MAREKANI: Watanzania Diamond, Harmonize na DJ D-Ommy washinda tuzo za Afrimma 2016

Hongera kiba u still have best voice ever in Tanzania... Keep it up
 
Nakuaminia queen
 
Diamond na Harmonize Washinda tuzo za AFRIMMA2016....Orodha kamili ya washindi ipo hapa

MPEKUZI / 4 hours ago



Utoaji wa tuzo za AFRIMMA kwa mwaka 2016 umefanyika Dallas, Marekani huku watanzania watatu, Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D Ommy wakiibuka na tuzo kila mmoja akipata tuzo moja.


Diamond ameshinda tuzo ya mwanamuziki bora wa kiume kwa Afrika Mashariki, Harmonize kashinda tuzo ya msanii anayechipukia Afrika na DJ D Ommy akishinda tuzo ya DJ bora Afrika.


Orodha kamili ya washindi waweza isoma hapa chini;


Best Male West Africa – Olamide (Nigeria)


Best Female West Africa – Efya


Best Male North Africa – Amr Diab


Best Female North Africa – Ibtissam


Best African DJ USA – Dj Dee Money


Best Male Central Africa – C4 Pedro


AFRIMMA Video of the year – Brother brother Bisa Kdei


Best Female Central Africa – Daphne


Music Producer of the year – Masterkraft


Best male South Africa – AKA


Best Female Southern Africa – Chikune


Best Rap Act – Phyno (Nigeria)


Best African Group – Sauti Sol (Kenya)


Best collaboration – Reggae blues ( Harrysong, Kcee) Nigeria


Crossing boundaries with Music – Wizkid (Nigeria)


Song of the year – Tecno Duro (Nigeria)


Best Gospel Act – Willy Paul (Kenya)


Best Male East Africa – Diamond Platnumz ( Tanzania)


Artist of the year – Flavour ( Nigeria)


Best Newcomer – Harmonize (Tanzania)


Best Dancehall Act – Shatta Wale


Best Video Director – Patrick Elis


Carribean Artist of the year – Machel Montano
 
Pongezi kwao, pongezi kwa taifa.

Habari za team fulani hazituhusu.
 
Real love diamond & WCB,so guys should submit themselves 4 the best future in their music carrier
 
Hongera zao vijana,Harmonize Kaanza juz tu kaibuka na tuzo kubwa wakina barnaba,benpol kwenye game kitambo lakini hata kuzinusa tu bado Bora tu wakaombe usajili Wasafi Kama mwenzao mavoko!

-nyerere-
waaasafi
 
Ndio huyohuyo mkuu
Sasa kwani ukishinda tuzo ndo maana yake ndo unajua kuimba? Kushinda tuzo ni ishu ya kupigiwa kura na kupigiwa kura ni ishu ya kampeni (yaani unafanyaje kampeni ili kujihakikishia ushindi) team WCB wana crew kubwa sana au mtandao mkubwa sana wa watu kuwapigia kura, nitoe mfano tuchukulie hivyo hivyo harmonize alivyo halaf angekua ameingia kwenye tuzo hizo pasi na kua chini ya label ya WCB what do you think could happen? Harmonize sio msanii mkali kihiivyo bytheway huwezi ukamweka kapu moja na akina barnaba, benpol(kwa utamu wa vocal) to mention a few lakini record label yake pekee inambeba au ina mmbusti kuweza kua known na kupigiwa kura that's it!!
 
Mbona unatokwa povu mkuu.... Kama hujafurahia mafanikio yao weka wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…