Marekani yatangaza zawadi ya bilioni 27 atakaefanikisha kumpata mdukuzi

Marekani yatangaza zawadi ya bilioni 27 atakaefanikisha kumpata mdukuzi

Kwanini wasitoe tarifa kwenye ubalozi wa North Korea Marekani, au wasifanye kazi na usalama wa North Korea kumpata kama nchi nyingine zilizo staarabika zinavyofanya

Ujeuri na ukiburi wa serikali ya Marekani unachekesha, Computer Fraud and Abuse act ina apply kwa raia wa Marekani, huwezi kum charge raia wa kigeni na kutaka kumfunga kwenye mahakama zako

Majeuri hawa, wanaweza kamata raia wa nchi nyingine ambaye hajawahi kufika Marekani maisha yake yote na kumsomea mashtaka ya kukiuka katiaba yao
Duh!
Mimi huwa nadhani wewe ni mtu wa ma Cyber na ungemjua huyu mwamba anavyowatesa
Na hata kusema watoe taarifa ubalozi wa North Korea nchini US ndio umezidi kuyatimba, yaani wewe unafanya cyber gani? au hii ya IT wa kibongo?
Tangu lini North Korea akawa na ubalozi nchini US?
Na ndio, sheria za kimtandao zinaweza kumfungulia mashtaka mtu yeyeto duniani, hata Tanzania wanawezafanya hivyo kama watadukuliwa na hata kama mtu yuko Antactica
Nenda kawasome Lazarus Group mpaka sasa wameiba hela gani kwa njia ya mtandao, ndio utajua kwa nini US ameamua kutoa dau

1722456771479.png
 
Kwanini wasitoe tarifa kwenye ubalozi wa North Korea Marekani, au wasifanye kazi na usalama wa North Korea kumpata kama nchi nyingine zilizo staarabika zinavyofanya

Ujeuri na ukiburi wa serikali ya Marekani unachekesha, Computer Fraud and Abuse act ina apply kwa raia wa Marekani, huwezi kum charge raia wa kigeni na kutaka kumfunga kwenye mahakama zako

Majeuri hawa, wanaweza kamata raia wa nchi nyingine ambaye hajawahi kufika Marekani maisha yake yote na kumsomea mashtaka ya kukiuka katiaba yao

Ndo maana ya kaka mkubwa! Big brother
 
Huyo mwamba hata wa ki mkamata watamfungia ili wamtumie kwenye udukuzi wa taarifa za Siri kama hizo kwenye mataifa Tishio kwa marekani maana mwamba anaaakili mno
 
MAREKANI - Marekani imemfungulia mashtaka mdukuzi wa Korea Kaskazini, Rim Jong Hyok kufuatia mashambulizi ya mtandaoni ambayo yalisaidia kuiba siri za kijeshi na nyuklia ikisema zawadi ya dola milioni 10 (TZS bilioni 27) itatolewa kwa atakayetoa taarifa.

Yale yale,kuna mtu anadai eti mpaka leo kwa kuwa informal kwenye issue ya osama na hajalipwa kitu.
 
Duh!
Mimi huwa nadhani wewe ni mtu wa ma Cyber na ungemjua huyu mwamba anavyowatesa
Na hata kusema watoe taarifa ubalozi wa North Korea nchini US ndio umezidi kuyatimba, yaani wewe unafanya cyber gani? au hii ya IT wa kibongo?
Tangu lini North Korea akawa na ubalozi nchini US?
Na ndio, sheria za kimtandao zinaweza kumfungulia mashtaka mtu yeyeto duniani, hata Tanzania wanawezafanya hivyo kama watadukuliwa na hata kama mtu yuko Antactica
Nenda kawasome Lazarus Group mpaka sasa wameiba hela gani kwa njia ya mtandao, ndio utajua kwa nini US ameamua kutoa dau

View attachment 3058013
Yaani serikali ya Marekani kwenda kuwaomba Serikali ya North Korea eti wamkamate huyo jamaa ,ni sawa na kumpa ngedere kesi ya mahindi
Huyo mtu hawezi kufanya kazi bila kupata ridhaa ya serikali ya North Korea ,tena clandestine operations kama hizi za kudukua vitu sensitive kama nuclear nk ,hii ni espionage kabisa ,

