Marekani naye ameibuka na tamko dhidi ya Tanzania

Marekani naye ameibuka na tamko dhidi ya Tanzania

Status
Not open for further replies.
USA ndio inasmamia haki na uhuru wa kibinadamu kote duniani.
Bruh....stop that right there. America doesn't care for neither justice nor freedom

But this stupidity in African countries of persecuting adults just because they wanna fu.ck and express their love differently is baffling
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Viranja wa Dunia. Bila America tungekuwa na World war 5 sahii. USA ndio inasmamia haki na uhuru wa kibinadamu kote duniani. Mkianza kujifanya kama manyani they take care of you, uwe wewe ni mchina,Muafrika ama We ni Mzungu kutoka Europe ama America wote tuko china Uongozi wa US kama World leader through the UN.
Kwa huo upuuzi uliouandika hapo juu hatari hafu ukute wewe ndo msomi wa Kenya.

Kwa upuuzi huo ndo napata picha kamili ya upuuzi wa elimu ya Kenya ilivyo.
 
Uhuru anachaguwa tu mahali pakusema mambo ambayo hata yeye anajua hayatekelezeki. Ukisema mbele ya Obama unategemea atakujibu nini? Yeye sio gay, ukisema mbele ya camera za CNN without any representative from gay community, unataka CNN waseme nini. Mpeleke kigaangoni kwenye majukwaa ya gay right ndio utapata picha kamili

Having said that, mpaka April 2018 Kenya ilikuwa inavunja sheria zote za kimataifa za haki za binadamu kwa kukamata mashoga na kuwapima kwa kuwaingizia vitu kwenye makalio. Hiyo practice haijawahi kutumika Tanzania mpaka Makonda alipokuja na sheria zake za mifukoni.
Ila Kenya tunaonyesha ubabe Kadri ya uwezo wetu. Hilo ndilo nataka uelewe.

Swali kwako ni, mbona ujifanye mbabe alafu uanze kubabaika baadaye na kuomba msamaha? Aibu tupu. Kama wewe ni mbabe, endelea na ubabe wako na usiwe ombaomba. Sasa wewe mwenyewe maskini wa kutupwa alafu unajaribu kuwaonyesha wale wale wanaokulisha ubabe.
 
Mnaosema haya matamko ni propaganda za Wakenya mnajiliwaza tu, hili hapa lipo kwenye tovuti ya serikali ya Marekani tena toleo la tarehe ya jana. Kama nilivyoshauri kwenye uzi mwengine, itabidi huyo Bashite ashushwe ndio hawa wazungu watawaacha salama, mligusa nyeti zao ilhali mnategemea hela wanazowapa.
Hamkufaa kukurupuka hivyo, haya mambo hufanywa kwa kutumia akili, mnafaa kuwaminya mabwabwa kichini chini tena kimya kimya na sio kwa kiherehere cha kuropokwa eti mtawafuata mlango kwa mlango, nyumba kwa nyumba, yaani hapa mnamkana Bashite lakini wazungu hawajatosheka hadi waone kitu, lazima wazae na nyie kwa hili, mtajaribu kulaumu Kenya kama ilivyo kila mkikumbana na changamoto, lakini haitowasaidia.
------------------------------------------------------
Deterioration of Civil Liberties and Human Rights in Tanzania
Press Statement
Heather Nauert
Department Spokesperson
Washington, DC
November 9, 2018



The United States government is deeply concerned over escalating attacks and legislative actions by the Government of Tanzania that violate civil liberties and human rights, creating an atmosphere of violence, intimidation, and discrimination. We are troubled by the continued arrests and harassment of marginalized persons, including lesbian, gay, bisexual and transgender people, and others who seek to exercise their rights to freedom of speech, association and assembly. Legislation is being used to restrict civil liberties for all.
The deteriorating state of human rights and rule of law in Tanzania inhibits development, economic prosperity, peace, and security. We call on Tanzanian authorities to act decisively to safeguard the rights of civil society organizations, human rights defenders, journalists, health workers, political activists, and all people in accordance with the Tanzanian constitution, the African Charter on Human and People’s Rights, and the country’s international and regional obligations and commitments.
Deterioration of Civil Liberties and Human Rights in Tanzania
Majitu hayajifunzi kabisa?wakati wa baba wa Taiga,jeshi lilipo hasi,mnakumbuka kilichomuokoa Mwalimu Nyerere?sio msimamo wake dhidi ya ubeberu,sio Sera za ujamaa,aliwaomba wazungu hao hao,wakoroni waje wamsaidie,
Sisi hatuna uwezo wa kupambana na hawa wazungu,kiuchumi,Cuba ilijaribu,lakini mpaka karne 21,bado walitafuta uhusiano na USA,baada ya kuona mambo hayaendi,sasa HV hatupo kwenye vita baridi,hivi wazungu hawa wakigoma kununua pareto yetu,mkonge wetu,kahawa yetu,pamba yetu,mtayapereka wapi haya mazao?tuache ujinga,ushoga ni minor issue,tuachane nayo
 
Sasa akitamka inatuathiri nini sisi? Tumeshapata ushoga mbona majirani mnatulazimisha
 
