Marekani: Siasa ya chakula!


Ecuador


Argentina


Argentina


Mali
 

Palestine- West Bank


India


Pakistan
 
Spain[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Tanzania ni uji!Aaaagh!Unajifanya ujui au unataka tuzalilike humu Oyaa! mleta post no tanzania food here a hell no!!!!!!Please usilete picha za chakula tizii i'm berging u!
mkuu samaritan kesha uleta. Tusaidiane picha.Toa uhalisia. Chakula muhimu.
 
Huku ni kutudhalilisha watanzania!Mnagoogle picha halafu mnachomekea hakuna shule yoyote wanaokula hicho chakula hapa tizii tuweni wazalendo jamani!.

Mkuu hata hizo picha walizoziweka hazina ukweli wowote, angalia kwa makini meza za USA, ITALY, South Korea, GREECE na SPAIN, hiyo ni meza moja wamefanya kubadilisha badilisha chakula tu kwenye sahani ya aina moja. Unataka kusema sahani za watoto wa shule kwenye hizo nchi zinafanana?

Vile vile meza ya Brazil na Finland ni meza ileile. Ndio maana nikasisitiza kama nchi tukiachana na hizi picha tunamkakati gani wa kuhakikisha watoto wanapata chakula bora shule?

Shukrani
 
Hoja ni meza au chakula cha lunch???!!!! meza ni background tu mkuu.
 
Hoja ni meza au chakula cha lunch???!!!! meza ni background tu mkuu.

Hata mimi hoja yangu ipo hapo kwenye lunch kama umenisoma hadi mwisho. Hizo meza nilikua namjibu aliyesema tumeweka picha zisizo halisi. Nikamwambia hata hizo picha zao walizoweka hazina uhalisia ni za kutengeneza, hapo ndio ilipokuja hoja ya meza. Hizo picha zimetengenezwa eneo moja wamebadili menyu tu.

Shukrani
 
Menu ya Brazil iko na influence kubwa ya kiafrika. Tizama maharagwe ya soya(kama sikosei). Na mihogo.
 
Hizo picha ziliwasilishwa toka upande husika duniani. Background ya meza imewekwa for artistic effect yaani kuna mbinu nyingi ya kuboresha au kurembesha picha!!!! Bado nangojea mnitolee picha za uhalisia za chakula ya lunch shuleni. Hivi nanyi hamuoni tuko nyuma hadi kwa ishu za chakula shuleni.
Tusaidiane picha na tujaribu pia kuibua mjadala kuhusu mada la school lunch.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…