Marekebisho ya lazima, TPLB/TFF wanaipendelea Yanga au ni bahati mbaya tu?

Ndugu,
Mnajua kulalamika sana.
Maelezo meeengi na huna research.

Hiyo match mwenyeji ni Tabora United, ndio mwenye maamuzi yakuchagua Uwanja wake.

Tuna shida sana
Kumbe una akili? Walau kuna Makolo wachache mnaojitambua.
 
MBONA HUWAPA HONGERA TFF NA BODI YA LIGI KWA KUPELEKA MBELE MCHEZO WA SIMBA VS AZAM.

WAPE HONGERA BHANA.
 
Kumbe una akili? Walau kuna Makolo wachache mnaojitambua.
Dah! mambo mengine marahisi sana. Anyway, karibu Uhuru kesho.
Ushuhudie dhahama ya magoli watakayokula KMC
 
Dah! mambo mengine marahisi sana. Anyway, karibu Uhuru kesho.
Ushuhudie dhahama ya magoli watakayokula KMC
Siwezi kwenda uwanjani mara 2 kwa wiki, nachoka sana.
Nitaangalia from home…

Mechi itakuwa ngumu, KMC sio warahisi.
 
Siwezi kwenda uwanjani mara 2 kwa wiki, nachoka sana.
Nitaangalia from home…

Mechi itakuwa ngumu, KMC sio warahisi.
Naona wameipeleka Azam Complex.
 
Huko ndio sijawahi kwenda na sitokaa, labda hadi aje mtoto wa mtu niende nae.
Hivihivi sikanyagi huko.
Ubaya wa Chamazi ni mdogo.
Ukitaka upate nafasi hasa kwa game za Simba au Utopolo uende mapema sana.

Kama mechi ni saa Moja basi wewe saa kumi uwepo. Otherwise hupati nafasi.

Ila ni pitch nzuri na inatoa clear vision
 
Kwani kuna faida gani Yanga asipocheza Al Hassan Mwinyi?
 
Hapa ni Serikali ya mkoa wa Tabora ndio imepush match hii ichezwe Tabora. Kanuni zingeza pindishwa, hata Yanga wangeenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…