Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
🤣🤣🤣Atawadanganya wasiofuatilia mamboKweli Iran tishio wote hao wanamuomba asiipige Israeli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Atawadanganya wasiofuatilia mamboKweli Iran tishio wote hao wanamuomba asiipige Israeli.
🤣🤣 The Mongolian SavageMbona hayakuzuia kuuliwa kwa Haniyeh na mpenzi wake chumbani wakilala pamoja?
Wewe si upo Mafinga unaweza kuongea lolote Marekani na Ulaya ndiyo wanajua Iran ni nani.Iran ni sawa na wanaume wa Dar!
🤣🤣🤣Atawadanganya wasiofuatilia mambo
Wewe si upo Mafinga unaweza kuongea lolote Marekani na Ulaya ndiyo wanajua Iran ni nani.
Anapasha mitambo.
View: https://x.com/currentreport1/status/1823602188062462081?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Kuna uzi wangu huko Iran kapiga kwenye mshona niliongelea hayo mataifa hayo ndio yanafanya genocide, Israel ni tools yao tu.Wanaukumbi,
Sisi viongozi wa Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Italia tulijadili hali ya Mashariki ya Kati. Tulielezea uungaji mkono wetu kamili kwa juhudi zinazoendelea za kupunguza mvutano na kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano na kuwaachilia mateka huko Gaza.
Tuliidhinisha wito wa pamoja kutoka kwa Rais Biden, Rais Sisi wa Misri, na Amir Tamim wa Qatar wa kufanya upya mazungumzo baadaye wiki hii kwa lengo la kuhitimisha mpango huo haraka iwezekanavyo, na kusisitiza hakuna wakati zaidi wa kupoteza. Vyama vyote lazima vitekeleze wajibu wao.
Aidha, utoaji na usambazaji usio na vikwazo unahitajika. Tulionyesha uungaji mkono wetu kwa ulinzi wa Israel dhidi ya uvamizi wa Iran na dhidi ya mashambulizi ya makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na Iran.
Tuliitaka Iran isimamishe vitisho vyake vinavyoendelea vya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Israel na tukajadili madhara makubwa kwa usalama wa eneo iwapo shambulio kama hilo litatokea.
JOE BIDEN, RAIS WA MAREKANI
EMMANUEL MACRON, RAIS WA UFARANSA
OLAF SCHOLZ, KANSELA WA UJERUMANI
GIORGIA MELONI, WAZIRI MKUU WA ITALIA
KEIR STARMER, WAZIRI MKUU WA UINGEREZA.
Hawa viongozi wa Ulaya na Marekani wote wanafafiki tu Kwa nini hawatoi tamko kwa ajili ya israel wafanya mauaji ya watoto huko Gaza? Israel inaishambulia kila siku Iran. Iran haina ya haki kujibu.
Iran imema hamna wa kuwazuia kulipa kisasi.
Wanaukumbi,
Sisi viongozi wa Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Italia tulijadili hali ya Mashariki ya Kati. Tulielezea uungaji mkono wetu kamili kwa juhudi zinazoendelea za kupunguza mvutano na kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano na kuwaachilia mateka huko Gaza.
Tuliidhinisha wito wa pamoja kutoka kwa Rais Biden, Rais Sisi wa Misri, na Amir Tamim wa Qatar wa kufanya upya mazungumzo baadaye wiki hii kwa lengo la kuhitimisha mpango huo haraka iwezekanavyo, na kusisitiza hakuna wakati zaidi wa kupoteza. Vyama vyote lazima vitekeleze wajibu wao.
Aidha, utoaji na usambazaji usio na vikwazo unahitajika. Tulionyesha uungaji mkono wetu kwa ulinzi wa Israel dhidi ya uvamizi wa Iran na dhidi ya mashambulizi ya makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na Iran.
Tuliitaka Iran isimamishe vitisho vyake vinavyoendelea vya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Israel na tukajadili madhara makubwa kwa usalama wa eneo iwapo shambulio kama hilo litatokea.
JOE BIDEN, RAIS WA MAREKANI
EMMANUEL MACRON, RAIS WA UFARANSA
OLAF SCHOLZ, KANSELA WA UJERUMANI
GIORGIA MELONI, WAZIRI MKUU WA ITALIA
KEIR STARMER, WAZIRI MKUU WA UINGEREZA.
Hawa viongozi wa Ulaya na Marekani wote wanafafiki tu Kwa nini hawatoi tamko kwa ajili ya israel wafanya mauaji ya watoto huko Gaza? Israel inaishambulia kila siku Iran. Iran haina ya haki kujibu.
Iran imema hamna wa kuwazuia kulipa kisasi.
Siyo Iran ni tishio wanahofia majibu yaIsrael pia.Kweli Iran tishio wote hao wanamuomba asiipige Israeli.
Israel juzi kawambia wanajeshi wake wote waliopo huko waondoke 😄
Pole kudhan hao WaYahudi na Ulaya hawaijui hiyo technlogyKuna uzi wangu huko Iran kapiga kwenye mshona niliongelea hayo mataifa hayo ndio yanafanya genocide, Israel ni tools yao tu.
Iran nashaka leo atalipa sababu nimesikia hiyo deal ya peace haiwahusu wao, Iran kisha sema kila kitu kipo ready wanasubiri amri ya Ayatollah Ali Khomen awape gree light, vitu vianze kushuka. Navyo sikia zitatumika ni Hypersonic missiles undetected on its way to the target
Nini mana ya back down? Kama si kumuambia please achana na lengo lako. We nenda kasome unaonyesha kizungu ulikuwa una cheat tu ili ufaulu 😄Wapi iliposemwa "wamemwangukia Iran❓" lugha hii inawatesa sana nyie jihadists. Iran imeagizwa usithubutu kuishambulia Israel.
We kweli umelala hakuna nchi ulaya wala America wanauwezo wa kuiona Hypersonic missile nenda kauze viazi wewe.Pole kudhan hao WaYahudi na Ulaya hawaijui hiyo technlogy
Wewe upo Kibosho hauna unachojua wasome mabashaa zako huko.
View: https://x.com/marionawfal/status/1823540121150353587?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Sasa wewe mvaa msalaba wa mbao ungekuwa na akili mgemtajirisha Mwamposa kwa kuwauzia mchanga😀
Wewe ungea uharo wote lakini kipigo kipo pale pale lazima Israel apigwe.
View: https://x.com/presstv/status/1823555922481828339?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Let the Persian state first learn to defend her people before thinking of engaging in war with its adversaries, there is no evidence of Iran prevailing in any war with any of its rivals within immediate memory.Why is the west afraid of going to war with Iran , every simulation they did with Iran they ended up losing
Nita-cheat namna gani wakati sijasoma madrassa..!?Nini mana ya back down? Kama si kumuambia please achana na lengo lako. We nenda kasome unaonyesha kizungu ulikuwa una cheat tu ili ufaulu 😄
phrasal verb. "If you back down, you withdraw a claim, demand, or commitment that you made earlier, because other people are strongly opposed to it"Nini mana ya back down? Kama si kumuambia please achana na lengo lako. We nenda kasome unaonyesha kizungu ulikuwa una cheat tu ili ufaulu 😄
Madrasa atucheat vipi unatakiwa kuhifadhi Qur'an na uijue tafsiri yake 😄Nita-cheat namna gani wakati sijasoma madrassa..!?
Aliye back down nani? Na aliyesema back down nani? We bwege kweli.phrasal verb. "If you back down, you withdraw a claim, demand, or commitment that you made earlier, because other people are strongly opposed to it"
Please be informed accordingly.