Marekani wajaribu Hypersonic weapons successfully

Hawa jamaa nikiwambia ni vilaza wanakataa na kukasirika[emoji23][emoji23], matango yao pori wapeleke huko
 
Inawezekana wataalam wa siraha wa Newyork & Moscow ni walewale au mkufunzi wao ni mmoja
 
Safi sana .
Sasa wawe tayari! Kupokea majibu pale atakapo amua kuzitumia
 
Hawa jamaa nikiwambia ni vilaza wanakataa na kukasirika[emoji23][emoji23], matango yao pori wapeleke huko
Unajua kupigana vita ya mdomoni sana,bahati mbaya sana Putin anakuangusha katika vita ya ukweli kule Ukraine.[emoji23][emoji23]
 
Unajua kupigana vita ya mdomoni sana,bahati mbaya sana Putin anakuangusha katika vita ya ukweli kule Ukraine.[emoji23][emoji23]
Au sio [emoji23][emoji23], sisi timamu hamtupelekeshi, tunajionea wenzewe , sasa endeleeni kusubiri DW na BBC iwaletee habari za NATO kashinda vita nchini Ukraine
 
"Is this the collapse of the Great American Empire" ipo YouTube itafute itakufungua macho, acha kumweka Mungu kwenye mambo ya kidunia
 
Kwamba Mungu kaumba taifa lenye kuuwa watu kwa kutumia atomic bomu, kwamba Mungu kaumba taifa ambalo lina damu za innocent people wengi duniani?? Kwamba Mungu kaumba taifa amablo linatetea ushoga, Mungu gani huyo?? Acheni kutetea upuuzi muda mwengine
Huyo ndi mmarekani wa mchamba wima
 
Kwamba Mungu kaumba taifa lenye kuuwa watu kwa kutumia atomic bomu, kwamba Mungu kaumba taifa ambalo lina damu za innocent people wengi duniani?? Kwamba Mungu kaumba taifa amablo linatetea ushoga, Mungu gani huyo?? Acheni kutetea upuuzi muda mwengine
Wameua wapi?
 
mtu akizaa mtoto awe na akili kama zako ni hasara kabisa.
 
Yani yeye ndio ana test?!
 
Haijawahi kutokea mmalekani akafanikiwa kuiunda vyema hili bomu, ninauhakika Hilo walilorusha kwa majaribio ni feki!! chuma original kipo Russia kinapumua tu!! ni batani tu ndo imekosa mtu wa kui press ,chombo iamshe Hadi Whitehouse [emoji573]! na siku ikiamsha hiyo chombo hakiyanani Biden ,atakata pumzi hata kabla ya chombo haijatua .
 
Achana nae akili yake imejaa Ushoga na chuki za kidini we pitia nyuzi zote anazojadili kuhusu vita....inaonesha ni Shoga mwenye itikadi kali [emoji23][emoji23][emoji23]
Analazimisha uwe topic badala ya kuuanzishia topic yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…