Hapo tu Zanzibar mtoka bara anabaguliwa kama shetani vile,wakati mnasema ni nchi moja,acha marekani wajiamulie maisha yao wenyewe,after all mtu mweusi hapendwi popote duniani!! Hata kwao afrika pia hapendwi,ndiyo maana mmoja akipata nafasi ya kuwatawala waafrika wenzake anawatesa na kuwapora bila huruma,fxck blacks,umewahi kukamatwa na polisi barabarani unatembea zako kisha wakakuita mzururaji? Na sero unalala,na makofi unakula,ila tanzania haijawahi kuwa na mzururaji wa ngozi nyeupe,kuzaliwa mweusi ni laana tosha,kwanza hatupendani,pili hatupendwi,balaa tupu