Marekani, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani na Italia zilitoa taarifa ya pamoja kuiangukia Iran irudi nyuma washambulie Israel

Marekani, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani na Italia zilitoa taarifa ya pamoja kuiangukia Iran irudi nyuma washambulie Israel

Wapi iliposemwa "wamemwangukia Iran❓" lugha hii inawatesa sana nyie jihadists. Iran imeagizwa usithubutu kuishambulia Israel.
 
Kweli Iran tishio wote hao wanamuomba asiipige Israeli.
Aaah wapi! Kidume huwa hasikilizi kelele za wapuuzi

Iran alipue tu, asipifanya hivyo huku akikiri kupoteza wanajeshi wake kwenye balozi zake huko Syilia, kamanda wa Hamas kuuwawa nchini kwako, hata rais wao, sisi tunamuina ni mchumba tu mwenye kelele nyingi huku nanilii yake ilisha punuliiiwa kama bwawa tu
 
Iran ina haki ya kujibu nandio inatakiwa iadabishwe israhell ili iwe na heshma
Iran ilishajibu kwa kutumia ndege 300 zizokuwa na rubani pamoja na makombora, baada ya kuuliwa makamanda wa jeshi lake katika ubalozi wa Iran nchini Syria,Israel nao wakajibu kwa shambulio ambalo liliitwa shambulizi la kitoto na Iran,ndipo Israel ilipofanya shambulizi moja tu lililochomoa uhai wa kamanda wa Hama's mjini Tehran na hiki ndicho kilichowakasirisha sana wairan,cha kiongozi wa Hama's kuuawa kwenye mji wao mkuu ambako ndiko kuna ulinzi mkali zaidi ni kama vile wamevuliwa nguo.
 
Roho mbaya tunafanyiana sisi wenyewe wa Afrika na hasa Tanzania chini ya CCM,walimpiga Lissu risasi bila kosa na kupora ubunge wake na sasa wamewakamata viongozi wote wa ngazi za juu na wanachama wa CHADEMA bila kosa lolote.
Watu tunajadili mambo ya kimataifa wewe unaingiza upumbavu hapa.
 
Iran ilishajibu kwa kutumia ndege 300 zizokuwa na rubani pamoja na makombora, baada ya kuuliwa makamanda wa jeshi lake katika ubalozi wa Iran nchini Syria,Israel nao wakajibu kwa shambulio ambalo liliitwa shambulizi la kitoto na Iran,ndipo Israel ilipofanya shambulizi moja tu lililochomoa uhai wa kamanda wa Hama's mjini Tehran na hiki ndicho kilichowakasirisha sana wairan,cha kiongozi wa Hama's kuuawa kwenye mji wao mkuu ambako ndiko kuna ulinzi mkali zaidi ni kama vile wamevuliwa nguo.
Mashambulizi yakigaidi hua hayaangalii ulinzi mkali wala ulinzi dhaifu

Magaidi hua hawatangazi wakitangaza watu wanachukua tahadhari

Uliona trump alivyoshambuliwa je hakukua na ulinzi ila jamaa ilibakia sent afyekwe

Israhell ataadhibiwa kwa ugaidi aloufanya

Wewe uliliona shambulio la israhell dhidi ya iran

Israhell hii hii ishambulie halaf usione kwenye media inavyotaka sifa isokua nazo
 
Mashambulizi yakigaidi hua hayaangalii ulinzi mkali wala ulinzi dhaifu

Magaidi hua hawatangazi wakitangaza watu wanachukua tahadhari

Uliona trump alivyoshambuliwa je hakukua na ulinzi ila jamaa ilibakia sent afyekwe

Israhell ataadhibiwa kwa ugaidi aloufanya

Wewe uliliona shambulio la israhell dhidi ya iran

Israhell hii hii ishambulie halaf usione kwenye media inavyotaka sifa isokua nazo
Unajifariji huku una maumivu makali
 
Ila Israel kumuua Haniyeh Tehran akiwa na mpenzi wake wa kiume wakilala pamoja imewaathiri sana kisaikolojia Iran ukizingatia lilikuwa eneo la jeshi linalolindwa kuliko maeneo yote Iran lakini mteule akafiltrate maamaee.

Usikute hata huyo Ayatollah ni Mossad agent. Watu hawaaminiani kabisa Iran.

