Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Ngualla mmewauzia wazungu kwa sh. ngapi pesa za kuchambia ?Umeniwahi kuiweka hapa,nilikuwa nasubiria wale wanaosemaga Tzn ni Tajiri sana wa Rasilimali niwapige za uso.
Tzn iendelee na nyodo harafu tuone nani atatumia vimadini vyenyewe vya kuokoteza ππ
View attachment 2902896
Kama hutaki kuuza acha kwani wanashida na Madini Yako? Unayo peke yako?Ngualla mmewauzia wazungu kwa sh. ngapi pesa za kuchambia ?
FoolishKama hutaki kuuza acha kwani wanashida na Madini Yako? Unayo peke yako?
Kila siku Nchi zinatangaza kugundua kuanzia Kenya Hadi Zimbabwe,America Hadi Australia.
πππ¨Foolish
Sawa Kila mmoja ashinde mechi zakeJimbo LA Wyoming nchini Marekani wamegundua madini ya aina ya rare earths. Haya madini ni ya kimkakati sana katika tasnia ya sayansi na technology.
Ugunduzi wa 2.3 billion tons unaifanya Marekani kuwa na reserve kubwa sana ya aina hii ya madini. Rare earth ni madini yanayotumika kwenye utengenezaji wa vifaa vya technology kama hybrid cars, computer, simu, space craft, ndege nk. Awali China ndiyo alikuwa mzalishaji mkubwa sana wa rare earth.
Mwaka Jana China alipiga marufuku uuzaji nje wa madini ya rare earth. Rare earth ni madini yenye element 17.
Baada ya huu ugunduzi, china amebaki mdomo wazi. Wingi wa haya madini ndani ya Marekani utachochea maendeleo makubwa sana ya technology.
Hii nchi ni tajiri kweri kweri! Imechezewa sana! Utajiri #1 wa nchi duniani ni watu wenye maarifa ya kutosha kupamba na mazingira yao. Rasilimali ni mbwembwe tu.Hawa jamaa janja janja sana, wana miakili kwelikweli si ajabu hata hawana hayo madini.
Utajiri wa nchi ni akili ya wananchi.Hii nchi ni tajiri kweri kweri! Imechezewa sana! Utajiri #1 wa nchi duniani ni watu wenye maarifa ya kutosha kupamba na mazingira yao. Rasilimali ni mbwembwe tu.
Nchi ya wajinga hata ardhi iwe na dhahabu kiasi gani bado ni ubatili.Utajiri wa nchi ni akili ya wananchi.
Teh teh Tehran hapo, death to AmericanDeath to America
View attachment 2901752
Hivi ni kwanini wanapochoma bendera huwa hawachomi zile U$? Matokeo yake huchoma za kuchongesha?
The mind gameJimbo LA Wyoming nchini Marekani wamegundua madini ya aina ya rare earths. Haya madini ni ya kimkakati sana katika tasnia ya sayansi na technology.
Ugunduzi wa 2.3 billion tons unaifanya Marekani kuwa na reserve kubwa sana ya aina hii ya madini. Rare earth ni madini yanayotumika kwenye utengenezaji wa vifaa vya technology kama hybrid cars, computer, simu, space craft, ndege nk. Awali China ndiyo alikuwa mzalishaji mkubwa sana wa rare earth.
Mwaka Jana China alipiga marufuku uuzaji nje wa madini ya rare earth. Rare earth ni madini yenye element 17.
Baada ya huu ugunduzi, china amebaki mdomo wazi. Wingi wa haya madini ndani ya Marekani utachochea maendeleo makubwa sana ya technology.
Hakuna lolote wanatutisha tu...Jimbo LA Wyoming nchini Marekani wamegundua madini ya aina ya rare earths. Haya madini ni ya kimkakati sana katika tasnia ya sayansi na technology.
Ugunduzi wa 2.3 billion tons unaifanya Marekani kuwa na reserve kubwa sana ya aina hii ya madini. Rare earth ni madini yanayotumika kwenye utengenezaji wa vifaa vya technology kama hybrid cars, computer, simu, space craft, ndege nk. Awali China ndiyo alikuwa mzalishaji mkubwa sana wa rare earth.
Mwaka Jana China alipiga marufuku uuzaji nje wa madini ya rare earth. Rare earth ni madini yenye element 17.
Baada ya huu ugunduzi, china amebaki mdomo wazi. Wingi wa haya madini ndani ya Marekani utachochea maendeleo makubwa sana ya technology.
Vita baridiJimbo LA Wyoming nchini Marekani wamegundua madini ya aina ya rare earths. Haya madini ni ya kimkakati sana katika tasnia ya sayansi na technology.
Ugunduzi wa 2.3 billion tons unaifanya Marekani kuwa na reserve kubwa sana ya aina hii ya madini. Rare earth ni madini yanayotumika kwenye utengenezaji wa vifaa vya technology kama hybrid cars, computer, simu, space craft, ndege nk. Awali China ndiyo alikuwa mzalishaji mkubwa sana wa rare earth.
Mwaka Jana China alipiga marufuku uuzaji nje wa madini ya rare earth. Rare earth ni madini yenye element 17.
Baada ya huu ugunduzi, china amebaki mdomo wazi. Wingi wa haya madini ndani ya Marekani utachochea maendeleo makubwa sana ya technology.
Marekani sio ccm wala Mwigulu Nchemba.Hawa watu wanajua propaganda na kutumia mass media kwa faida yao.
Hakuna jambo hapo.
Hapo utakuta wote hao wameshacheza lottery wanasubiri kupata green card waende wakaishi hukohuko America.Teh teh Tehran hapo, death to American
Pinga pinga fcHawa watu wanajua propaganda na kutumia mass media kwa faida yao.
Hakuna jambo hapo.
Jimbo LA Wyoming nchini Marekani wamegundua madini ya aina ya rare earths. Haya madini ni ya kimkakati sana katika tasnia ya sayansi na technology.
Ugunduzi wa 2.3 billion tons unaifanya Marekani kuwa na reserve kubwa sana ya aina hii ya madini. Rare earth ni madini yanayotumika kwenye utengenezaji wa vifaa vya technology kama hybrid cars, computer, simu, space craft, ndege nk. Awali China ndiyo alikuwa mzalishaji mkubwa sana wa rare earth.
Mwaka Jana China alipiga marufuku uuzaji nje wa madini ya rare earth. Rare earth ni madini yenye element 17.
Baada ya huu ugunduzi, china amebaki mdomo wazi. Wingi wa haya madini ndani ya Marekani utachochea maendeleo makubwa sana ya technology.
Umeniwahi kuiweka hapa,nilikuwa nasubiria wale wanaosemaga Tzn ni Tajiri sana wa Rasilimali niwapige za uso.
Tzn iendelee na nyodo harafu tuone nani atatumia vimadini vyenyewe vya kuokoteza ππ
View attachment 2902896
Waende wapi? Wanatafuta Mali za vizazi vyao vya 4Yeye na washirika wake waondoke Congo , Africa kwa jumla na nchi za Uarabuni na Asia kama hii ni kweli