ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Russia sio Zimbabwe , tulia tuliRussia nae aache tu vita maana atadhoofika hayo mataifa yote anayopambana nayo yana nguvu kiuchumu na yeye Russia kaingia kichwa kichwa tu,
Russia hii vita itamgharimu zaidi,
Aache asipoteze wanajeshi wake na fedha ataanguka kiuchumu.
... Ukraine wanahitaji msaada maana wamevamiwa; Somalia wamevamiwa na nani?Somalia ukipeleka trilioni 1 tu uneokoa maisha ya watu wengi sana wanaokufa kwa njaa kuliko kupeleka vitani ambako unaweza kupata hasara.
... kwani ni WHO wametumia bilioni 8.2 kuendeleza vita? Hata wewe ukitaka unaweza kupeleka mchango wako WHO utapokelewa na picha ya ukumbusho mtapiga.Hii dunia hii WHO si walisema wanahitaji dola bilion 6 tu kumaliza njaa, huku wanatumia dola bilioni 8.2 kuendeleza vita
😂🤣
Soma tena, jitahidi uelewe.... kwani ni WHO wametumia bilioni 8.2 kuendeleza vita? Hata wewe ukitaka unaweza kupeleka mchango wako WHO utapokelewa na picha ya ukumbusho mtapiga.
Ni kweli mkuu lakini hao watu, UN Marekani alienda kuwasaidia miaka ya 1992 wakati wa Muhammad Farrah Aydid aliekuwa wa Somalia National Alliance (SNA) wakawa wamewapunguza nguvu unapigana na vijana ambao mama zao wamewaficha ya nini sasa. Na wakati huo kulikuwa na vikundi vinavyopiga na serikali kama vinne, wengine ndio wapo pale somalia mashariki wamejikatia eneo wanajiita somali land.Somalia ukipeleka trilioni 1 tu uneokoa maisha ya watu wengi sana wanaokufa kwa njaa kuliko kupeleka vitani ambako unaweza kupata hasara.
Na inasemekeana keshatumia zaidi ya 60pc ya smart bombs zake... unbelievably, Urusi tuliyoaminishwa for decades ni supa pawa la kutisha leo inapigana kwa kuvizia! Kila m`babe na m`babe wake.
Urusi sio wa kumuamini, jana kasaini chakula kisafirishwe leo kaanza lipua bandariRussian missiles hit Ukraine’s Black Sea port of Odesa: Kyiv
Russian missiles have hit infrastructure in Ukraine’s port of Odesa, a day after Russia and Ukraine signed a deal to reopen Black Sea ports to resume grain exports, the Ukrainian military said.
Nyie endeleeni kujifariji, ulipo tupo
Somalia ni uzembe wao kutolima, Ukraine biashara inafanyika hapoSomalia ukipeleka trilioni 1 tu uneokoa maisha ya watu wengi sana wanaokufa kwa njaa kuliko kupeleka vitani ambako unaweza kupata hasara.
Mkataba bado kuanza, anapiga kwa wakatiUrusi sio wa kumuamini, jana kasaini chakula kisafirishwe leo kaanza lipua bandari
Na kule Ukraine napo jamaa wanazipokea na baadh kwenda kuziuzaHzo hela wanapewa wafanyabiashara wa silaha wa USA ndio wanatuma weapons to Ukraine na hyo ndio sababu hyo vita haitakiwi kuisha watu wanapga hela balaa
Somalia ukipeleka trilioni 1 tu uneokoa maisha ya watu wengi sana wanaokufa kwa njaa kuliko kupeleka vitani ambako unaweza kupata hasara.
Hii dunia hii WHO si walisema wanahitaji dola bilion 6 tu kumaliza njaa, huku wanatumia dola bilioni 8.2 kuendeleza vita
[emoji23][emoji1787]
Misaada ya U.S kwa Ukraine inapotea paspo kufanya kazi,Ni habari tamu sana., jana nimesoma mahali Russia inakaribia kushindwa kabisa kabisa vita ya Ukraine, Marekani budget yao ni miaka 5 wakati Putini alitangaza miezi 6 tu baada ya kushindwa kwa saa 72 za awali na miezi ndio inatokota iyo tena toka february na ngoma bado mbichi
Mkuu, kinacho endelea hapa ni kutafuta mbinu za kufuja fedha za walipa kodi wa Amerika kwa kupitia kisingizio cha kuisaidia Ukraine, Bunge la Amerika lina idhinisha fedha chungu mzima, lakini nyingi ya fedha hizo zinaishia mifukoni kwa viongozi wajanja pamoja na wamiliki wa viwanda vya kuunda Silaha huko Merikani pia na baadhi ya wabunge na Biden anajuwa sana kuhusu michongo hii ya upigaji fedha ndefu kwa kuwa yeye na familia yake nao wananufahika na michogo hii. Kinacho sikitisha fedha taslimu zinazo kwenda kuwasaidia raia wa Ukraine ni ndogo sana.Putin nimemkubali, kweli jamaa jembe,
Yaani hii sijui ni mara ya ngapi jamaa wanatuma na putin anapukutisha tu
Z
Well said,Mkuu, kinacho endelea hapa ni kutafuta mbinu za kufuja fedha za walipa kodi wa Amerika kwa kupitia kisingizio cha kuisaidia Ukraine, Bunge la Amerika lina idhinisha fedha chungu mzima, lakini nyingi ya fedha hizo zinaishia mifukoni kwa viongozi wajanja pamoja na wamiliki wa viwanda vya kuunda Silaha huko Merikani pia na baadhi ya wabunge na Biden anajuwa sana kuhusu michongo hii ya upigaji fedha ndefu kwa kuwa yeye na familia yake nao wananufahika na michogo hii. Kinacho sikitisha fedha taslimu zinazo kwenda kuwasaidia raia wa Ukraine ni ndogo sana.
Ndio maana nasema kwamba kutokana upigaji fedha ndefu huu, kuta sababisha uwezekano wa vita hii kuisha kuwa ni mdogo sana - kama nilivyo sema tangu mwanzo US inataka sana a-prolong vita hii ili viwanda vya silaha vipige hela ndefu, baadhi ya wabunge na mwanae Biden anaye julikana kwa jina la Hunter nae apatiwe mshiko/mgao kwa kuwa yuko karibu sana na Rais Zelensky kibiashara(kampuni ya mafuta na gesi Ukraine), narudia kukumbusha kwamba mpaka vita hii iishe Ukraine itakuwa imechakazwa sana na watu wengi kupoteza maisha. Sasa sijui kwa nini Zelensky hatumii busara na hekima ya kukaa meza moja na Putin wakamaliza tofauti zao kwa lengo la kuinusuru Ukraine na Raia wake.
Hiyo minoti wanapeleka wapi?Russian missiles hit Ukraine’s Black Sea port of Odesa: Kyiv
Russian missiles have hit infrastructure in Ukraine’s port of Odesa, a day after Russia and Ukraine signed a deal to reopen Black Sea ports to resume grain exports, the Ukrainian military said.
Nyie endeleeni kujifariji, ulipo tupo