Marekani, Ujerumani na Hungary zinapinga pendekezo la Ukraine la kuwa na "mpango" wa kujiunga na NATO

Marekani, Ujerumani na Hungary zinapinga pendekezo la Ukraine la kuwa na "mpango" wa kujiunga na NATO

HERY HERNHO

Senior Member
Joined
Mar 4, 2022
Posts
110
Reaction score
458
938da411-7fe9-466c-b2b5-9c335c17e508.jpg

Marekani, Ujerumani na Hungary zinapinga majaribio ya Poland na mataifa ya Baltic la kuipatia Kiev "mpango" wa kuwa mwanachama wa NATO katika mkutano wa kilele wa NATO wa Julai.

Washington ina wasiwasi kwamba kuzidisha uhusiano na Kiev na muungano huo wakati wa vita kunaweza kuchangia katika simulizi la Putin la vita vya Urusi na NATO na kuzidisha mzozo huo, ikiwa ni pamoja na uwezekano wa kutumwa kwa silaha za nyuklia.

Badala yake, Marekani inawataka washirika kuangazia msaada wa muda mfupi wa kijeshi, kifedha na kibinadamu kwa Ukraine ili kuisaidia kuzuia uchokozi wa Urusi.
 
Kwa habari za akina yeriko na propaganda machines wa Urusi ni kwamba Nato walikuwa wakiilazimisha Ukraine kujiunga na Nato waivamie Urusi ili waibe mafuta na gesi ya Urusi. What a shame!!.

Tanzania yenye jeshi goi goi na uchumi Dumavu ina dhahabu, almas na Tanzanite lakini Nato haijawai kuja kutuvamia kuiba rasimali zetu ila ajabu walikuwa na plan za kuiba gesi na mafuta ya urusi nchi ambayo ina nyuklia.

Ni Mwizi gani ataacha vunja duka lenye geti bovu ili aende kuvunja duka lenye ulinzi mkali, cct camera na mlinzi wa KK na bunduki yake ilhali duka ilo lina bidhaa zenye thamani Sawa na lile Duka lenye geti bovu?

Mexico nchi yenye jeshi bovu linalopigwa na wauza Madawa ya kulevya ila inamafuta mengi na ipo jirani na US(Mwizi) ila sijawai sikia Mexico ikisema US inaiba mafuta yake, why mafuta ya Urusi tu?

Dunia kuna propaganda za ajabu sana,ila kama unatoka kwenye jamii yenye akili ni ngumu kunaswa na propaganda dhaifu kiasi hiki.

Ikiwa ujui shetani anavyotenda kazi itazeme Urusi na kundi lake na mashariki wake .

NB: Ombi la Ukraine kujiunga na Nato halikuanza kukataliwa leo, Limekuwa likikataliwa hata kabla Urusi haijaivamia Crimea. Nato imekuwa ikiikatalia Ukraine kujiunga na nato kwasababu tayali ina mgogoro na Urusi.

A word is enough for the wise.
 
Kwa habari za akina yeriko na propaganda machines wa Urusi ni kwamba Nato walikuwa wakiilazimisha Ukraine kujiunga na Nato waivamie Urusi ili waibe mafuta na gesi ya Urusi. What a shame!!.

Tanzania yenye jeshi goi goi na uchumi Dumavu ina dhahabu, almas na Tanzanite lakini Nato haijawai kuja kutuvamia kuiba rasimali zetu ila ajabu walikuwa na plan za kuiba gesi na mafuta ya urusi nchi ambayo ina nyuklia.

Ni Mwizi gani ataacha vunja duka lenye geti bovu ili aende kuvunja duka lenye ulinzi mkali, cct camera na mlinzi wa KK na bunduki yake ilhali duka ilo lina bidhaa zenye thamani Sawa na lile Duka lenye geti bovu?

Mexico nchi yenye jeshi bovu linalopigwa na wauza Madawa ya kulevya ila inamafuta mengi na ipo jirani na US(Mwizi) ila sijawai sikia Mexico ikisema US inaiba mafuta yake, why mafuta ya Urusi tu?

Dunia kuna propaganda za ajabu sana,ila kama unatoka kwenye jamii yenye akili ni ngumu kunaswa na propaganda dhaifu kiasi hiki.

Ikiwa ujui shetani anavyotenda kazi itazeme Urusi na kundi lake na mashariki wake .

NB: Ombi la Ukraine kujiunga na Nato halikuanza kukataliwa leo, Limekuwa likikataliwa hata kabla Urusi haijaivamia Crimea. Nato imekuwa ikiikatalia Ukraine kujiunga na nato kwasababu tayali ina mgogoro na Urusi.

A word is enough for the wise.
Sasa Usa atumie nguvu ya nn kuchukua resources za tanzania wakati wanauwezo kuzipata bila vita makampuni kibao ya Usa wanaacha mashimo huko migodini nchi inaambulia asilimia ndogo ya faida mpk alipokuja jpm kajitahidi kupambana nayo lakini hajafikia mwisho mungu akamchukua hila mngekuwa wabishi kutoa ndio yangewakuta ya libya ambao walikuwa hawataki na resources zao sasa hv meli zinachota mafuta wanavyotaka.
 
Sasa Usa atumie nguvu ya nn kuchukua resources za tanzania wakati wanauwezo kuzipata bila vita makampuni kibao ya Usa wanaacha mashimo huko migodini nchi inaambulia asilimia ndogo ya faida mpk alipokuja jpm kajitahidi kupambana nayo lakini hajafikia mwisho mungu akamchukua hila mngekuwa wabishi kutoa ndio yangewakuta ya libya ambao walikuwa hawataki na resources zao sasa hv meli zinachota mafuta wanavyotaka.

Aliyekudanganya nae alidanganywa, na wewe hapa unadanganya.
Umeshindwa tafiti jambo dogo kama ili ni kwa namna ipi ujue mambo ya Urusi?
Kwa taarifa yako, hakuna kampuni ya kimarekani inayomiliki mgodi Tanzania na zaidi hata hiyo iliyopo ya mataifa mengine zinafanya shughuli zao kwa makubaliano na serikali,hakuna kampuni inachimba madini kwa kuiba bila serikali kujua. So, hizi habari za kuwa Nato wanataka kuiba mafuta Urusi, mara iraq ni propaganda za kitoto na kipuuzi kwa mtu mzima kama wewe.
Magufuli uliyekuwa unamuona kama mpindua Meza wa hiyo mikataba ndiye aliyekishiriki kusaini hiyo mikataba unayoiita mibovu.
 
Back
Top Bottom