Marekani wanapeleka misaada ya kibaadamu Palestina Gaza huu ni ‘UNAFIKI’

Marekani wanapeleka misaada ya kibaadamu Palestina Gaza huu ni ‘UNAFIKI’

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.
Serikali ya Marekani wameweka kwenye ukurasa wao wa Ikulu ya taifa hilo, misaada ya kibinadamu ambayo wanaipeleka nchini Palestina kwenye ukanda wa Gaza.

Hivi mnawaelewa kweli hawa jamaa? Yaani wapeleke silaha nchini Israeli kwa ajili ya kuwaua watu wa Palestina watoto, wanawake, kushambulia shule mahospitali kisha leo hii wapeleke misaada ya kibinadamu?

Huu ndo unafiki ambao kama hauna akili za kuchanganua mambo huwezi kuelewa namna dunia inavyokwenda.

Lakini hawa jamaa, mwisho wao umekaribia kwa maana kila aina ya propaganda ambayo wanaifanya kwa sasa, dunia iko macho muda wote.
========================
More shipments of Usaid food have arrived in Egypt before heading to Gaza.

Access to humanitarian aid is critical, and our Administration welcomes yesterday’s deal that'll allow for additional humanitarian aid to alleviate the suffering of innocent Palestinian families in Gaza.
 

Attachments

  • c3ac526a-3cd9-448b-a994-08c8ba953d60.jpeg
    c3ac526a-3cd9-448b-a994-08c8ba953d60.jpeg
    132.3 KB · Views: 3
Uh huh. And how many bombs have you genocidal war criminals sent today to massacre thousands of children?
 
Wanaukumbi.
Serikali ya Marekani wameweka kwenye ukurasa wao wa Ikulu ya taifa hilo, misaada ya kibinadamu ambayo wanaipeleka nchini Palestina kwenye ukanda wa Gaza.

Hivi mnawaelewa kweli hawa jamaa? Yaani wapeleke silaha nchini Israeli kwa ajili ya kuwaua watu wa Palestina watoto, wanawake, kushambulia shule mahospitali kisha leo hii wapeleke misaada ya kibinadamu?

Huu ndo unafiki ambao kama hauna akili za kuchanganua mambo huwezi kuelewa namna dunia inavyokwenda.

Lakini hawa jamaa, mwisho wao umekaribia kwa maana kila aina ya propaganda ambayo wanaifanya kwa sasa, dunia iko macho muda wote.
========================
More shipments of Usaid food have arrived in Egypt before heading to Gaza.

Access to humanitarian aid is critical, and our Administration welcomes yesterday’s deal that'll allow for additional humanitarian aid to alleviate the suffering of innocent Palestinian families in Gaza.

Sasa kama ndugu zao waislam wamewatenga, acha wapokee misaada
 
Wanaukumbi.
Serikali ya Marekani wameweka kwenye ukurasa wao wa Ikulu ya taifa hilo, misaada ya kibinadamu ambayo wanaipeleka nchini Palestina kwenye ukanda wa Gaza.

Hivi mnawaelewa kweli hawa jamaa? Yaani wapeleke silaha nchini Israeli kwa ajili ya kuwaua watu wa Palestina watoto, wanawake, kushambulia shule mahospitali kisha leo hii wapeleke misaada ya kibinadamu?

Huu ndo unafiki ambao kama hauna akili za kuchanganua mambo huwezi kuelewa namna dunia inavyokwenda.

Lakini hawa jamaa, mwisho wao umekaribia kwa maana kila aina ya propaganda ambayo wanaifanya kwa sasa, dunia iko macho muda wote.
========================
More shipments of Usaid food have arrived in Egypt before heading to Gaza.

Access to humanitarian aid is critical, and our Administration welcomes yesterday’s deal that'll allow for additional humanitarian aid to alleviate the suffering of innocent Palestinian families in Gaza.
Usikute wanapeleka Kontena la condom na Net za mbu hawanaga cha maana zaidi ya kueneza ushoga..
IMG_20231122_000103.jpg
 
Wanaukumbi.
Serikali ya Marekani wameweka kwenye ukurasa wao wa Ikulu ya taifa hilo, misaada ya kibinadamu ambayo wanaipeleka nchini Palestina kwenye ukanda wa Gaza.

Hivi mnawaelewa kweli hawa jamaa? Yaani wapeleke silaha nchini Israeli kwa ajili ya kuwaua watu wa Palestina watoto, wanawake, kushambulia shule mahospitali kisha leo hii wapeleke misaada ya kibinadamu?

Huu ndo unafiki ambao kama hauna akili za kuchanganua mambo huwezi kuelewa namna dunia inavyokwenda.

Lakini hawa jamaa, mwisho wao umekaribia kwa maana kila aina ya propaganda ambayo wanaifanya kwa sasa, dunia iko macho muda wote.
========================
More shipments of Usaid food have arrived in Egypt before heading to Gaza.

Access to humanitarian aid is critical, and our Administration welcomes yesterday’s deal that'll allow for additional humanitarian aid to alleviate the suffering of innocent Palestitunian families in Gaza.
haijaanza kupeleka misaada wakati wavita rudi nyuma miaka kibao wanapeleka wao na EU wanafiki ni watu wa gza na paleestina wotte kuukubbalii misaada toka kwa makafir ambayoni mingi wakati waarabu wanahela kibao wanawaangalia tu na wewe umo kwenye unafikina huo kwa kutojua kuna ngo kibao za kusaidia hao watu zinaeneshwa na nchiza makafr miaka mingi
 
Wanaukumbi.
Serikali ya Marekani wameweka kwenye ukurasa wao wa Ikulu ya taifa hilo, misaada ya kibinadamu ambayo wanaipeleka nchini Palestina kwenye ukanda wa Gaza.

