Marekani yalalamika kuwa Urusi imetumia droni za Iran kuangamiza ngome za jeshi la Ukraine karibu na bandari ya Odesa

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Marekani yalalamika kuwa eti Urusi imetumia droni za Iran kushambulia na kuzichoma ngome za kijeshi za Ukraine zilizopo karibu na bandari ya Odesa usiku wa kuamkia leo.

Jeshi la Ukraine lasikitika kuwa mashambulio hayo ya droni za Muajemi pia yameunguza maghala ya silaha za jeshi la Ukraine.

Mwambieni Biden aache kulialia, mbona kishaipatia Ukraine NASAMS (ule mfumo wa anga tunaoambiwa eti utailinda UkraineπŸ˜†πŸ˜†πŸ€£πŸ˜‡πŸ˜‡ )? Watumie NASAMS kujilinda na moto wa droni hizo za muajemi! Na kama vipi watumie pia HIMARS πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
====


 
Kwa iyo leo umeiamini source kutoka los Angeles Times?
 
Habari nizipendazo🀣
 
Hawakulalamika bali wameripoti tukio. In fact drone hizo sasa hivi zimekuwa zinaangushwa kama mbayuwayu.

Ikumbukwe kwamba mwaka 2011 kuna drone moja ya Marekani ilianguka huko Irani wakaikota nzima nzima na kuanza kuikopi. Hizo ndiyo matokeo ya reverse engineering ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…