Marekani: Urusi ikitumia Nyuklia tutaingilia kati moja kwa moja

Marekani: Urusi ikitumia Nyuklia tutaingilia kati moja kwa moja

Sasa Nkuba, mimi naona kama umekasirika sana bila sababu za msingi, hadi kuhoji sanity ya mleta mada!

Mimi nataka nikuulize wewe ku "respond decisively" maana yake nini?
Watajibu vilivyo.
Kumjibu Russia baada ya Ukraine kuangushiwa bomu?
Bila shaka itakuwa Ni annihalation waitakayo Wamarekani! Hapana si Wamarekani TU
Russia
Ulaya yote itaangamia
 
Wote USA na RUSSIA wanajuana ndio maana wanaogopana

Naamini kabsa kama Russia angekuwa dhaifu Marekani ingekuwa ishaingia yenyewe kumpiga ila imepima ikaona maji marefu

Na hata Russia kama ingeona Marekani ni dhaifu na inagawa misaada kwa adui ingekuwa imeshampiga tayari

Ila all in all katika hii Vita ndio nimejua Putin ni mbabe kweli sio masikhara

Kwa wenye akili timamu wanajua ni ngumu sana kwa kuanzisha maafa ulaya tena ulipige Taifa linaloungwa mkono na marekani halafu usivamiwe kivita

Tukumbuke ni China alijaribu tu kuitishia Taiwan,Marekani alionesha kila aina ya mbwembwe kuonesha kuwa yupo pa1 na Taiwan.
Asa Russia alichomzidi China ninini?wote ni walewale isipokuwa mmoja ni silent na mwingine ni barking dog.
 
Watajibu vilivyo.
Kumjibu Russia baada ya Ukraine kuangushiwa bomu?
Bila shaka itakuwa Ni annihalation waitakayo Wamarekani! Hapana si Wamarekani TU
Russia
Ulaya yote itaangamia
Ulaya yote itaangamia kivipi?
 
Wewe
Wewe ndiyo una shida sasa hapa,kwamba unajiona umezaliwa Buckingham palace unajua sana lugha ya Malkia kuliko wengine hadi uwatolee lugha ya madharau.Wewe toa ulichoelewa tu lakini kujifanya ni mzaliwa wa Windsor na kuwatolea kejeli wengine ni udhaifu mkubwa katika kujenga hoja zako.
unatoa mbwa nyuma kabisa. Unatumia tafsiri ya neno kwa neno badala ya kuchukua kilichokusudiwa kusemwa. Umesomea wapi wewe kenge? Unajikuta unajua sana huku mafi ya kuku tu pimb wew basi kaolewe na hao wakenya wakujaze mimba
 
Back
Top Bottom