Marekani yaungana na Russia, Korea Kaskazini na Belarus kupinga azimio la Umoja wa mataifa kulaani uvamizi wa Russia

Marekani yaungana na Russia, Korea Kaskazini na Belarus kupinga azimio la Umoja wa mataifa kulaani uvamizi wa Russia

Trump ana matatizo.
Mshindi ndiye huandika historia. Deep down Trump hitler atakuwa shujaa kwake ndiyo maana mshikaji wake musk alionyesha ishara ya naz na anaunga mkono chama cha afd.
Sitoshangaa siku moja US kuside na china. Ni suala la maslahi tu hakuna kizuri wala kibaya bali inategemea unatazama jambo kwa angle gani.
 
Wewe unaijua North Korea. North Koreani nchi ya hovyo sana. Maisha yao huenda ni mabaya kuliko jehanamu!!

Wastani wa mshahara kwa north Korea ni kati ya dola 1 na dola 3 kwa mwezi. Hakuna nchi ya namna hiyo nyingine Duniani.

What is the salary in North Korea?

Official Salaries and Real Value

Official salaries in North Korea are very low, typically ranging between 5,000 and 10,000 won per month (equivalent to $1-$3). These salaries are insufficient to meet basic needs, forcing most citizens to rely on the informal market for essential goods.

Sisi pamoja na umaskini wetu, lakini tunawazidi GDP mpaka GDP per capita:

North Korea vs Tanzania: Economic Indicators ComparisonTanzania with a GDP of $58B ranked the 80th largest economy in the world, while North Korea ranked 89th with $43.3B. By GDP 5-years average growth and GDP per capita, Tanzania and North Korea ranked 18th vs 172nd.
wewe akili kumbe huna!
NK ana vikwazo, hivyo biashara nyingi anafanya kimagendo so huwezi jua GDP yake kwa sababu huna takwimu halisi....

nchi inatengeneza rocket, satelite, nyuklia, silaha za kila aina, nyambizi, afu unalinganisha na gdp ya tz?

sijui kwanini mnapojadili haya mambo huwa mnajitoa akili, au ndio kuwa brainwashed?
 
Marekani aache kufadhili magaidi tuone ,aachane na magaidi kama Israel na ISIS.
 
wewe akili kumbe huna!
NK ana vikwazo, hivyo biashara nyingi anafanya kimagendo so huwezi jua GDP yake kwa sababu huna takwimu halisi....

nchi inatengeneza rocket, satelite, nyuklia, silaha za kila aina, nyambizi, afu unalinganisha na gdp ya tz?

sijui kwanini mnapojadili haya mambo huwa mnajitoa akili, au ndio kuwa brainwashed?
Yan wengi huw wanashindw kujiuliza maendeleo hayo ya kiteknolojia hayawez kuja kwa nchi masikin wala yeny uchumi wa kati
 
Wewe unaijua North Korea. North Koreani nchi ya hovyo sana. Maisha yao huenda ni mabaya kuliko jehanamu!!

Wastani wa mshahara kwa north Korea ni kati ya dola 1 na dola 3 kwa mwezi. Hakuna nchi ya namna hiyo nyingine Duniani.

What is the salary in North Korea?

Official Salaries and Real Value

Official salaries in North Korea are very low, typically ranging between 5,000 and 10,000 won per month (equivalent to $1-$3). These salaries are insufficient to meet basic needs, forcing most citizens to rely on the informal market for essential goods.

Sisi pamoja na umaskini wetu, lakini tunawazidi GDP mpaka GDP per capita:

North Korea vs Tanzania: Economic Indicators ComparisonTanzania with a GDP of $58B ranked the 80th largest economy in the world, while North Korea ranked 89th with $43.3B. By GDP 5-years average growth and GDP per capita, Tanzania and North Korea ranked 18th vs 172nd.
Na jibichwa lako Hilo unaamini kabisa kuwa mshahara ni $ 1-3 Kwa mwezi.... Wewe ni mpumbafu.....
 
Mshindi ndiye huandika historia. Deep down Trump hitler atakuwa shujaa kwake ndiyo maana mshikaji wake musk alionyesha ishara ya naz na anaunga mkono chama cha afd.
Sitoshangaa siku moja US kuside na china. Ni suala la maslahi tu hakuna kizuri wala kibaya bali inategemea unatazama jambo kwa angle gani.
Marekani ili idump Republic of China na kuiunga mkono People’s Republic of China kwa maslahi yake binafsi wala sio kitu kigeni U.S kutemana na yule anaye onekana ni rafiki yake kwa ajili ya maslahi yake ni kipindi cha hivi karibuni tu ndio wanajifanya wanajali sana kuhusu Taiwan na sababu ni kuwa China imekuwa tishio zaidi kwao
 
Kama siyo unafiki US imeziacha nchi za EU!
Huenda ukawa mwisho wa NATO.
na EU ikiwa na jeshi tujipange kulia , hao wazungu wa ulaya ni wabishi sana , USA aliwalemaza kwa kuwabeba mgongoni
 
Back
Top Bottom