lakini ilipofika kuwa mashoga wameguzwa, wamejifanya kutoa tamko kila mahali. Hawa watu hujali tu mashoga na si watanzania. Ikiwa Pombe atatoa amri kuwa mashoga walindwe, kisha baadaye awatese watanzania maradufu, watamsifu sana. Ni lazima wapinzani wa Magufuli wajue wako peke yao katika kupigania taifa bora. Nawatakia mema.

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kuna wenzako mazuzu,wanadhani mzungu anawatakia mema baada ya hili saga.

Jitahidi kuwaelimisha mkuu.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kuna wenzako mazuzu,wanadhani mzungu anawatakia mema baada ya hili saga.

Jitahidi kuwaelimisha mkuu.
Hakuna siku mzungu hutakia mema Mwafrika, lakini kwa vile anawalisha na kuwalea kwa misaada yake, hivyo inabidi kuwa makini unapomchokonoa.
Kuna nchi nyingi tu mashoga hufungwa jela na kupigwa lakini hufanyika kimya kimya, sasa nyie mnapayuka bila mpango mnaishia kulishwa kibano kwa umaskini wenu.
 
Ni mtazamo tu though ndio maana wengine pia mtazamo wetu,ushoga ukataliwe.
Kuna pokuwepo na mitazamo kinzani lazima tuweke miongozo.

Tuheshimu miongozo tulioisaini wenyewe.
 
Ninakubaliana nawe. Ila ni lazima tujue kuwa hawa wazungu hawajali mambo ya mtanzania kamwe, na hicho ndicho kinaniudhi. Yaani kuna mambo mengi sana ya kipuzi ambayo serikali ya CCM imefanya lakini hawa wazungu hawajajali na wametoa tu tamko moja moja. Lakini ilipofika kuwa mashoga wameguzwa, wamejifanya kutoa tamko kila mahali. Hawa watu hujali tu mashoga na si watanzania. Ikiwa Pombe atatoa amri kuwa mashoga walindwe, kisha baadaye awatese watanzania maradufu, watamsifu sana. Ni lazima wapinzani wa Magufuli wajue wako peke yao katika kupigania taifa bora. Nawatakia mema.
Lakini utakubaliana nami double standard ya mmarekani bado sio chochote kwenye kuwatetea wanaonyanyaswa.

Naweza kubaliana nawe maelezo yako.
 
Teh teh teh tihiii
mdiyo nimesema hivyo, wenye MTAZAMO wa kuwa washoga ni mzuri, lazima wataona NCHI inaenda kusiko. lkn kwa sisi tunaopinga ushoga waziwazi tunaona nchi yetu inaenda sawa bin sawia.

ona hapo wake wa marais wa NATO walivyojipanga. na yule mwenye tai hayupo kimakosa bali ni mke wa rais wa Luxemburg.
kweli dunia imejichokea.

View attachment 928919

Bado unaendelea kuandika mtazamo wako.

Dunia iliona kila mmoja anamtazamo wake kwenye kila jambo ndiyo maana zikawepo sheria zinazotoa miongozo.

Unapozivunja lazima uwajibishwe au utengue kauli kama tulivyotengua sisi majuzi hapo.

Na ukishaanza kutengua tengua kauli unaonekana mwehu maana ulizisaini mwenyewe.
 
Mnaosema haya matamko ni propaganda za Wakenya mnajiliwaza tu, hili hapa lipo kwenye tovuti ya serikali ya Marekani tena toleo la tarehe ya jana. Kama nilivyoshauri kwenye uzi mwengine, itabidi huyo Bashite ashushwe ndio hawa wazungu watawaacha salama, mligusa nyeti zao ilhali mnategemea hela wanazowapa.
Hamkufaa kukurupuka hivyo, haya mambo hufanywa kwa kutumia akili, mnafaa kuwaminya mabwabwa kichini chini tena kimya kimya na sio kwa kiherehere cha kuropokwa eti mtawafuata mlango kwa mlango, nyumba kwa nyumba, yaani hapa mnamkana Bashite lakini wazungu hawajatosheka hadi waone kitu, lazima wazae na nyie kwa hili, mtajaribu kulaumu Kenya kama ilivyo kila mkikumbana na changamoto, lakini haitowasaidia.
------------------------------------------------------
Deterioration of Civil Liberties and Human Rights in Tanzania
Press Statement
Heather Nauert
Department Spokesperson
Washington, DC
November 9, 2018



The United States government is deeply concerned over escalating attacks and legislative actions by the Government of Tanzania that violate civil liberties and human rights, creating an atmosphere of violence, intimidation, and discrimination. We are troubled by the continued arrests and harassment of marginalized persons, including lesbian, gay, bisexual and transgender people, and others who seek to exercise their rights to freedom of speech, association and assembly. Legislation is being used to restrict civil liberties for all.
The deteriorating state of human rights and rule of law in Tanzania inhibits development, economic prosperity, peace, and security. We call on Tanzanian authorities to act decisively to safeguard the rights of civil society organizations, human rights defenders, journalists, health workers, political activists, and all people in accordance with the Tanzanian constitution, the African Charter on Human and People’s Rights, and the country’s international and regional obligations and commitments.
Deterioration of Civil Liberties and Human Rights in Tanzania
Nimesema hapa tena na tena...this is dictatorship loading...watch this space
 
Tutakula hata mawe ila kwa suala la Ushoga hatulikubali
 
Wakenya waoga sana, ndio maana mambo yakiwa magumu mnakimbia badala kuyatatua. Sasa hili tamko ni la kiliogopa, hata hao wamarekani wanajuwa kuna sheria za nchi zinazotakiwa kufuatwa
Uhuru Kenyatta alimwambia Obama to his face, homosexuality is a non-issue in Kenya and our culture does not condone it. Kenyans are assertive yet unlike Tanzanians hatufanyi mambo kiubabeubabe - we think first. Sio ninyi mnakurupuka na kujifanya wababe alafu mwishowe mnaishia kuomba misamaha na kujiaibisha.
 
