Marekani washauri raia wake kuwa makini Tanzania

Status
Not open for further replies.
These people are so predictable. Unaweza shtukia wanawarusha bahari Hindi.
 
On this one I stand with TZ.. mwanaume anapenda nini kwa mwili mgumu wa mwanaume mwenzake..lesbianism inaeleweka kiasi
 
Kwa hisani ya watu wa marekani... Ushoga hautakaa uishe
Kabisaa wala hujakosea mkuu maana unafadhiliwa na nchi tajiri zinazojiweza kiuchumi tutakataa mwisho wa ck ili tuendelee kuwa tunapata misaada yao lazima tuingie tu choo cha kike
 
Kukazia mkuu c unajua watu wanaogopa na wanatilia sana maanani akiongea mkulu??
Any way kikubwa yeye naye kuunga hoja hadharan to
Hapa itakua kina mkapa na JK wamemshauri akae kimya
Vinginevyo angeshafukuza watu wizara ya mambo ya nje
 
Tangazo la Januari unaleta sasa hivi ili iweje? Ni dhahiri kuwa na wewe ni choko.
 
Hili tamko ni jepesi kwa kulisikia ila lina maana kubwa sana kwa wachunguzi wa mambo.. kuna tamko jingine ni lazima litafata ambalo si rafiki kwetu. kujamiina jinsia moja hatutaki na sio utamaduni wetu iwe wasagaji au mashoga. hivyo waheshimu utamaduni wetu na wasituwekee vikwazo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…