Marekani yaungana na Russia, Korea Kaskazini na Belarus kupinga azimio la Umoja wa mataifa kulaani uvamizi wa Russia

Marekani yaungana na Russia, Korea Kaskazini na Belarus kupinga azimio la Umoja wa mataifa kulaani uvamizi wa Russia

Udikteta kivipi wakati katiba yao ndio imempa Rais mamlaka makubwa katika sera za mambo ya nje, ubalozi, majeshi na ujasusi wa nje ya nchi??
Wazungu wanasema if it walks like a duck, talks like a duck, it probably is a duck. Trump anafanya mambo ambayo yanafanywa na madictator. So nikimfananisha na dictator sijakosea hata kama anachofanya karuhusiwa na katiba. Nyerere alisema katiba yetu ilivyo inaweza kumfanya Rais awe dictator akiitumia vibaya. Nani alitegemea maishani mwake US apige kura sawa na Russia na North Korea?? Yaani US awe kundi moja na nchi hizi 4 against the world? Maajabu. Sitashangaa Trump asimalize term yake.
 
Hakika hizi ni zama mpya, Marekani imeungana na mataifa kadhaa ya hovyo kupinga azimio la baraza la usalama la Umoja wa mataif(UN) lililowasilishwa na Umoja wa Ulaya kulaani uvamizi wa Russia nchini Ukraine na kuitaka iondoe majeshi yake Ukraine.

Hata hivyo azimio hilo limepita kwa wingi ws kura 93 dhidi ya 18 zilizopinga ikiwemo US huku mataifa 65 yakiharibu kura zao.
View attachment 3248382
Marekani Hana rafiki Wala adui wa kudumu
 
Hapo Mchina ni full kukenua tu😁jinsi Trump anavyoiharibu US.
Wajinga kama nyie ndio mnaona Trump anaiharibu US lakini yeye anajuwa anaijenga nchi yake ustawi wa raia wake. Wajinga mpo wengi
 
Trump katika utawala wake, vita zitatulia duniani.

Kwa nje ni Trump, Kwa ndani ni Mungu .
 
wewe akili kumbe huna!
NK ana vikwazo, hivyo biashara nyingi anafanya kimagendo so huwezi jua GDP yake kwa sababu huna takwimu halisi....

nchi inatengeneza rocket, satelite, nyuklia, silaha za kila aina, nyambizi, afu unalinganisha na gdp ya tz?

sijui kwanini mnapojadili haya mambo huwa mnajitoa akili, au ndio kuwa brainwashed?
Bado sijamuelewa huyu aliyecompare Ungindoni na Pyongyang. 🤔
 
Back
Top Bottom