Marekani yasema Iran itaishambulia Israel saa 72 zijazo

Hivi mtu ukitaka kuwa gaidi wa kikundi kama Islamic jihad au alqaida unafanyaje? Requirements ni zipi?
 
Wee kilwa ya wapi...
Wa kilwa waache kama walivo na ukome
 
Tutaona Mungu wa Israel atakavyodhihirisha ukuu wake.

Mungu ibariki Israel
 
Netanyahu anajua zinaelekea wapi maana zilipopita juu ya bunge alienda kufanyia operation ya tezi dume sasa hizi zinazopita juu ya ikulu sijui atafanyiwa operation ya nini
Flurtus surgery (upasuaji wa ushuzi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…