Marekani yajitoa rasmi Shirika la Afya Duniani WHO

Kipindi cha Hillary hizo polls zilikuwa against Trump
Tumeshaliongea hilo. Ni kweli Hillary alipata kura milion 2 zaid ya Trump, kwa hiyo siyo kuwa polls ziliongopa. Ila Hillary hakuangalia zile traditional democratic states za Pennyslavnaia, Wisconsin na Michigan;

Halafu Hillary alichukulia states hizo for granted na akawa hakumtumia Sanders kwenye kampeini. Scenery ya 2016 siyo iliyopo leo; Sanders atapiga kampeini ya nguvu sana mwaka huu, na wale wafuasi wa Sanders ambao hawakupiga kura mwaka huo watapiga sana mwaka huu.
 
Ndo tushakata mirija msubiri 2025
Naona Muhabesh Bado Tunae pale WHO [emoji4]

niliwahakikishia kwamba MUHABESH hawez toka kwa upuuzi wa Turampet nanikawaambieni Turampet Akili ndogo sana Hasa kwenye masuala mazima ya Diplomasia
 
Kwa hiyo wewe mzamiaji unajua ya Wamarekani kuliko Wamarekani wenyewe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo tushakata mirija msubiri 2025
Baada yakuona Muhabesh kagoma c wanajifanya ndio viranja wadunia nanyie mkaja nakampeni yenu ile kutaka jamaa asepe jamaa akagoma


US imekua nchi yakugomewa hata nawahabesh kweli hakuna marefu yasio namwisho[emoji22][emoji22][emoji22][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo wewe mzamiaji unajua ya Wamarekani kuliko Wamarekani wenyewe
Nimeshakaa hapa miaka 25, probably kabla wewe hujazaliwa, kwa hiyo ninayajua mambo haya vizuri kuliko unavyodhani; watoto wangu watatu ni wamarekani kwa kuzaliwa kasoro mmoja aliyezaliwa Mwananyamala.

Nimefundisha sehemu kubwa ya wapiga kura wa leo, yaani wale waliozaliwa kuanzia mwaka mwaka 2002 na kurudi nyuma hadi mwaka 1995.
 
Basi elewa kuwa Trump anashinda 2020
 

Hapo sasa ndio umeanza kuongea cha maana, miafrika tuchape kazi na kuacha kuwalalamikia wazungu, wametusaidia sana ila ifike wakati tuamue kupambana na hali yetu, halafu hao waarabu hata mkivaa mikanzu yao, uote mindevu na kufuata dini yao hutaona wakija kukusidia, wanakubagua bila huruma, kwanza thubutu kuchumbia kwao, eti Msukuma na weusi wote huo itokee umempenda mwanamke wa kiarabu kisa wewe ni mvaa kanzu kama wao, utakoma ubishi.
 
Awasalimie kigoma [emoji23][emoji23]


Missile of the Nation
Sexer
MK254
Root

khatimae US wamemshindwa Muafrika katika zile propaganda zao wamesepa wao badala ya kusepa jamaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila kitu Rangi ya ngozi![emoji134][emoji134],
Haya bas wacha tucheze game uitakayo, 'umeona ee, black tuna nguvu sana, wazungu wameshindwa kumng'oa jamaa, ila pia aking'oka tusilielie hapa kwamba sababu ni rangi yake'
 
Sawa acha wajitoe tu, nchi zote duniani zikitoa 200M or 300M kwa mwaka ni matrion ya kutosha kuzidi ya USA
nchi nying n wazee kwa hisan ya watu wa marekani sa hizo hela wanazitokea wap?
 
Let's see yawezekana hata hayo madhara yanayokupa wasiwasi yasiwe makubwa kihivyo
 
Uzembe wake anauhamishia kwa wengine. Nafikiri Wamarekani wanao uelewa wa kutosha kuuona uongo huu.
 
Wachina watachukua nafasi ya US katika funding biashara imekwisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…