Marekani yaongeza ununuzi wa kahawa ya Kenya kwa asilimia 75%

Marekani yaongeza ununuzi wa kahawa ya Kenya kwa asilimia 75%

Mvua kwenu ikinyesha kidogo shughuli zote zinakwama, nyie bana. Sasa hivi kuna jamaa zangu walikua wanasafiri kwenda Morogoro kutokea Dar, barabara kuu imezibwa kabisa imebidi wapitie Tegeta kuitafuta Chalinze. Hamujajiandaa kabisa, barabara kuu ya Morogoro ndio imeunganisha Dar na mikoa muhimu....
Do you know the meaning of having the alternative route??
Duniani kote iko hivyo, maintaining the stand by solution. Njia ya Msata ndiyo mbadala.
 
habari nzuri....kama kawaida bidii na mandeleo...nadhani Marekani ndio market kubwa kabisa ya kahawa ya Kenya kwa sasa na itaendelea kuimarika pindi tu Kenya Airways itakapoanza safari za moja kwa moja kwenda Marekani...na si kahawa tu ila pia maua na bidhaa aina nyingi...
 
Do you know the meaning of having the alternative route??
Duniani kote iko hivyo, maintaining the stand by solution. Njia ya Msata ndiyo mbadala.

Kha! Bus la Aboud limerudi Ubungo.....
 
Hehehe haya bana...
Usicheke maana wanaacha barabara nzuri na shortcut ya kutoka mbezi kwa msuguli kupitia salasala mpaka mbezi beach, wao wanaenda ubungo sijui kufuata nini!!!????
 
Back
Top Bottom