STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Hawa jamaa nikiwambia ni vilaza wanakataa na kukasirika[emoji23][emoji23], matango yao pori wapeleke hukoWw ni msabato ndo matango pori yenu mnalishwaa kila siku..ati USA ndo ufalme wa mwisho kwenye biblia..mara ni taifa la kinabii..sasa ww huoni walivyo duni! Putin alikuwa na supersonic bomb long time ago..mana yake yuko na bombs zaid ya hiyo..wao wanatest leo..wakat wenzao wanazitumia kila kukichaaa
Siku zote mwizi huwa anajistukia na kutuhumu kila aliye karibu yake kuwa ni mwizi.[emoji115]
Nyamizi Jackal Frank Wanjiru Tsh Coco Master
T14 Armata
dudus
MK254 Yoda britanicca ...jibuni hili swali ?
Unajua kupigana vita ya mdomoni sana,bahati mbaya sana Putin anakuangusha katika vita ya ukweli kule Ukraine.[emoji23][emoji23]Hawa jamaa nikiwambia ni vilaza wanakataa na kukasirika[emoji23][emoji23], matango yao pori wapeleke huko
tuliskia putin anaeka sawa vinu vya nuclear vipi tena? iliishia wap?Hayo ni Mapipa tu wamechonga na kupaka rangi hayana madhara yeyote ..
Au sio [emoji23][emoji23], sisi timamu hamtupelekeshi, tunajionea wenzewe , sasa endeleeni kusubiri DW na BBC iwaletee habari za NATO kashinda vita nchini UkraineUnajua kupigana vita ya mdomoni sana,bahati mbaya sana Putin anakuangusha katika vita ya ukweli kule Ukraine.[emoji23][emoji23]
"Is this the collapse of the Great American Empire" ipo YouTube itafute itakufungua macho, acha kumweka Mungu kwenye mambo ya kiduniaHii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
Huyo ndi mmarekani wa mchamba wimaKwamba Mungu kaumba taifa lenye kuuwa watu kwa kutumia atomic bomu, kwamba Mungu kaumba taifa ambalo lina damu za innocent people wengi duniani?? Kwamba Mungu kaumba taifa amablo linatetea ushoga, Mungu gani huyo?? Acheni kutetea upuuzi muda mwengine
Wameua wapi?Kwamba Mungu kaumba taifa lenye kuuwa watu kwa kutumia atomic bomu, kwamba Mungu kaumba taifa ambalo lina damu za innocent people wengi duniani?? Kwamba Mungu kaumba taifa amablo linatetea ushoga, Mungu gani huyo?? Acheni kutetea upuuzi muda mwengine
ππππ ,Eti alikuwa anapiga mkwara na kale ka bomb kake ka sijui Saturn 2 nk nk.Putin hana tofaut na Sadam, kuna kipind Sadam alisema atiangamiza dunia kama wakiendelea kumchokonoa, mwishowe yaliyomkuta?
Wote hao wameomba wenyeweSomalia wanapeleka jeshi, Ukraine wanapeleka javelin, huu ni upumbavu.
Huyo ndio mnyama wa mwisho,hakuna atakaekuwa juu yake tena mpaka yesu arudiHuku kwenye maandiko nimeona wengi watashangaa Ila kiukweli ni sahihi kabisaa kimaandiko hili taifa lilitabiriwa kwenye kitabu cha ufunuo
mtu akizaa mtoto awe na akili kama zako ni hasara kabisa.Hii ni mbinu za kumchosha adui...
Kwa mtazamo wangu mdogo naona hili taifa la USA ni mipango ya MUNGU mwenyewe ili dunia iwe na Amani,hawa jamaa sijaona taifa lolote duniani ambalo linaweza kuwa juu Yao wala haitatokea hata kama tutawachukia au kuwakubali bado wataendelea kuwa juu tu
Yani yeye ndio ana test?!Itakumbukwa kwamba Putin alisema hii ni silaha ambayo haipo katika taifa lolote isipokuwa Russia, nadhan sasa yametimia
Al Jazeera English
The United States Air Force says it has conducted a successful test of a hypersonic weapon, which flew at five times the speed of sound.
The test was conducted on Saturday off the coast of Southern California when a B-52 bomber released an Air-launched Rapid Response Weapon (ARRW), the Air Force said in a statement on Monday.
View attachment 2228487
Hahaaaaππππ ,Eti alikuwa anapiga mkwara na kale ka bomb kake ka sijui Saturn 2 nk nk.
Analazimisha uwe topic badala ya kuuanzishia topic yake.Achana nae akili yake imejaa Ushoga na chuki za kidini we pitia nyuzi zote anazojadili kuhusu vita....inaonesha ni Shoga mwenye itikadi kali [emoji23][emoji23][emoji23]
Let it go.Usikimbie pro amerika [emoji23], taifa la Mungu yupi?? Nijibu kwanza [emoji16]