Unaishabikia nchi inayoharibia wenzake maisha yao??
Kweli ipo kama hata kwenu mko kama warusi ukiona jirani anaendelea mnaenda kumfungia koki zote anabaki maskini usishabikie mateso ya mtu ni mbaya
Kama unaendelea kwakuhatarisha usalama wa watu ushughulikiwe tuu
RUSSIA alichelewa kweli kweli hili analolifanya alitakiwa alifanye hata miaka kumi nyuma