Marekani yajitoa rasmi Shirika la Afya Duniani WHO

Marekani yajitoa rasmi Shirika la Afya Duniani WHO

Hahahahhah uzuri mkuu wewe hua huna hasira...nimekutania tu boss.

Ila nini mzee hapo lumumba kama kuna kazi hata ya kufagia nifanyie connectoon hali tete mtaani huku.
Wewe mbna unaleta balaa acha hizo
 
Utani mbaya huo rafiki
Hahahahhah uzuri mkuu wewe hua huna hasira...nimekutania tu boss.

Ila nini mzee hapo lumumba kama kuna kazi hata ya kufagia nifanyie connectoon hali tete mtaani huku.
 
Trump is there to stay.

Wapiga ramli mtapiga sana ila mshikaji yuko pale hadi 2024.

Hahaa, mkuu hata hii yako ni ramli pia. Nafikiri ni bora kusema kwenye uchaguzi, hasa wa nchi yenye demokrasia iliyokomaa kama Marekani, lolote laweza tokea.
 
Wewe chekelea ilhali ndugu zako huko kwa mtongole ndio wataumia, maana huyo muajemi na mwarabu ambao huwa unawashobokea kisa dini hamna siku hata moja watakusaidia wewe au ndugu zako, wale ni wagumu na wabaguzi kupita maaelezo, huyu Marekani unapenda kumponda na kula kutoka kwenye sahani yake kwa wakati mmoja.
hili nalo ni neno, Marekani bado anabaki kuwa mwamba duniani kutokana na anayoyafanya
 
Pigeni kazi!! Hao waacheni na mambo yao wenyewe
Mambo yao wenyewe ? Uamuzi huu ni mbaya na unatuhusu sana tu. Hata yule anayeishi Namtumbo (Ruvuma), Bamako (Mali) , au Laos (Asia) hakwepi kwenye kapu hili. China by far bado hajawa tayari kuvaa majukumu aliyonayo Marekani kwa level ya dunia
 
Mambo yao wenyewe ? Uamuzi huu ni mbaya na unatuhusu sana tu. Hata yule anayeishi Namtumbo (Ruvuma), Bamako (Mali) , au Laos (Asia) hakwepi kwenye kapu hili. China by far bado hajawa tayari kuvaa majukumu aliyonayo Marekani kwa level ya dunia
Misaada mingo tu ya afya haitoki WHO
 
Taifa linaloongoza kutoa msaada wa ARV na vifaa vya maabara ni India, inayotoa asilimia 65% ya dawa zote zinazoonekana Tanzania.
India ni manufacturer tu, USA kupitia USAID na global fund ndio wanaonunua kutoka India na kuleta huku sub Saharan Africa
 
Kwahiyo hata zile net, kwa udhamini wa USAid ndio basi tena![emoji41][emoji41][emoji41]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Sasa hivi yanakuja majamvi kwa hisani ya watu wa pwani
 
Back
Top Bottom