πππ ndo hao wanashinda kuwatukana πΊπΈπΊπΈ mitandaoni na kuishabikia π·πΊπ·πΊ. ila kikinuka wanakimbilia Us .πππSi wanarudishwa ktk nchi zao za asili? Tatizo nini hapo?
sasa analilia nini kutaka kuendelea kuishi nyumbaniHuko Afghanistan pameharibiwa na huyo SHETANI
πππ unapomfanyia wema mtu mweusi jiandae kwa kulaumiwa huko mbeleni .πππSema Marekani ni taifa la kustaajabisha. Juzi juzi nimefanya kazi ya ukalimani online kati ya social worker wa Marekani na jamaa raia wa congo yeye na mkewe wamehamia huko wanafanya kazi sehemu moja na wanalipwa dollar 15 kwa saa kwa wiki wanafanya saa 42 mpaka 45.
Sasa ana mtoto anasomeshwa shule bure, ni mpango maalum wa watu ambao kipato chap hakifiki fedha kadhaa. Sasa kwa sasa yeye na mke wake wamezidi hicho kiwango aliitwa kuambiwa kwamba itabdi yeye na mkewe waanze changia 10% ya gharama za kila mwezi.
Nikashangaa mtu sio raia, kingereza hajui na bado anapewa msaada na anabembelezwa maana alisema itakuwa ngumu kutoa huo mchango maana maisha ghali hyo pesa haiwatoshi.
Yani jamaa anaambiwa itabidi uchangie 10% mwanao aendelee soma. Anasema yeye na mkewe hawawezi afford maana inabdi pia watume pesa afrika.πππ unapomfanyia wema mtu mweusi jiandae kwa kulaumiwa huko mbeleni .πππ
πππ hivi unalijua bata la πΊπΈπΊπΈπΊπΈ mkuu !!!!!?.Mambo YA OVYO SANA, Sasa ikiwa wenyewe ndio wameamua kuwa hawataki wageni weusi kwenye nchi yao tatizo liko wapi? Watu weusi tuache kiherehere
Hapo tu Zanzibar mtoka bara anabaguliwa kama shetani vile,wakati mnasema ni nchi moja,acha marekani wajiamulie maisha yao wenyewe,after all mtu mweusi hapendwi popote duniani!! Hata kwao afrika pia hapendwi,ndiyo maana mmoja akipata nafasi ya kuwatawala waafrika wenzake anawatesa na kuwapora bila huruma,fxck blacks,umewahi kukamatwa na polisi barabarani unatembea zako kisha wakakuita mzururaji? Na sero unalala,na makofi unakula,ila tanzania haijawahi kuwa na mzururaji wa ngozi nyeupe,kuzaliwa mweusi ni laana tosha,kwanza hatupendani,pili hatupendwi,balaa tupuMarekani wangekuwa wabaguzi Obama asingekuwa Raisi!
Utapata hata ujumbe wa nyumba.10 uarabuni, india, china, urusi somalia.....??
Futa huo uzi unatia kichefu chefu[emoji12]
ππ sema πΊπΈπΊπΈ ni nchi ya ajabu kama ulivyosema mwanzoni.Yani jamaa anaambiwa itabidi uchangie 10% mwanao aendelee soma. Anasema yeye na mkewe hawawezi afford maana inabdi pia watume pesa afrika.
Basi yule dada anajitahidi mwelewesha maskn yani anambembeleza aelewe.
Huku unaenda tafta kitu haki yako unafika NIDa madada wanapga story hawana hata habari na wewe.ππ sema πΊπΈπΊπΈ ni nchi ya ajabu kama ulivyosema mwanzoni.
