vunjo JF-Expert Member Joined Jun 2, 2011 Posts 1,323 Reaction score 2,608 Jul 15, 2022 #21 Hapa ndio utaona utofauti Ukraine inapiga Military bases wakati Russia anapiga makazi na kuuwa watoto
Hapa ndio utaona utofauti Ukraine inapiga Military bases wakati Russia anapiga makazi na kuuwa watoto
vunjo JF-Expert Member Joined Jun 2, 2011 Posts 1,323 Reaction score 2,608 Jul 15, 2022 #22 Black sea moto unawaka huko Pro Russia mkuje kwenye uzi wenu mkane tena
vunjo JF-Expert Member Joined Jun 2, 2011 Posts 1,323 Reaction score 2,608 Jul 15, 2022 #23 Tazama mrusi anapelekewa moto majini na ardhini hakuna kupumua
Ustadh tongwe JF-Expert Member Joined Nov 22, 2020 Posts 717 Reaction score 1,903 Jul 15, 2022 #24 vunjo said: Black sea moto unawaka huko Pro Russia mkuje kwenye uzi wenu mkane tena Click to expand... Mavideo ya kutafuta subscribe hayo watu Wana edi
vunjo said: Black sea moto unawaka huko Pro Russia mkuje kwenye uzi wenu mkane tena Click to expand... Mavideo ya kutafuta subscribe hayo watu Wana edi
R Rotomoto JF-Expert Member Joined Aug 22, 2017 Posts 1,016 Reaction score 2,021 Jul 15, 2022 #25 Ustadh tongwe said: Mavideo ya kutafuta subscribe hayo watu Wana edi Click to expand... Anahangaika nayo balaa, wakati watu wanateka miji yeye anahangaika ya kutengenezwa basi atafute ya mji kurudishwa maana wanajeshi kufa na vifaa kuharibiwa ni kawaida vitani Cha msingi baada ya Vita ulifanikiwa nini?
Ustadh tongwe said: Mavideo ya kutafuta subscribe hayo watu Wana edi Click to expand... Anahangaika nayo balaa, wakati watu wanateka miji yeye anahangaika ya kutengenezwa basi atafute ya mji kurudishwa maana wanajeshi kufa na vifaa kuharibiwa ni kawaida vitani Cha msingi baada ya Vita ulifanikiwa nini?
STRUGGLE MAN JF-Expert Member Joined May 31, 2018 Posts 8,633 Reaction score 16,586 Jul 15, 2022 #26 Hali ni Tete kwa Ukraine huko Nikolaev. Asubui ya leo vituo muhimu 12 vya jesh la ukraine vimeshambulia ikiwemo HQ ya AFU. https://t.co/OivUlRoTsK
Hali ni Tete kwa Ukraine huko Nikolaev. Asubui ya leo vituo muhimu 12 vya jesh la ukraine vimeshambulia ikiwemo HQ ya AFU. https://t.co/OivUlRoTsK
lee Vladimir cleef JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 9,571 Reaction score 35,475 Jul 15, 2022 #27 T14 Armata said: Wangenishutumu kwa kutaja nchi kwamba mbona naisifia tu mapungufu yake sitaji. Dawa yao nishaijua naruka jina lake Click to expand... Tunaijua TU hata ufanyeje?
T14 Armata said: Wangenishutumu kwa kutaja nchi kwamba mbona naisifia tu mapungufu yake sitaji. Dawa yao nishaijua naruka jina lake Click to expand... Tunaijua TU hata ufanyeje?
Bugucha JF-Expert Member Joined Jan 3, 2020 Posts 3,374 Reaction score 13,922 Jul 15, 2022 #28 Sikirimimimasikini said: Jamaa yangu nimependa hapo kwenye nchi XXX๐คฃ๐คฃ๐๐ Click to expand... ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐
Sikirimimimasikini said: Jamaa yangu nimependa hapo kwenye nchi XXX๐คฃ๐คฃ๐๐ Click to expand... ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