We jamaa 🤣
 
Iran angekaidi pia wangemuacha apigike kama Gaza , Hamas waliaswa kuachia mateka ila walikaidi , Iran amejiongeza
Hivi hata akili za kuzaliwa tu hamnaga , kama angekuwa na uwezo wa kupigana na jeshi mbona nchi kibao Inakuja kuomba iran asimpige?
UNapiganaje na mgambo wa hamas kwa mwaka mzima na unapigwa hadi unaishiwa wanajeshi na kushindwa kuwaokoa mateka ,hilo ni jeshi dhaifu sana hawana viwango vya kupigana iran
Haya huku waziri wa ulinzi bwana gallant amempinga netanyahu kwamba total victory dhidi ya hamas ni uongo na anakwamisha mazungumzo ya kuwaokoa hostages
Sasa vita ndogo kama hii mawaziri wa wawili wa netanyahu wa kwanza waziri wa vita kajuliuzulu anaitwa gantz nayeye hakutaka kushiriki kwenye ujinga, leo huyu gallant pia kamuona netanyahu ni kichaa na kaanA kumpinga hadharani
 

Attachments

  • Screenshot_20240813-061309_Facebook.jpg
    Screenshot_20240813-061309_Facebook.jpg
    269.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240813-094110_Chrome.jpg
    Screenshot_20240813-094110_Chrome.jpg
    388.9 KB · Views: 3
Nani kakwambia Iran wamekubali? Iran kasema lazima walipe kisasi.
Wewe mtoto kawadanganye wenzio kule kwenye ghahawa mkilumagia na kashata.. km Iran ana uwezo angeuliwa Rais Rais ?
 
HALAFU NA YEYE KAKUBALI ILHAL AMEDHALILISHWA SANA NA ISRAEL.YAANI HAO HAO MAKAFIR TENA NDO ANAWASIKILIZA. ALIPANDISHA BENDERA NYEKUNDU.WEEK SASA IMEPITA HAKUNA MAAMUZI. MBWA KOKO HUWA ANA BWEKA ZAIDI KULIKO KUUMA.MWENZAKE HAONGEI.ANAGONGA ANARUDI ANASUBIRI. ANAGONGA TENA ANARUDI ANASUBIRI.
Hao wanamuomba asiishambulie Israel kinafki...ili wasibebeshwe lawama na wapga kura wao na jamii ya kimataifa. Huyo Iran ajaribu tu kuishambulia Israel aone kama hawajamgeuka mchana kweupe
 
Humu vijana wakiambiwa Israel bila mataifa ya magharibi wakiongozwa na marekani ni mwepesi kwa Iran wanabishaa
Ushahidi kila siku unamwagika namna mkwara wa Iran unavyowangaisha magharibi nzima namna ya kumlinda Israel asichapike
 
Malizia anapigana na wanamgambo hawana uniform wanajidisguise na wananchi
Wavae gwanda rasmi waone hawamalizi siku tatu.
Wanajipendekeza ?wakati huyo Israel mpk silaha anaomba kusaidiwa halafu anapgana na wanamgambo
 
Kweli Iran tishio wote hao wanamuomba asiipige Israeli.
Usije ukajidanganya na kufikiri kwamba izo Nchi zinaumizwa na kinacho endelea katika Mgogoro wa Mashariki ya kati na zinaipigia magoti Irani.

Ao jamaa ni wanafiq wa kiwango Cha SGR, wote ao Wana facilitate Israel.

Kitu kinacho wafanya kwasasa wasi mshughurikie Iran kwa mapana na uwazi kwakua Wana Vitanyingine kubwa dhidi ya Putin Tena ipo mlangoni mwa Ulaya.

Israel inatumika kufanya Iran a focus na wao na kupunguza usaidizi kwa putin ambaye ni mshirika mkubwa katika vita na Ukraine.

Katika uwanja wa vita Kule Ukraine Wana Advance ndani ya Urusi kwaiyo watahitaji usaidizi zaidi kutoka jumuia ya ulaya na Marekani ili kupunguza au kuondoa Tishio la Urusi barani ulaya.

Wazungu wakisha malizana na Putin na uchumi wa ulaya na Dunia utakua umeyumba kiasi, watajipa muda wa ku Recover uchumi wao na ku mrudia Iran na ku mmaliza.
Kwasasa hawataki kupambana na Nchi mbili zenye Nguvu kwa pamoja ndio maana wanajidai ku mpooza Iran ila Kuna siku wata mrudia kama walivyofanya kwa Iraq ya Sadam.
 
Hao wanamuomba asiishambulie Israel kinafki...ili wasibebeshwe lawama na wapga kura wao na jamii ya kimataifa. Huyo Iran ajaribu tu kuishambulia Israel aone kama hawajamgeuka mchana kweupe
NDO NACHOWAAMBIA HAWA VILAZA. KIMYA KIMYA WANAMUANDAA ISRAEL AJIBU. IRAN IPO HOI HAIPO SAWA KIUCHUMI HAIWEZI KUUVAA MKENGE. INAJITUTUMUA TU.
 
Back
Top Bottom