Hivi mnawaelewa kweli hawa jamaa? Yaani wapeleke silaha nchini Israeli kwa ajili ya kuwaua watu wa Palestina watoto, wanawake, kushambulia shule mahospitali kisha leo hii wapeleke misaada ya kibinadamu?

Huu ndo unafiki ambao kama hauna akili za kuchanganua mambo huwezi kuelewa namna dunia inavyokwenda.

Lakini hawa jamaa, mwisho wao umekaribia kwa maana kila aina ya propaganda ambayo wanaifanya kwa sasa, dunia iko macho muda wote.
========================
More shipments of Usaid food have arrived in Egypt before heading to Gaza.

Access to humanitarian aid is critical, and our Administration welcomes yesterday’s deal that'll allow for additional humanitarian aid to alleviate the suffering of innocent Palestinian families in Gaza.
si ukapeleke wewe km msaada wao ni unafiki, we uislam wako unakusaidia nini km huwezi kusaidia waislam wenzio mpaka kafiri asaidie, umesikia hao wapalestina wamekata huo msaafa? We utakufa na umaskini wa roho wa wa kimwili. Watu wenye roho km ya kwako hawajawahi kufanikiwa.
 
Ningependa kufahamu hao waliopelekewa hiyo misaada wameipokeaje?usikute wametoa neno la shukrani ila huku unapiga kelele bila kujua kinachoendelea.

Na unaemuona mtoa msaada hastahili kuwasaidia hao watu upi msaada wako uliowapa kiasi uone hao wanaosaidia hawastahili kuwasaidia.
 
Ningependa kufahamu hao waliopelekewa hiyo misaada wameipokeaje?usikute wametoa neno la shukrani ila huku unapiga kelele bila kujua kinachoendelea.

Na unaemuona mtoa msaada hastahili kuwasaidia hao watu upi msaada wako uliowapa kiasi uone hao wanaosaidia hawastahili kuwasaidia.
Ustaadhi mwarabu mweusi pori mwitu wa msikiti wa kijiwe nongwa huyo yeye ni full kulalama tu
 
Wanaukumbi.
Serikali ya Marekani wameweka kwenye ukurasa wao wa Ikulu ya taifa hilo, misaada ya kibinadamu ambayo wanaipeleka nchini Palestina kwenye ukanda wa Gaza.

Hivi mnawaelewa kweli hawa jamaa? Yaani wapeleke silaha nchini Israeli kwa ajili ya kuwaua watu wa Palestina watoto, wanawake, kushambulia shule mahospitali kisha leo hii wapeleke misaada ya kibinadamu?

Huu ndo unafiki ambao kama hauna akili za kuchanganua mambo huwezi kuelewa namna dunia inavyokwenda.

Lakini hawa jamaa, mwisho wao umekaribia kwa maana kila aina ya propaganda ambayo wanaifanya kwa sasa, dunia iko macho muda wote.
========================
More shipments of Usaid food have arrived in Egypt before heading to Gaza.

Access to humanitarian aid is critical, and our Administration welcomes yesterday’s deal that'll allow for additional humanitarian aid to alleviate the suffering of innocent Palestinian families in Gaza.

Huo ni msaada Kwa ajili ya innocent civilians. Kumbuka sio wapalestina wote wanaunga mkono ugaidi wa Hamas?!
 
Uh huh. And how many bombs have you genocidal war criminals sent today to massacre thousands of children?
Gaza wamekubari yale makubariano nyeti ya kupumuliwa kisogoni
 
Kama vipi waikatae kuonesha hawataki unafiki!
Thubutuuu!.
Halafu Us wanaroho nzuri sana wanataka Wapalestina wafe wakiwa wameshiba pindi Israel wakianza tena kushusha mvua ya mabomu🤣🤣🤣
 
Wanaukumbi.
Serikali ya Marekani wameweka kwenye ukurasa wao wa Ikulu ya taifa hilo, misaada ya kibinadamu ambayo wanaipeleka nchini Palestina kwenye ukanda wa Gaza.

Hivi mnawaelewa kweli hawa jamaa? Yaani wapeleke silaha nchini Israeli kwa ajili ya kuwaua watu wa Palestina watoto, wanawake, kushambulia shule mahospitali kisha leo hii wapeleke misaada ya kibinadamu?

Huu ndo unafiki ambao kama hauna akili za kuchanganua mambo huwezi kuelewa namna dunia inavyokwenda.

Lakini hawa jamaa, mwisho wao umekaribia kwa maana kila aina ya propaganda ambayo wanaifanya kwa sasa, dunia iko macho muda wote.
========================
More shipments of Usaid food have arrived in Egypt before heading to Gaza.

Access to humanitarian aid is critical, and our Administration welcomes yesterday’s deal that'll allow for additional humanitarian aid to alleviate the suffering of innocent Palestinian families in Gaza.
Mnafki ni yupi??

USA anayetoa msaada au ni Palestina inayokubali na kupokea huo msaada?
 
Back
Top Bottom