Marekani yafuta ahadi yake ya kutoa Dola milioni 10 atakayesaidia kukamatwa Ahmed al- Sharaa kiongozi mpya wa Syria

Marekani yafuta ahadi yake ya kutoa Dola milioni 10 atakayesaidia kukamatwa Ahmed al- Sharaa kiongozi mpya wa Syria

Hivi siku hizi hatuwezi kuwa na mjadala bila maneno machafu ndugu zangu wana jf?
Huu ukweli tusipo usema utaendelea milele ni lazima tuuseme kuna akili kubwa sana na faida kubwa sana ...hivi amjiulizi kwa nini Jpm alipingwa na mabeberu wakati ni mkristo mwenzao hadi wakasemezana kuwa wanatamani tanzania iongozwe na waislamu siku zote ...Nyerere aliua hadi makaburu ya africa kusini na ni wakristo ...ila rais akiwa muislamu tu wamasai wanauliwa kisa muarabu hapate sehemu ya kufanyia ufuksa wake ...thamani ya mtanzania mbantu inskuwa duni sana rais akiwa muisiharamu
 
Wadau hamjamboni nyote?

Rasmi Kiongozi Mkuu mpya wa Syria baada ya mazungumzo na WAMAREKANI ijumaa meonyesha ushirikiano mkubwa mkubwa hivyo Serikali tukufu ya Marekani imefuta rasmi ahadi yake ya kutoa Dola million Kwa atakayesaidia kukamatwa kwake!

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

After Damascus meeting, US drops $10 million terror bounty for new Syrian leader

Senior diplomat Barbara Leaf says she received ‘positive messages’ on fighting terror from Ahmed al-Sharaa, after meeting with him despite his group’s continued terror designation

A senior US diplomat told Syria’s new leader Ahmed al-Sharaa on Friday that Washington was scrapping a reward for his arrest, and welcomed “positive messages” from their talks including a promise to fight terrorism.

Barbara Leaf, Washington’s top diplomat for the Middle East, made the comments after her meeting with Sharaa in Damascus — the first formal mission to Syria’s capital by United States diplomats since the early days of Syria’s civil war.

The lightning offensive that toppled president Bashar al-Assad on December 8 was led by the Islamist Hayat Tahrir al-Sham (HTS), which is rooted in Al-Qaeda’s Syria branch but has sought to moderate its image in recent years.

Leaf’s meeting with HTS chief Sharaa came despite Washington’s designation of his group as a terrorist organization.

“Based on our discussion, I told him we would not be pursuing the Rewards for Justice reward offer that has been in effect for some years,” Leaf told reporters after their talks.

She said “we welcomed positive messages” from Sharaa, who until recently was referred to by his nome de guerre Abu Mohammed al-Julani.

“We will be looking for progress on these principles and actions, not just words,” she said.

“I also communicated the importance of inclusion and broad consultation during this time of transition,” she said.

“We fully support a Syrian-led and Syrian-owned political process that results in an inclusive and representative government which respects the rights of all Syrians, including women, and Syria’s diverse ethnic and religious communities.”

A Syrian official, speaking on condition of anonymity, earlier confirmed to AFP that the US delegation had met with Sharaa.

“The meeting took place, and it was positive. And the results will be positive, God willing,” the official said.

The US delegation also included the US pointman on hostages, who has been seeking clues on missing Americans including Austin Tice, a journalist kidnapped in Syria in August 2012.
Siku zote tunawaambia Us ndiye bana lao, hata Putin ni suala la muda tu
 
Kifupi amekubali kuwa kibaraka.

Kuwauza wenzake kimyakimya

na anakuwa jiwe la kukanyagwa wakati mabeberu wanafanya operations zao.
Hata wale akina Assad, Nasrallah, Haniyeh na Sinwar nao usisahau kwamba walikuwa ni vibaraka vilevile kwa wengine.
 
Back
Top Bottom