Mnaosema haya matamko ni propaganda za Wakenya mnajiliwaza tu, hili hapa lipo kwenye tovuti ya serikali ya Marekani tena toleo la tarehe ya jana. Kama nilivyoshauri kwenye uzi mwengine, itabidi huyo Bashite ashushwe ndio hawa wazungu watawaacha salama, mligusa nyeti zao ilhali mnategemea hela wanazowapa.
Hamkufaa kukurupuka hivyo, haya mambo hufanywa kwa kutumia akili, mnafaa kuwaminya mabwabwa kichini chini tena kimya kimya na sio kwa kiherehere cha kuropokwa eti mtawafuata mlango kwa mlango, nyumba kwa nyumba, yaani hapa mnamkana Bashite lakini wazungu hawajatosheka hadi waone kitu, lazima wazae na nyie kwa hili, mtajaribu kulaumu Kenya kama ilivyo kila mkikumbana na changamoto, lakini haitowasaidia.
------------------------------------------------------
Deterioration of Civil Liberties and Human Rights in Tanzania
Press Statement
Heather Nauert
Department Spokesperson
Washington, DC
November 9, 2018



The United States government is deeply concerned over escalating attacks and legislative actions by the Government of Tanzania that violate civil liberties and human rights, creating an atmosphere of violence, intimidation, and discrimination. We are troubled by the continued arrests and harassment of marginalized persons, including lesbian, gay, bisexual and transgender people, and others who seek to exercise their rights to freedom of speech, association and assembly. Legislation is being used to restrict civil liberties for all.
The deteriorating state of human rights and rule of law in Tanzania inhibits development, economic prosperity, peace, and security. We call on Tanzanian authorities to act decisively to safeguard the rights of civil society organizations, human rights defenders, journalists, health workers, political activists, and all people in accordance with the Tanzanian constitution, the African Charter on Human and People’s Rights, and the country’s international and regional obligations and commitments.
Deterioration of Civil Liberties and Human Rights in Tanzania
Nyinyi Kenya endeleeni kufunuliwa marinda sisi watz hatutaki kama misaada yao waondoke nayo tutakula majani lakini ushoga hatutaki. Wamarekani wanatujua tangu enzi ya Baba wa Taifa Nyerere walituletea vya kuleta eti tuwaunge mkono sisi tukasema sisi hatuunge mkono yoyote! Lakini Kenya kwa kujipendekeza kwa hao wazungu hamjambo!!
 
Nyinyi Kenya endeleeni kufunuliwa marinda sisi watz hatutaki kama misaada yao waondoke nayo tutakula majani lakini ushoga hatutaki. Wamarekani wanatujua tangu enzi ya Baba wa Taifa Nyerere walituletea vya kuleta eti tuwaunge mkono sisi tukasema sisi hatuunge mkono yoyote! Lakini Kenya kwa kujipendekeza kwa hao wazungu hamjambo!!
WEWE UNATEMBELEA MAGARI YA KIFAHARI NA KUTAFUNA KODI ZA WANANCHI KIULAINI NDIO MAANA UNAROPOKA HAPO ETI TUTAKULA HATA MAJANI!!!!

MISAADA IKIKATWA KWANI WEWE UTAATHIRIKA KITU?

MKUU, WEWE SI UPO ULE UPANDE WA WANAOKULA KUKU KWA MRIJA?
 
Uhuru Kenyatta alimwambia Obama to his face, homosexuality is a non-issue in Kenya and our culture does not condone it. Kenyans are assertive yet unlike Tanzanians hatufanyi mambo kiubabeubabe - we think first. Sio ninyi mnakurupuka na kujifanya wababe alafu mwishowe mnaishia kuomba misamaha na kujiaibisha.
Uhuru anachaguwa tu mahali pakusema mambo ambayo hata yeye anajua hayatekelezeki. Ukisema mbele ya Obama unategemea atakujibu nini? Yeye sio gay, ukisema mbele ya camera za CNN without any representative from gay community, unataka CNN waseme nini. Mpeleke kigaangoni kwenye majukwaa ya gay right ndio utapata picha kamili

Having said that, mpaka April 2018 Kenya ilikuwa inavunja sheria zote za kimataifa za haki za binadamu kwa kukamata mashoga na kuwapima kwa kuwaingizia vitu kwenye makalio. Hiyo practice haijawahi kutumika Tanzania mpaka Makonda alipokuja na sheria zake za mifukoni.
 
WEWE UNATEMBELEA MAGARI YA KIFAHARI NA KUTAFUNA KODI ZA WANANCHI KIULAINI NDIO MAANA UNAROPOKA HAPO ETI TUTAKULA HATA MAJANI!!!!

MISAADA IKIKATWA KWANI WEWE UTAATHIRIKA KITU?

MKUU, WEWE SI UPO ULE UPANDE WA WANAOKULA KUKU KWA MRIJA?
Ukiwa unawaza misaada sana kutoka kwa wazungu hutaendelea milele
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom