Marekani yatangaza zawadi ya bilioni 27 atakaefanikisha kumpata mdukuzi

Marekani yatangaza zawadi ya bilioni 27 atakaefanikisha kumpata mdukuzi

John Sule

Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
85
Reaction score
97
MAREKANI - Marekani imemfungulia mashtaka mdukuzi wa Korea Kaskazini, Rim Jong Hyok kufuatia mashambulizi ya mtandaoni ambayo yalisaidia kuiba siri za kijeshi na nyuklia ikisema zawadi ya dola milioni 10 (TZS bilioni 27) itatolewa kwa atakayetoa taarifa.

IMG-20240731-WA0006.jpg
 
MAREKANI - Marekani imemfungulia mashtaka mdukuzi wa Korea Kaskazini, Rim Jong Hyok kufuatia mashambulizi ya mtandaoni ambayo yalisaidia kuiba siri za kijeshi na nyuklia ikisema zawadi ya dola milioni 10 (TZS bilioni 27) itatolewa kwa atakayetoa.

FBI imetangaza dau la bilioni 27 za Kitanzania kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kumpata Rim Jong Hyok. Rim Jong Hyok anatuhumiwa kwa kosa la kushiriki katika udukuzi wa kompyuta na kupanga kufanya udukuzi wa kompyuta chini ya udhibiti wa serikali ya kigeni, akilenga miundombinu muhimu ya Marekani kinyume na sheria za Marekani. Taarifa hii ilitolewa tarehe 26 Julai, 2024 na HabariLeo.
 
Kwanini wasitoe tarifa kwenye ubalozi wa North Korea Marekani, au wasifanye kazi na usalama wa North Korea kumpata kama nchi nyingine zilizo staarabika zinavyofanya

Ujeuri na ukiburi wa serikali ya Marekani unachekesha, Computer Fraud and Abuse act ina apply kwa raia wa Marekani, huwezi kum charge raia wa kigeni na kutaka kumfunga kwenye mahakama zako

Majeuri hawa, wanaweza kamata raia wa nchi nyingine ambaye hajawahi kufika Marekani maisha yake yote na kumsomea mashtaka ya kukiuka katiaba yao
 
Kwanini wasitoe tarifa kwenye ubalozi wa North Korea Marekani, au wasifanye kazi na usalama wa North Korea kumpata kama nchi nyingine zilizo staarabika zinavyofanya

Ujeuri na ukiburi wa serikali ya Marekani unachekesha, Computer Fraud and Abuse act ina apply kwa raia wa Marekani, huwezi kum charge raia wa kigeni na kutaka kumfunga kwenye mahakama zako

Majeuri hawa, wanaweza kamata raia wa nchi nyingine ambaye hajawahi kufika Marekani maisha yake yote na kumsomea mashtaka ya kukiuka katiaba yao
Ubalozi wa North korea Marekani😁😁


Naomba kuuliza tu hivi kuna ubalozi wa North Korea mahali???

Wale jamaa si ndo hawaruhusu mtu kutoka nchini kwao?
 
MAREKANI - Marekani imemfungulia mashtaka mdukuzi wa Korea Kaskazini, Rim Jong Hyok kufuatia mashambulizi ya mtandaoni ambayo yalisaidia kuiba siri za kijeshi na nyuklia ikisema zawadi ya dola milioni 10 (TZS bilioni 27) itatolewa kwa atakayetoa taarifa.

Kakombeleza hela mitandaoni kwa kudukua taarifa za wateja wa bank ili apate access ya account zao, kaiba taarifa za wagonjwa mahospitalini.
Hela zenyewe alizitolea pale border upande wa China, tena kwenye ATM akazipakia kwenye magunia akavuka nayo lile China and North Korea friendship bridge akachikichia zake Pyong Yang kumpelekea Kiduku magunia ya hela.
 
Kwanini wasitoe tarifa kwenye ubalozi wa North Korea Marekani, au wasifanye kazi na usalama wa North Korea kumpata kama nchi nyingine zilizo staarabika zinavyofanya

Ujeuri na ukiburi wa serikali ya Marekani unachekesha, Computer Fraud and Abuse act ina apply kwa raia wa Marekani, huwezi kum charge raia wa kigeni na kutaka kumfunga kwenye mahakama zako

Majeuri hawa, wanaweza kamata raia wa nchi nyingine ambaye hajawahi kufika Marekani maisha yake yote na kumsomea mashtaka ya kukiuka katiaba yao
Huna akiri unadhani hiyo taarifa ndio imepewa jf itangaxe kwamba medium ziingine hazijaguswa. Balozi husika tayari imetoa taarifa hiyo. Ila medium ziinatumika kutangaza hiyo gift maana huyo amewekwa kwenye 25 people most wanted.
Muwe mnafatilia sio kuropoka tu.
 
MAREKANI - Marekani imemfungulia mashtaka mdukuzi wa Korea Kaskazini, Rim Jong Hyok kufuatia mashambulizi ya mtandaoni ambayo yalisaidia kuiba siri za kijeshi na nyuklia ikisema zawadi ya dola milioni 10 (TZS bilioni 27) itatolewa kwa atakayetoa taarifa.

dah, yaani north korea wapo vizuri namna hiyo?
 
Mleta mada umenistua sana uliposema mdukuzi anatafutwa na marekani ,nikawaza huyu street mate kitambo hiko kafanya nini mpaka atafutwe? Ghafla tamaa imenijaa nikaanza kuwapigia nduguze niwaulize alipo ,nakuja kugutuka kumbe ni mkorea aliyefanya mambo kwenye mitandao .

Mkuu mdukuzi nisikufiche nilikuwa nakuuza leo
Huo mpunga mrefu sana lazima ungeniuza leo ningekuwa Guantabamo bay
 
Back
Top Bottom