Jibu ni kuwa Wazungu kwasasa wanaiyogopa Iran kuwa mkweli Marco polo anachokifadhili Iran ktk eneo angekuwa ni mwengine mchovu mchovu said si tungeona Nato wanagipia kama ngoma. Ona Iran kama ndio uchokozi meri za kijesh za marekani zimepigwa sio moja au mbili 2] meri za kibiashara zimezamishwa nyingi zikiwemo za mafuta 3] Ameshaipiga kambi za jesh la marekani tena mbili kutokea Iran adi Iraq zilipo. 4] Ameipiga Israel mala2 kutokea Iran moja kwa moja kwenda Israel lkn tena anaendelea kuipiga kutokea Yemen mojakwamoja kwenda Israel hizi Sababu azitoshi kwa wao kuungana kwenda Iran mbona inafikilisha sana akilini Je nakosea nikisema Wazungu wanaiyoga Iran,, Iraq ilipigwa sababu ndogo tu Libya ivyo ivyo sababu ndogo tu lkn Nato walienda kwanini uyu Iran mwenye makosa makubwa kiuchumu kuzuiya meri kuzitwanga atakama aziendi Israel kafunga njia!!!!! Kubwa zaid najipigia tu Israel inavyotaka. Wajomba wa jakobo wanalala kwenye mashimo kama jana mwaka mpya lkn watu wamekimbizana kwenye mashimo. Iran kwann anaopogwa tuweni wakweli???