Marekani yapeleka vikosi Liebanon kuokoa raia wake huku waziri mkuu Mikhail Mikat akikimbilia UNO kupeleka malalamiko kutokana na uchokozi wa Israel

Marekani yapeleka vikosi Liebanon kuokoa raia wake huku waziri mkuu Mikhail Mikat akikimbilia UNO kupeleka malalamiko kutokana na uchokozi wa Israel

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Marekani tayari ina jumla ya askari 400,000 maeneo ya mashariki ya kati pamoja na meli kadhaa za kivita zilizowasili hivi karibu muda mfupi kabla Israel kuanza mashambulizi makali nchini Lebanon.

Pamoja na hivyo wizara ya ulinzi ya Marekani imesema itaongeza askari siku chache zijazo ili kuwa tayari kuwaokoa raia zao piandi mapigano baina ya Israel na Lebanon yakisambaa zaidi.

Wakati huo huo waziri mkuu wa Lebanon Mikhali Mikati ameamua kuakhirisha safari yake ya UNO ili kubaki nyumbani kuangalia mapambano yanavyoendelea.

NBC News

U.S. to send troops to be ready to help evacuate U.S. citizens from Lebanon​

 
Marekani tayari ina jumla ya askari 400,000 maeneo ya mashariki ya kati pamoja na meli kadhaa za kivita zilizowasili hivi karibu muda mfupi kabla Israel kuanza mashambulizi makali nchini Lebanon,
Pamoja na hivyo wizara ya ulinzi ya Marekani imesema itaongeza askari siku chache zijazo ili kuwa tayari kuwaokoa raia zao piandi mapigano baina ya Israel na Lebanon yakisambaa zaidi.
Wakati huo huo waziri mkuu wa Lebanon ameondoka kwa ghafla nchini kuelekea New York ili kupeleka malalamiko ya nchi yake kuvamiwa na Israel.
Bado hamjasema
 
Marekani tayari ina jumla ya askari 400,000 maeneo ya mashariki ya kati pamoja na meli kadhaa za kivita zilizowasili hivi karibu muda mfupi kabla Israel kuanza mashambulizi makali nchini Lebanon.

Pamoja na hivyo wizara ya ulinzi ya Marekani imesema itaongeza askari siku chache zijazo ili kuwa tayari kuwaokoa raia zao piandi mapigano baina ya Israel na Lebanon yakisambaa zaidi.

Wakati huo huo waziri mkuu wa Lebanon Mikhali Mikati ameamua kuakhirisha safari yake ya UNO ili kubaki nyumbani kuangalia mapambano yanavyoendelea.

NBC News

U.S. to send troops to be ready to help evacuate U.S. citizens from Lebanon​

Ndugu ukiona serekali ya Lebanon inalalamika ujuwe Israel hana jipya katumwa na israel, serekali ya Lebanon haswa PM na FM ni mapuppet wa US wanafanya hayo kwa faida ya Israel.Jeshi la US wako mle zamani ni waongo wanaogopa wamesha julikana sa wanajidai wamenda okoa raia zao ni uwongo mtupu. Israel wamenda kubali tune kwanza walijidai wanaenda kuweka mto Latin safe zone ndani ya Lebanon sa wameona moto wanadai sisi hatutaki Hezbullah awasaidie Hamas tutasimamisha vita 😄

Israel hana target zaidi ya kuvunja majumba zaidi ya hapo hana lingine kuhusu Miltary Target hana chochote lakini Hezbullah anaxo target nyingi sana zakupiga
 
Ndugu ukiona serekali ya Lebanon inalalamika ujuwe Israel hana jipya katumwa na israel, serekali ya Lebanon haswa PM na FM ni mapuppet wa US wanafanya hayo kwa faida ya Israel.Jeshi la US wako mle zamani ni waongo wanaogopa wamesha julikana sa wanajidai wamenda okoa raia zao ni uwongo mtupu. Israel wamenda kubali tune kwanza walijidai wanaenda kuweka mto Latin safe zone ndani ya Lebanon sa wameona moto wanadai sisi hatutaki Hezbullah awasaidie Hamas tutasimamisha vita 😄

Israel hana target zaidi ya kuvunja majumba zaidi ya hapo hana lingine kuhusu Miltary Target hana chochote lakini Hezbullah anaxo target nyingi sana zakupiga
Sawa sawa
 
Wavaa kobazi wamechanganyikiwa wakiona wabebe wa Dunia wanasogea, unafiq hauna nafasi Middle East now ni Fact tu
 
IDF wanaenda hadi Mto Litani Vibaraka wa Ayatolah Uharo Debe😁
 
Bado hatujasema au bado Israel haijasema!??
Si ana ubavu mbona kutegemea msaada kwa USA??
Umetoka masjid au bado?soma vizuri ni hv USA yeye anataka kuondoa raia wake tu ili awaache wenyewe israel na hao mbwa wa kiisalamu magaidi wapelekewe moto sasa wapi israel kaomba msaada
 
Umetoka masjid au bado?soma vizuri ni hv USA yeye anataka kuondoa raia wake tu ili awaache wenyewe israel na hao mbwa wa kiisalamu magaidi wapelekewe moto sasa wapi israel kaomba msaada
Ona ulivyo huna akili!!
Ripoti inasema US imepeleka kiasi cha kikosi cha kijeshi kulinda raia wake.
Haijasema kuwaondosha raia wake.
Tumia akili sio makalio kufikiri.
Unadhani huo ukanda raia wa US wapo wapi kwa hakika kama sio Israel!?
Mpuuzi wahed wewe.
 
Back
Top Bottom