Marekani, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani na Italia zilitoa taarifa ya pamoja kuiangukia Iran irudi nyuma washambulie Israel

Marekani, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani na Italia zilitoa taarifa ya pamoja kuiangukia Iran irudi nyuma washambulie Israel

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi,

Sisi viongozi wa Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Italia tulijadili hali ya Mashariki ya Kati. Tulielezea uungaji mkono wetu kamili kwa juhudi zinazoendelea za kupunguza mvutano na kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano na kuwaachilia mateka huko Gaza.

Tuliidhinisha wito wa pamoja kutoka kwa Rais Biden, Rais Sisi wa Misri, na Amir Tamim wa Qatar wa kufanya upya mazungumzo baadaye wiki hii kwa lengo la kuhitimisha mpango huo haraka iwezekanavyo, na kusisitiza hakuna wakati zaidi wa kupoteza. Vyama vyote lazima vitekeleze wajibu wao.

Aidha, utoaji na usambazaji usio na vikwazo unahitajika. Tulionyesha uungaji mkono wetu kwa ulinzi wa Israel dhidi ya uvamizi wa Iran na dhidi ya mashambulizi ya makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na Iran.

Tuliitaka Iran isimamishe vitisho vyake vinavyoendelea vya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Israel na tukajadili madhara makubwa kwa usalama wa eneo iwapo shambulio kama hilo litatokea.

JOE BIDEN, RAIS WA MAREKANI
EMMANUEL MACRON, RAIS WA UFARANSA
OLAF SCHOLZ, KANSELA WA UJERUMANI
GIORGIA MELONI, WAZIRI MKUU WA ITALIA
KEIR STARMER, WAZIRI MKUU WA UINGEREZA.

Hawa viongozi wa Ulaya na Marekani wote wanafafiki tu Kwa nini hawatoi tamko kwa ajili ya israel wafanya mauaji ya watoto huko Gaza? Israel inaishambulia kila siku Iran. Iran haina ya haki kujibu.

Iran imema hamna wa kuwazuia kulipa kisasi.

 
Sema hawa mabeberu wana roho mbaya mno. Tukiachana na vita huko mashariki ya kati hata huku Afrika wanatunyanyasa mno kwa kutupa mikataba ya kihuni na kupora rasilimali zetu. IMF na WB zinatupa mikopo ya kishenzi isiyolipika na mbaya zaidi wanatuelekeza jinsi ya kutumia mikopo. Mwaka huu kumegundulika dhahabu huko Zambia kwenye ardhi ambao ipo chini ya Bill Gates na Jeff Bezzos cha kushangaza wakadai hawana hela ya kuanza kuchimba hayo madini. Unajiuliza hawa mabilionea wanakosaje mtaji? Kumbe ni mbinu ya kuihadaa serikali ya Zambia na kuishia kuwapiga tu.
 
Wanaukumbi.

Sisi viongozi wa Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Italia tulijadili hali ya Mashariki ya Kati. Tulielezea uungaji mkono wetu kamili kwa juhudi zinazoendelea za kupunguza mvutano na kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano na kuwaachilia mateka huko Gaza. Tuliidhinisha wito wa pamoja kutoka kwa Rais Biden, Rais Sisi wa Misri, na Amir Tamim wa Qatar wa kufanya upya mazungumzo baadaye wiki hii kwa lengo la kuhitimisha mpango huo haraka iwezekanavyo, na kusisitiza hakuna wakati zaidi wa kupoteza. Vyama vyote lazima vitekeleze wajibu wao.
Aidha, utoaji na usambazaji usio na vikwazo unahitajika.
Tulionyesha uungaji mkono wetu kwa ulinzi wa Israel dhidi ya uvamizi wa Iran na dhidi ya mashambulizi ya makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na Iran. Tuliitaka Iran isimamishe vitisho vyake vinavyoendelea vya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Israel na tukajadili madhara makubwa kwa usalama wa eneo iwapo shambulio kama hilo litatokea.
JOE BIDEN
RAIS WA MAREKANI
EMMANUEL MACRON
RAIS WA UFARANSA
OLAF SCHOLZ
KANSELA WA UJERUMANI
GIORGIA MELONI
WAZIRI MKUU WA ITALIA
KEIR STARMER
WAZIRI MKUU WA UINGEREZA.

Hawa viongozi wa Ulaya na Marekani wote wanafafiki tu Kwa nini hawatoi tamko kwa ajili ya israel wafanya mauaji ya watoto huko Gaza?
Israel inaishambulia kila siku Iran. Iran haina ya haki kujibu.

Iran imema hamna wa kuwazuia kulipa kisasi.


View: https://x.com/globeeyenews/status/1823074377317110027?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Iran angekaidi pia wangemuacha apigike kama Gaza , Hamas waliaswa kuachia mateka ila walikaidi , Iran amejiongeza
 
Kweli Iran tishio wote hao wanamuomba asiipige Israeli.
HALAFU NA YEYE KAKUBALI ILHAL AMEDHALILISHWA SANA NA ISRAEL.YAANI HAO HAO MAKAFIR TENA NDO ANAWASIKILIZA. ALIPANDISHA BENDERA NYEKUNDU.WEEK SASA IMEPITA HAKUNA MAAMUZI. MBWA KOKO HUWA ANA BWEKA ZAIDI KULIKO KUUMA.MWENZAKE HAONGEI.ANAGONGA ANARUDI ANASUBIRI. ANAGONGA TENA ANARUDI ANASUBIRI.
 
