Marekani yafeli tena kwenye kutest kombora la Hypersonic

Marekani yafeli tena kwenye kutest kombora la Hypersonic

Bado siamini kama ni kweli..... mi nadhani America kuna mambo mengi wanaficha..
Kwa haya maji ya shingo na anataka auze silaha hawez kuficha jambo lolote kwa kujidhalilisha kama hivi, lengo lake sio vita bali lengo lake ni influence na pesa za mauzo ya silaha kuijenga economicaly...kwa uwalakin uliouonyesha umeogopa haiwezekan US akapoteza kias hiki...basi ujue na policies za US ziko based na hofu uliyoipata kuwa haiwezeken wao wakawa empty kias hichi
 
USA walishafanikiwa kutest hypersonic bwashee, USA sio Tanzania braza hao watu ni wajanja wajanja wanachotaka saizi sio hypersonic hawa wanatafuta kitu kingine zaidi

Kupumbaza wajinga na washindani, ni lazima waseme haya huku ni kuwapoteza maboya maadui, hawa ni level nyingine kwa uongo duniani, kwani wakati wanashusha atomic Japan walikwambia wanazo??

USA siku zote yuko vitani, so usitarajie et kila kitu kinawekwa open to the public ok, hawa hypersonic wanazo, hata juzi kati hapa ulaya waliwasihi waweke hadharani why wafiche
Hawana...kwasababu hayupo tayari kuwapoteza ushawishi kwa kudanganya hasa kipindi hiki kigumu cha anguko la uchumi wake
 
Acha ujinga braza, acha akili za ovyo duniani kote ilisoma hizo taarifa sio hapa bongo tu, endeleeni kuadaiwa na wajanja USA wako pale walipo na wataendelea kuwa juu duniani coz wanawaelewa washindani wao vyema sana
Urusi asingeonyesha fujo anazozionyesha kama kweli US ana hzo hypasonic..china asingemdindia, iran asingemdindia wala north korea..
 
USA walishafanikiwa kutest hypersonic bwashee, USA sio Tanzania braza hao watu ni wajanja wajanja wanachotaka saizi sio hypersonic hawa wanatafuta kitu kingine zaidi

Kupumbaza wajinga na washindani, ni lazima waseme haya huku ni kuwapoteza maboya maadui, hawa ni level nyingine kwa uongo duniani, kwani wakati wanashusha atomic Japan walikwambia wanazo??

USA siku zote yuko vitani, so usitarajie et kila kitu kinawekwa open to the public ok, hawa hypersonic wanazo, hata juzi kati hapa ulaya waliwasihi waweke hadharani why wafiche
Acha ushabiki maandazi we kiazi
 

HABARI YENYEWE YOTE HII HAPA. SIYO MNALETA HABARI NUSU NUSU.

ARRW hypersonic missile test failed, US Air Force admits​

By Stephen Losey
Mar 28, 08:37 PM

DK7ATXE52ZAF7GZXVM3OM5NP3Y.jpg
A B-52H Stratofortress takes off from Edwards Air Force Base, Calif., to conduct a test of the AGM-183A Instrumented Measurement Vehicle 2 prototype. (Matt Williams/U.S. Air Force)

WASHINGTON — The U.S. Air Force’s March 13 test of a hypersonic weapon was “not a success,” the service secretary told lawmakers Tuesday.

Frank Kendall indicated the Lockheed Martin-made AGM-183A Air-launched Rapid Response Weapon program may be in jeopardy. The service, he said, is “more committed to HACM [the Hypersonic Attack Cruise Missile, the service’s other major hypersonic weapon program] at this point in time than we are to ARRW.”

The ARRW effort “has struggled a little bit in its testing program,” Kendall told the House Appropriations Committee’s defense panel during a hearing on the fiscal 2024 budget request. He said an ultimate decision on whether to continue with the program could come as part of the FY25 budget process next year following a study of the failed March test and possibly two more test launches.

Hypersonic weapons travel at speeds topping Mach 5 and are highly maneuverable, making them difficult to track and shoot down. China and Russia have invested considerable resources in developing these weapons for their militaries, and several U.S. lawmakers have expressed concern that the country is not doing enough to field its own hypersonic capabilities.

The Air Force on Friday revealed it had conducted the second test launch of a fully operational prototype ARRW off the coast of southern California earlier this month.

