Marekani yasema Iran itaishambulia Israel saa 72 zijazo

Marekani yasema Iran itaishambulia Israel saa 72 zijazo

Mlisema hivyo hivyo kwamba Iran hawezi kurusha hata jiwe kwenye ardhi ya Mazayuni.

Kilichotokea hata dunia imepigwa na butwaa baada ya Muajemi kutangazia ulimwengu kwamba itaishambulia Israel ndani ya masaa machache na inatekeleza ahadi yake kwa kuiporomoshea drones na missiles Israel moja kwa moja.

Kama mashoga ya magharibi wangekuwa wanaiwinda Iran iingie mtegoni nadhani hiyo ndiyo ilikuwa fursa yao kuingia full scale war lakini walinywea.

Na this time kipigo kwa Mazayuni kitakuwa mara mbili yake na hakuna mashoga watakachomfanya Iran zaidi ya kuvizia kuuwa mtu lakini sio kuingia vitani na Iran.
Nadhani Mataifa kama Iran and their allies, wanatumia fursa kama hizi kutest defence system ya Israeli for future use 😀, kwa sababu haingii akilini mtu kurusha makombora 1000 ambayo unajua tu yatakua intercepted, hapo nahisi kuna vicode wana vitest.
 
Back
Top Bottom