Mwambie akalete huo uhuni nchi nyingine aone.ππ
Tuache kuwa wanaafiki[emoji12]Hapo tu Zanzibar mtoka bara anabaguliwa kama shetani vile,wakati mnasema ni nchi moja,acha marekani wajiamulie maisha yao wenyewe,after all mtu mweusi hapendwi popote duniani!! Hata kwao afrika pia hapendwi,ndiyo maana mmoja akipata nafasi ya kuwatawala waafrika wenzake anawatesa na kuwapora bila huruma,fxck blacks,umewahi kukamatwa na polisi barabarani unatembea zako kisha wakakuita mzururaji? Na sero unalala,na makofi unakula,ila tanzania haijawahi kuwa na mzururaji wa ngozi nyeupe,kuzaliwa mweusi ni laana tosha,kwanza hatupendani,pili hatupendwi,balaa tupu
Inaonesha una udini sana na inaonekana wewe ni ni wa dini ile ya magharibi hivyo nawe umeanza kujihisi ni mzungu kumbe ni Mndendeule wa Namtumbo kijiji cha Lituhi na kwa bahati mbaya ni mweusi utadhani umepiga mbizi kwenye boza la kiwi.Somalia haiko kwenye vita kwa sasa. Kuna watu ambao kutwa ni kuitukana US ila wakipata shida kidogo hukimbilia huko huko US. Aachane na nchi za "kikafiri" aelekee Afghanistan kwani nao hawana wahudumu wa afya wa kutosha.
Mental constipation coupled with mouth diarrhea. You are second to none in spewing rubbish.Inaonesha una udini sana na inaonekana wewe ni ni wa dini ile ya magharibi hivyo nawe umeanza kujihisi ni mzungu kumbe ni Mndendeule wa Namtumbo kijiji cha Lituhi na kwa bahati mbaya ni mweusi utadhani umepiga mbizi kwenye boza la kiwi.
Nakutaarifu kuwa na hiyo rangi yako na pamoja na kuwa wewe ni mbuzi kutoka vatikan wewe si lolote si chochote mbele ya mzungu! Wewe ni nyani na ukijitahidi wewe ni sokwe mbele ya Mzungu hivyo usimtenge mwafrika mwenzio mliokuwa mnasali pamoja kwenye mapango na miti mikubwa kabla ya mwaarabu na mzungu kuwahadaa na miungu yao. Siku tukifunguliwa akili tukagundua kumbe dini zote zilizokuja ni uongo wa kutupwa kwamba tumefanywa mateka wa fikra tutakuja jikuta sisi waafrika tunaofanana rangi na kila kitu ni ukoo mmoja so take care.
Hata hawa makocha wa Azam wa sasa walikimbilia Ukimbizini Marekani na Uraia wakapewa.Mbona kama uongo uongo tu..
Hiyo picha uliyoweka mbona siyo ya msomali?
Kwa taarifa yako, wasomali wengi wamekimbilia Marekani, Uingereza na EU kwa ujumla kuliko Uarabuni huko ambako mnasema hakuna makafiri.
Somali diaspora - Wikipedia
Pia, ubaguzi wa rangi DHIDI ya WEUSI umekithiri zaidi Uarabuni kuliko Marekani!!!
HRW: Watanzania wananyanyaswa kingono nchi za Ghuba β DW β 14.11.2017
Shirika la kimataifa la aki za binaadamu la Human Rights Watch limesema wafanyakazi wa ndani wa kike kutoka Tanzania wananyanyaswa kimwili na kingono na wanatumiwa vibaya na waajiri wao katika mataifa ya Ghuba.amp.dw.com
Madaktari Uganda wathibitisha Judith kutolewa figo akiwa kwa mwajiri wake Saudi Arabia - BBC News Swahili
Madaktari nchini Uganda wamethibitisha kuwa mwanamke aliyekuwa akifanya kazi za ndani nchini Saudi Arabia, wamegundua kuwa figo yake ya kulia imeondolewa na sio ajali ya gari kama ilivyoarifiwa awali na mwajiri wake.www.bbc.com
βKufanya Kazi Mithili ya Robotiβ
Ripoti ya kurasa 100, βKufanya kazi mithili ya Robotiβ: Unyanyasaji wa Watumishi wa ndani wa Kitanzania huko Oman na Umoja wa Falme za Kiarabu,β imeweka kumbukumbu namna serikali za Tanzania, Oman na Umoja wa Falme za Kiarabu zinavyoshindwa kulinda watumishi wa ndani wahamiaji kutoka Tanzania...www.hrw.org