Sema hawa mabeberu wana roho mbaya mno. Tukiachana na vita huko mashariki ya kati hata huku Afrika wanatunyanyasa mno kwa kutupa mikataba ya kihuni na kupora rasilimali zetu. IMF na WB zinatupa mikopo ya kishenzi isiyolipika na mbaya zaidi wanatuelekeza jinsi ya kutumia mikopo. Mwaka huu kumegundulika dhahabu huko Zambia kwenye ardhi ambao ipo chini ya Bill Gates na Jeff Bezzos cha kushangaza wakadai hawana hela ya kuanza kuchimba hayo madini. Unajiuliza hawa mabilionea wanakosaje mtaji? Kumbe ni mbinu ya kuihadaa serikali ya Zambia na kuishia kuwapiga tu.
Peter Gregory Obi
Former Governor of Anambra State na Mgombea uRais kwenye Uchaguzi uliopita kupita chama cha Labour Party.
Nafarijika kuona Kuna watu wengine pia wanakubaliana na ili.
 

Attachments

  • Screenshot_20240811_230941_Chrome.jpg
    Screenshot_20240811_230941_Chrome.jpg
    240.3 KB · Views: 7
Iran angekaidi pia wangemuacha apigike kama Gaza , Hamas waliaswa kuachia mateka ila walikaidi , Iran amejiongeza
iran angekua anapigika kirahis angepigwa enz zile alivoshambulia kambi za marekan iraq nakuua wanajesh kibao kulipiza kifo cha qasem sureiman jamaa ana nyukilia kama mapank wa korea so busara lazma iwepo angekua hana nyuklia angeshapgwa kitambo sana
 
Mods marekebisho hapo Iran asiishambulie Israel.
Iran ina haki ya kujibu nandio inatakiwa iadabishwe israhell ili iwe na heshma

Hv ukishaandika uzi na kuupost hapa jf huwa huwezi kuufuta na huuwezi kuuedit ama?

Maana mara kadhaa nimeona watu wakiomba kubadilishiwa heading ama mahala fulani

Angalizo-sijawahi kuanzisha uzi hapa jf tokea nijiunge mie msomaji mpitaji na msomaji mchangiaji
 
Sema hawa mabeberu wana roho mbaya mno. Tukiachana na vita huko mashariki ya kati hata huku Afrika wanatunyanyasa mno kwa kutupa mikataba ya kihuni na kupora rasilimali zetu. IMF na WB zinatupa mikopo ya kishenzi isiyolipika na mbaya zaidi wanatuelekeza jinsi ya kutumia mikopo. Mwaka huu kumegundulika dhahabu huko Zambia kwenye ardhi ambao ipo chini ya Bill Gates na Jeff Bezzos cha kushangaza wakadai hawana hela ya kuanza kuchimba hayo madini. Unajiuliza hawa mabilionea wanakosaje mtaji? Kumbe ni mbinu ya kuihadaa serikali ya Zambia na kuishia kuwapiga tu.
Kwani sisi ni watoto wadogo hadi tukubali watunyanyase?
 
Wanaukumbi.

Sisi viongozi wa Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Italia tulijadili hali ya Mashariki ya Kati. Tulielezea uungaji mkono wetu kamili kwa juhudi zinazoendelea za kupunguza mvutano na kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano na kuwaachilia mateka huko Gaza. Tuliidhinisha wito wa pamoja kutoka kwa Rais Biden, Rais Sisi wa Misri, na Amir Tamim wa Qatar wa kufanya upya mazungumzo baadaye wiki hii kwa lengo la kuhitimisha mpango huo haraka iwezekanavyo, na kusisitiza hakuna wakati zaidi wa kupoteza. Vyama vyote lazima vitekeleze wajibu wao.
Aidha, utoaji na usambazaji usio na vikwazo unahitajika.
Tulionyesha uungaji mkono wetu kwa ulinzi wa Israel dhidi ya uvamizi wa Iran na dhidi ya mashambulizi ya makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na Iran. Tuliitaka Iran isimamishe vitisho vyake vinavyoendelea vya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Israel na tukajadili madhara makubwa kwa usalama wa eneo iwapo shambulio kama hilo litatokea.
JOE BIDEN
RAIS WA MAREKANI
EMMANUEL MACRON
RAIS WA UFARANSA
OLAF SCHOLZ
KANSELA WA UJERUMANI
GIORGIA MELONI
WAZIRI MKUU WA ITALIA
KEIR STARMER
WAZIRI MKUU WA UINGEREZA.

Hawa viongozi wa Ulaya na Marekani wote wanafafiki tu Kwa nini hawatoi tamko kwa ajili ya israel wafanya mauaji ya watoto huko Gaza?
Israel inaishambulia kila siku Iran. Iran haina ya haki kujibu.

Iran imema hamna wa kuwazuia kulipa kisasi.


View: https://x.com/globeeyenews/status/1823074377317110027?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Ila Israel kumuua Haniyeh Tehran akiwa na mpenzi wake wa kiume wakilala pamoja imewaathiri sana kisaikolojia Iran ukizingatia lilikuwa eneo la jeshi linalolindwa kuliko maeneo yote Iran lakini mteule akafiltrate maamaee.

Usikute hata huyo Ayatollah ni Mossad agent. Watu hawaaminiani kabisa Iran.
 
Back
Top Bottom