Sasa kwani ukishinda tuzo ndo maana yake ndo unajua kuimba? Kushinda tuzo ni ishu ya kupigiwa kura na kupigiwa kura ni ishu ya kampeni (yaani unafanyaje kampeni ili kujihakikishia ushindi) team WCB wana crew kubwa sana au mtandao mkubwa sana wa watu kuwapigia kura, nitoe mfano tuchukulie hivyo hivyo harmonize alivyo halaf angekua ameingia kwenye tuzo hizo pasi na kua chini ya label ya WCB what do you think could happen? Harmonize sio msanii mkali kihiivyo bytheway huwezi ukamweka kapu moja na akina barnaba, benpol(kwa utamu wa vocal) to mention a few lakini record label yake pekee inambeba au ina mmbusti kuweza kua known na kupigiwa kura that's it!!