But the Air Force did not reveal details about the test or its success in that statement, only saying it met “several of the objectives.” That language differed from an Air Force statement in December about a previous ARRW test, in which the service said the weapon’s release was successful and met all objectives.

The Air Force declined to comment further on the March test and its results when contacted Friday by Defense News.
Kendall did not detail how the March 13 test fell short in his testimony.

“We did not get the data that we needed from that test,” he told lawmakers. “They’re currently examining that, trying to understand what happened.”Kendall said the Dec. 9 ARRW test, which was also with an operational prototype, was “a very successful flight, which was a big step forward before the one that just occurred.”

The Air Force has two more ARRW prototypes it plans to test after the studies on the failed test are done, Kendall said.
“We’ll probably have to make a decision on the fate of ARRW after we complete the analysis, and hopefully do those two tests,” Kendall said. “We’ll revisit it, I think, as we build the ’25 budget to see what will be done in the future.”

The Air Force received nearly $115 million in research, development, test and evaluation funds for ARRW in FY23, down from $308 million the previous year. The service has requested $150 million in RDT&E funds for ARRW in FY24 — but no procurement funds, and budget documents are silent on what the program’s R&D funding could be in subsequent years.

However, HACM received $423 million in FY23, and the Air Force wants to spend nearly $382 million on that program’s RDT&E in FY24. The service’s budget documents map out a plan for spending nearly $1.5 billion more on HACM between FY25 and FY28.

Kendall said HACM has been “reasonably successful.”“We see a definite role for the HACM concept,” Kendall said. “It’s compatible with more of our aircraft, and it will give us more combat capability overall.”
Watu wanaogopa weka habari nzima.
Wanataka wshtukize wapumbavu wenzao
 
Kuna watu wanashindwa kuelewa maana ya neno jaribio/majaribio. Na aliyesema jaribio limekwama (bila kufafanua) ni marekani mwenyewe.
 
USA walishafanikiwa kutest hypersonic bwashee, USA sio Tanzania braza hao watu ni wajanja wajanja wanachotaka saizi sio hypersonic hawa wanatafuta kitu kingine zaidi

Kupumbaza wajinga na washindani, ni lazima waseme haya huku ni kuwapoteza maboya maadui, hawa ni level nyingine kwa uongo duniani, kwani wakati wanashusha atomic Japan walikwambia wanazo??

USA siku zote yuko vitani, so usitarajie et kila kitu kinawekwa open to the public ok, hawa hypersonic wanazo, hata juzi kati hapa ulaya waliwasihi waweke hadharani why wafiche
Pro NATO huwa mna mihemko sana, lichanya kutaabika matapishi yako, marekani hajawai na wala hana hypersonic missilès sasa wewe kajamba nani unaonaje ukatuwekea sources zako. No research no right to speak!.or else kalale bado asubui matongo tongo yanakusumbia
 
USA walishafanikiwa kutest hypersonic bwashee, USA sio Tanzania braza hao watu ni wajanja wajanja wanachotaka saizi sio hypersonic hawa wanatafuta kitu kingine zaidi

Kupumbaza wajinga na washindani, ni lazima waseme haya huku ni kuwapoteza maboya maadui, hawa ni level nyingine kwa uongo duniani, kwani wakati wanashusha atomic Japan walikwambia wanazo??

USA siku zote yuko vitani, so usitarajie et kila kitu kinawekwa open to the public ok, hawa hypersonic wanazo, hata juzi kati hapa ulaya waliwasihi waweke hadharani why wafiche
Una upeo mdogo sana.
Samahani lkn.
 
Kwani wangesema majaribio imefanikiwa kuna tume ingeingilia kwenda kufanya uthibitisho? Dunia kuna mambo sana, sasa Rusia kama anatumia hypersonic na bado hajamaliza vita basi hizo silaha siyo hatari kama inavyopambwa hapa jukwaani.
 
Kwani wangesema majaribio imefanikiwa kuna tume ingeingilia kwenda kufanya uthibitisho? Dunia kuna mambo sana, sasa Rusia kama anatumia hypersonic na bado hajamaliza vita basi hizo silaha siyo hatari kama inavyopambwa hapa jukwaani.
Anazo chache sana
 
Back
Top Bottom