Marekani ni Taifa lenye dhuluma ya Kibiashara tangu enzi za s lol slave trade, haikuishia hapo bado linaendeleza dhuluma hiyo kwa TikTok

Marekani ni Taifa lenye dhuluma ya Kibiashara tangu enzi za s lol slave trade, haikuishia hapo bado linaendeleza dhuluma hiyo kwa TikTok

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Marekani ni Taifa lenye dhuluma ya Kibiashara tangu enzi za Biashara ya utumwa, haikuishia hapo bado linaendeleza dhuluma hiyo kwa TikTok

Hili Taifa la Marekani linanuka laana ya dhuluma waliotendewa mababu zetu kipindi cha biashara ya utumwa

Taifa la Marekani limekuwa ni Taifa lisilotaka kuona Mataifa mengine yakiendelea kuliko wao na inapotokea hivyo basi linafanya dhuluma ya unyang'anyi ili kurudisha maendeleo hayo ndani ya mikono yake

TikTok imakumbwa na kadhia hii hivi karibuni baada ya mtandao huo kuwa maarufu kuliko mitandao yote ya kijamii iliyoundwa Marekani

Marekani ilipoona TikTok inatingisha dunia ikaja na sharti la kulazimisha kampuni hiyo inunuliwe na Marekani na kama haitaridhia basi itasitishiwa huduma zake Marekani

Wamarekani wengi hasa contents creators wamelaani kitendo hicho kwa nguvu zote na kudai kuwa hii ni dhuluma kubwa kuwahi kutokea kwani madhara yake makubwa yanawakumba contents creators ambao wamekuwa wakilipwa na TikTok

Dunia kwa ujumla imekuwa ikitumia mitandao ya Marekani kwa miaka mingi sana bila kuwawekea vikwazo jambo ambalo linawapa fahari ya kuwa wanaweza kufanya lolote na kutawala dunia hii watakavyo

Nadhani ni muda sahihi wa nchi kujifunza kujitegemea na kumiliki bidhaa zake wenyewe ili kuepuka dhuluma na unyanyasaji wa hawa wakoloni toka enzi za biashara ya utumwa

Dunia ichukue hatua ya kuacha kutumia mitandao ya kijamii iliyoundwa Marekani ili wajifunze utu kwasababu wamekuwa ni wanyanyasaji wakubwa na wanaolazimisha watu waishi kama wanavyotaka wao
 
Marekani ni Taifa lenye dhuluma ya Kibiashara tangu enzi za Biashara ya utumwa, haikuishia hapo bado linaendeleza dhuluma hiyo kwa TikTok

Hili Taifa la Marekani linanuka laana ya dhuluma waliotendewa mababu zetu kipindi cha biashara ya utumwa

Taifa la Marekani limekuwa ni Taifa lisilotaka kuona Mataifa mengine yakiendelea kuliko wao na inapotokea hivyo basi linafanya dhuluma ya unyang'anyi ili kurudisha maendeleo hayo ndani ya mikono yake

TikTok imakumbwa na kadhia hii hivi karibuni baada ya mtandao huo kuwa maarufu kuliko mitandao yote ya kijamii iliyoundwa Marekani

Marekani ilipoona TikTok inatingisha dunia ikaja na sharti la kulazimisha kampuni hiyo inunuliwe na Marekani na kama haitaridhia basi itasitishiwa huduma zake Marekani

Wamarekani wengi hasa contents creators wamelaani kitendo hicho kwa nguvu zote na kudai kuwa hii ni dhuluma kubwa kuwahi kutokea kwani madhara yake makubwa yanawakumba contents creators ambao wamekuwa wakilipwa na TikTok

Dunia kwa ujumla imekuwa ikitumia mitandao ya Marekani kwa miaka mingi sana bila kuwawekea vikwazo jambo ambalo linawapa fahari ya kuwa wanaweza kufanya lolote na kutawala dunia hii watakavyo

Nadhani ni muda sahihi wa nchi kujifunza kujitegemea na kumiliki bidhaa zake wenyewe ili kuepuka dhuluma na unyanyasaji wa hawa wakoloni toka enzi za biashara ya utumwa

Dunia ichukue hatua ya kuacha kutumia mitandao ya kijamii iliyoundwa Marekani ili wajifunze utu kwasababu wamekuwa ni wanyanyasaji wakubwa na wanaolazimisha watu waishi kama wanavyotaka wao
Dhuluma ipo kila Kona, ccm wanadhulumu wapinzani, waajiri wanadhulumu waajiliwa, nenda kampuni za wwhindi au mchina pale urafiki, uone dhuluma!
La kujiuliza, we unayedhulumiwa unafsnyaje? USA, kipaumbele chake ni USA pekee, juzi Biden amezuia deal ya kampuni ya Japan kununua kampuni ya steel ya USA, akisema ni swala la usalama wa Taifa! Japan ni, swaiba wa USA, Ila mbele ya maslahi, ya USA, amekula za, uso!
Hii dunia lazima ujipiganie, ukilala, na kugeuza shavu la kushoto(kama wa Afrika), mzungu lazima akukule tu! It's man eat man society! USA, amejaribu kumkula china, Russia, lakini wapi!
Juzi, Trump, Katia vitisho kwa ndugu zake wa Canada, Greenland, kwamba a naweza akawachapa wakati wowote, wakimzingiua!
Kama mzungu Anglo Saxon, anatishiwa, sembuse nyie Negroes, arabs?! Pull up ur socks niggers, motherfuckers
 
Dhuluma ipo kila Kona, ccm wanadhulumu wapinzani, waajiri wanadhulumu waajiliwa, nenda kampuni za wwhindi au mchina pale urafiki, uone dhuluma!
La kujiuliza, we unayedhulumiwa unafsnyaje? USA, kipaumbele chake ni USA pekee, juzi Biden amezuia deal ya kampuni ya Japan kununua kampuni ya steel ya USA, akisema ni swala la usalama wa Taifa! Japan ni, swaiba wa USA, Ila mbele ya maslahi, ya USA, amekula za, uso!
Hii dunia lazima ujipiganie, ukilala, na kugeuza shavu la kushoto(kama wa Afrika), mzungu lazima akukule tu! It's man eat man society! USA, amejaribu kumkula china, Russia, lakini wapi!
Juzi, Trump, Katia vitisho kwa ndugu zake wa Canada, Greenland, kwamba a naweza akawachapa wakati wowote, wakimzingiua!
Kama mzungu Anglo Saxon, anatishiwa, sembuse nyie Negroes, arabs?! Pull up ur socks niggers, motherfuckers
Umesema kwamba ni man eat man social society!!!
 
Back
Top Bottom