Serikali ya North Korea inamiliki vikundi vya wadukuzi wa mtandao , ndio waliowahi kuiba pesa ndefu kule Bangladesh baada ya kudukua remotely mifumo ya kibenki na kufanikiwa kuiba pesa toka kwenye benki hiyo .
Kutokana na vikwazo vya kiuchumi serikali ya North Korea wanafanya mpaka human trafficking , Yaani kuwatumikisha raia wao kama slaves sehemu mbalimbali na pesa inalipwa serikali ya Kim , wanauza mpaka drugs , counterfeits nk ,zote hizo ni rackets za Kim , kiufupi vikwazo vya Marekani vimefanya Kim kuendelea kuishi ile nchi na yeye ndio kama Godfather pale , nchi ishakuwa Cartel ile ,
 
Kwanini wasitoe tarifa kwenye ubalozi wa North Korea Marekani, au wasifanye kazi na usalama wa North Korea kumpata kama nchi nyingine zilizo staarabika zinavyofanya

Ujeuri na ukiburi wa serikali ya Marekani unachekesha, Computer Fraud and Abuse act ina apply kwa raia wa Marekani, huwezi kum charge raia wa kigeni na kutaka kumfunga kwenye mahakama zako

Majeuri hawa, wanaweza kamata raia wa nchi nyingine ambaye hajawahi kufika Marekani maisha yake yote na kumsomea mashtaka ya kukiuka katiaba yao
ndugu umekaa kishamba sana!
 
Yaani serikali ya Marekani kwenda kuwaomba Serikali ya North Korea eti wamkamate huyo jamaa ,ni sawa na kumpa ngedere kesi ya mahindi
Huyo mtu hawezi kufanya kazi bila kupata ridhaa ya serikali ya North Korea ,tena clandestine operations kama hizi za kudukua vitu sensitive kama nuclear nk ,hii ni espionage kabisa ,

Serikali ya North Korea inamiliki vikundi vya wadukuzi wa mtandao , ndio waliowahi kuiba pesa ndefu kule Bangladesh baada ya kudukua remotely mifumo ya kibenki na kufanikiwa kuiba pesa toka kwenye benki hiyo .
Kutokana na vikwazo vya kiuchumi serikali ya North Korea wanafanya mpaka human trafficking , Yaani kuwatumikisha raia wao kama slaves sehemu mbalimbali na pesa inalipwa serikali ya Kim , wanauza mpaka drugs , counterfeits nk ,zote hizo ni rackets za Kim , kiufupi vikwazo vya Marekani vimefanya Kim kuendelea kuishi ile nchi na yeye ndio kama Godfather pale , nchi ishakuwa Cartel ile ,
Hawa jamaa wanojiita Lazarus group, ni mali ya serikali ya North Korea
Wanachukuliwa kuanzia watoto shule ukiwa mkali wa masomo ya hesabu, wanapelekwa kwenye mashindano ya Maths Olympiad kujaribiwa halafu wanapelekwa China, kwenye hoteli moja inayojulikana kama Hackers Hotel, huko ndio kama chuo cha udukuzi
Yule Hushpuppi alikamatwa na US, yeye alikuwa mpokea hela za kudukuliwa na hawa Lazarus Group, aliunganishwa na mpakistani anaishi Canada.
Mchawi bando, kama ukiweza kusikiliza hizi podcast za BBC, zina stori yao yote hata ile I Billion Heist waliyopiga Benki Kuu ya Bangladeshi.

Ukifuatilia huu mtiririko, hio hela isambazwa mpaka India na Philipines huko walifungwa kwa tamaa ya kuwekewa hela.
Kali zaidi walicheza mchezo India, na kuwaanda group ya watu wanpewa kadi ya benki wanaenda ATM yoyote tu wanaingiza kadi ya kuvuta mpunga, ATM zilishambuliwa kama viwavi jeshi, unaambiwa polisi walivyokuja kuangalia CCTV wanaona kama vikosi vimetwanywa mji mzima wanazungukia ATM na kutoa hela.

View: https://www.youtube.com/watch?v=f-TL7tqITcg
Hawa mpaka sasa wameshaiba zaidi ya $4 billion dollars
 
Huyu ni mmoja katika kikundi chao cha lazarus ni genge la kiduku anawatumia kuiba pesa kiufupi ni mtandao mkubwa mpaka wahindi wamo
 
Back
Top Bottom