Mnaosema haya matamko ni propaganda za Wakenya mnajiliwaza tu, hili hapa lipo kwenye tovuti ya serikali ya Marekani tena toleo la tarehe ya jana. Kama nilivyoshauri kwenye uzi mwengine, itabidi huyo Bashite ashushwe ndio hawa wazungu watawaacha salama, mligusa nyeti zao ilhali mnategemea hela wanazowapa.
Hamkufaa kukurupuka hivyo, haya mambo hufanywa kwa kutumia akili, mnafaa kuwaminya mabwabwa kichini chini tena kimya kimya na sio kwa kiherehere cha kuropokwa eti mtawafuata mlango kwa mlango, nyumba kwa nyumba, yaani hapa mnamkana Bashite lakini wazungu hawajatosheka hadi waone kitu, lazima wazae na nyie kwa hili, mtajaribu kulaumu Kenya kama ilivyo kila mkikumbana na changamoto, lakini haitowasaidia.
------------------------------------------------------
Deterioration of Civil Liberties and Human Rights in Tanzania
Press Statement
Heather Nauert
Department Spokesperson
Washington, DC
November 9, 2018



The United States government is deeply concerned over escalating attacks and legislative actions by the Government of Tanzania that violate civil liberties and human rights, creating an atmosphere of violence, intimidation, and discrimination. We are troubled by the continued arrests and harassment of marginalized persons, including lesbian, gay, bisexual and transgender people, and others who seek to exercise their rights to freedom of speech, association and assembly. Legislation is being used to restrict civil liberties for all.
The deteriorating state of human rights and rule of law in Tanzania inhibits development, economic prosperity, peace, and security. We call on Tanzanian authorities to act decisively to safeguard the rights of civil society organizations, human rights defenders, journalists, health workers, political activists, and all people in accordance with the Tanzanian constitution, the African Charter on Human and People’s Rights, and the country’s international and regional obligations and commitments.
Deterioration of Civil Liberties and Human Rights in Tanzania
Sasa hawa jamaa wanatoaje matamko kwa kiingereza, inamana hawajui sie kiingereza hatujui?

Wanatupa tabu kutafuta wakalimani! Next time watoage matamko kwa kiswahili!!
 
Ila Kenya tunaonyesha ubabe Kadri ya uwezo wetu. Hilo ndilo nataka uelewe.

Swali kwako ni, mbona ujifanye mbabe alafu uanze kubabaika baadaye na kuomba msamaha? Aibu tupu. Kama wewe ni mbabe, endelea na ubabe wako na usiwe ombaomba. Sasa wewe mwenyewe maskini wa kutupwa alafu unajaribu kuwaonyesha wale wale wanaokulisha ubabe.
Huu ubabe ni wa midomoni tu? Ile sinema ya ushoga imeishia wapi bado imekatazwa? Bora hata Uganda walitishia kidogo mpaka dunia ikasimama lakini Kenya mpaka mnaitangazia dunia kwa sinema. Ukisema Tanzania imeomba msamaa, imeomba msamaa kwa kufuta sheria inayokataza ushoga? Hakuna watu anakesi mahakamani?
 
Huu ubabe ni wa midomoni tu? Ile sinema ya ushoga imeishia wapi bado imekatazwa? Bora hata Uganda walitishia kidogo mpaka dunia ikasimama lakini Kenya mpaka mnaitangazia dunia kwa sinema. Ukisema Tanzania imeomba msamaa, imeomba msamaa kwa kufuta sheria inayokataza ushoga? Hakuna watu anakesi mahakamani?
Labda hujui kusoma ama huelewi unachosoma. Walio na ubabe ni Watanzania. Kenya tunafanya vitu practical and within our might. Nyie hamna chochote cha kujulikana nacho duniani ndio maana mnashinda mkitunisha vimisuli vilivyodhoofika alafu baadaye mnarudi kujiaibisha kwa kuvikana mnapotishiwa kidogo. Sisi we have nothing to prove, we just do what we think is right for us.
 
Labda hujui kusoma ama huelewi unachosoma. Walio na ubabe ni Watanzania. Kenya tunafanya vitu practical and within our might. Nyie hamna chochote cha kujulikana nacho duniani ndio maana mnashinda mkitunisha vimisuli vilivyodhoofika alafu baadaye mnarudi kujiaibisha kwa kuvikana mnapotishiwa kidogo. Sisi we have nothing to prove, we just do what we think is right for us.
Hii ndio definition ya kuongea pumba, kwani Sonko akiongea ndio Kenya nzima imeongea. Juzi tu, mumemualika Quest na akawahubiria ushoga kwenye radio, nchi zima ikakaa na kumsikiliza. Kweli si kweli.
 
Hii ndio definition ya kuongea pumba, kwani Sonko akiongea ndio Kenya nzima imeongea. Juzi tu, mumemualika Quest na akawahubiria ushoga kwenye radio, nchi zima ikakaa na kumsikiliza. Kweli si kweli.
.....just out of curiosity, are you really 50? Honestly, your reasoning is of a 5 year old.
 
.....just out of curiosity, are you really 50? Honestly, your reasoning is of a 5 year old.
Off topic, anyones age inakuhusu nini? umeulizwa swali unatafuta mlango wa kutoke. Honestly speaking, Wakenya wa hapa JF mnaitia abibu nchi yenu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom