Marekani yakana kumfahamu jasusi aliyekamatwa Venezuela

Marekani yakana kumfahamu jasusi aliyekamatwa Venezuela

Kama uliniona na ukathibitisha pasi na wasiwasi kwamba nalia Lia, kwa Nini uniombe msamaha? Unaniogopa ama?
Wakati mwingine hatuna budi kuomba radhi kufupisha stori mkuu

Kuhusu kukuogopa why not? Kuna kiumbe anatisha kuliko binadamu?
 
Kawaida.... kwani hapa wasioujilakana wakijulikana nini kinatokea? Ghafla wanageuka "walikuja kujaza mafuta"
 
Lakini ujumbe unakua umefika

Ndio uzuri wake
Lakini ukituma ujumbe, itakubidi uwe tayari na kwa majibu au sio? Sasa wewe umetuma ujumbe, majibu yanataka kuja unaanza kuomba msamaha! Nikikuita wewe ndo wa kulia Lia ntakua nimekosea?
Maana ni Kama umenirushia ngumi halafu unasema hutaki ugomvi.

BTW sisi sote ni ndugu, peace n' love
 
  • Thanks
Reactions: T11
Back
Top Bottom