Marekani yaripoti kuwa jumla ya wanajeshi/wapiganaji 8000 wa Ukraine wamekamatwa mateka na kushikiliwa na majeshi ya Urusi

Inashangaza hii habari ya ushoga inaenea sana hasa madrasa kule arusha Ostadh anajisevia watoto 22 kama wake zake.
Na jana Kinondoni Ostadh naye anakula watoto wa watu.
Mnaimba ushoga wakati humo kwenye kujifunza dini yenu mnafundisha watoto ushoga.
Mkiambiwa msile nguruwe wanaminyoo wana madhala kwa ubongo mnabisha ndio km hv mada inazungumzia mateka wa Ukraine kukamatwa ww unaleta mada ya arusha sijui ustadh amalawiti watoto hv tukianzisha mada hzo za kukashifiana dini utafurah? Maana huto Vatican ndio km sodoma na gomola wanavyotifuana mitalo,kila Mtu aheshimu dini ya mwenzake.
 
[emoji845] [emoji635] Politico has published a list of European companies that pay Russia for gas through Gazprombank[emoji845]

These are companies from Germany, France, Italy, Hungary, the Czech Republic, Slovakia and Slovenia, one Italian has an account in both euros and rubles[emoji383]
 
Ustadh acha kunajisi watoto ni dhambi ndg yangu
 
🙌🙌🙌🙌🙌 Siwezi kujishusha chini huko uliko. Endelea unavyotaka. Inaonekana unapata sana burudani.
Unalialia nini sasa?

Nilikulazimisha kusoma?

We endelea kuteseka na nyuzi zangu...baada ya kulialia kwa moderator na kupuuzwa sasa ndio unatafuta namna ya 'nitoke vipi'🤣😂🤣😂😁😁
 
Taarifa kama hii ikitolewa na US basi siyo propaganda ,Pro putin ni vichaa.
 
Ngoja tuwatwange kwanza 'nondo za kichwa' waUkraine wa 'Usoke' na waMarekani wa 'Segera' kwa kutumia source yao pendwa "U.S. News" [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
ukifika Urusi ya kwel hauruhusiw hata kucheka huku unamwangalia Putin , ulaya ndo kwenye uhuru hadi media zipo huru
 
Wakitoa taarifa ambazo ziko upande wa Ukraine mnaita propaganda! [emoji16]

Ila hiyo mnaamini
 
duh so unapoteza mada?
 
Achana na hawa watu mi nimeamua siwajibu kitu
 
Hujui kuwa vita huwa zinaamuliwa na mikataba pia? Huvamii tu kijinga jinga maana position yako ikionekana we ndio muanzisha vita ukisomewa shtaka una amuliwa ulipe deni la vita. Usifikirie Mrusi ni mpumbavu kiasi hicho akurupuke tu kiboya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…