MAREKANI: R. Kelly akamatwa tena kwa tuhuma 13 za unyanyasaji wa kingono

Wazungu wakishamaliza kukutumia hutafuta mbinu za kukumaliza... Asilimia 90 ya black Americans wenye vipawa na pesa ndefu wameishia Pabaya sana.... Mayweather amakinike.... Hawamgusi kwasasa kwakuwa bado wana faida naye

Jeffrey Epstein je? Huyu ni mzungu na sasa hivi ananyea debe kwa tuhuma kama hizo hizo za Robert Kelly.

Hapo niaje?

Ushafika Marekani? Ushaishi Marekani?

Unawajua Wamarekani weusi wangapi wenye mafanikio?
 
Jeffrey Epstein je? Huyu ni mzungu na sasa hivi ananyea debe kwa tuhuma kama hizo hizo za Robert Kelly.

Hapo niaje?

Ushafika Marekani? Ushaishi Marekani?

Unawajua Wamarekani weusi wangapi wenye mafanikio?

Ngabu were na marekani ni chanda na pete
 
Isitoshe mfumo wa haki nchini humu marekani haupo kuwalinda watu weusi hata kana tuhuma ni za uwongo

Napia mwanaume unapofungulia kesi na mwanamke, tena inayohusu ubakaji asee hata ukisurvive maisha yako hayatakua tena kama yalivokua mwanzo. Na ndo maana attack kubwa wanayofanyiwa watu ili kuchafuliwa inahusu mwanamke
 
I wish huyo mlengwa angekusikia. Kwa sasa anachowaza yeye ni show offs tu.

Mike Tyson alikwenda Room na mwanamke na wakafanya mapenzi wakamalizana.
10 years baadae yule mwanamke akaenda kufungua kesi kwamba mike tyson alimbaka na Mike alikwenda jela.

Michael Jackson alipitia mikasa kama hii pia. Bill Cosby? Na wengine wengi tuu.

Kimsingi marekani ukitaka kupotezwa anatumika mwanamke au msichana mwenye umri mdogo na unakwenda na maji.
 
Huyu ganja ilimsaidia sana, kuwapa angalau haki, watu weusi.
 
Njia aliyopitia Bill Cosby, na R.Kelly anaiendea
Mbona Jayz, Oprah Winfrey, Beyonce hawapitiii, maisha ni kuwa na nidhamu tuuu, ukileta mbwembwe kwa wazungu wanakusanua kweli na sio mchezo
 
Mabeberu wamemkomalia sana ila kama alitafuna vifaranga ni haki yake awekwe nyuma ya nondo.
 
Halafu Kumbe DT mwenyewe kipindi hicho Tyson yuko on peak ndio alikuwa mshauri wake kiuchumi.

Pata picha sasa Trump na Tyson washajenga mipango sasa wanaenda kula bata! Ha ha ha...wote watu wa totoz na "ubakaji" kwa kutumia ushawishi wa pesa/umaarufu.
 
Hapo nashindwa kuelewa miaka yote walikuwa wapi ukizingatia wao ni taifa kubwa
Wakati ule wasingemsumbua kwa kuwa alikuwa na faida kubwa kwao. Wameona anataka kujitambua na kutaka kuachana nao ndiyo maana wamemuwahi mapema.

Alafu jifikirie matukio yote yalikuwa yanarekodiwa toka enzi hizo!
 
Rangi inatokea wapi? Hao wanawake wanaodai kudhalilishwa nae ni weusi kama yeye. Hata yule mwanamke aliyemfunga Tyson alikuwa mweusi kama yeye. Hakuna mwanamke wa kizungu kwenye hizi case za hawa jamaa
 
Soma post niliyoweka picha ya 2pac hapo juu usibishe bila kuwa na evidence paka shume ...unajifanya unaijua marekani kumbe poyoyo tu, marekani jimbo moja ni kama nchii zetu africa huku sasa wewe unaeijua marekani unaijua mpaka wapi poyoyo ...sawa sijaishi marekani je wewe ulieishi marekani una nini cha zaidi ulichonacho kwa mfano zaid ya kushinda humu JF nakutaka recognitions
 
Hii alisema 2pac mzaliwa wa huko marekani...wewe mkimbizi unajifanya unaijuaaa sanaaa marekani..waulize watu weusi wanaoishi huko marekani juu ya ubaguzi wanaopitia watu weusi juu ya kupata haki zao kisheria
 
Mara ya 3 lakin bado kunawatu wataona anaonewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…